1. Kuamini si kitu muhimu. Kila mtu anaruhusiwa kuamini anachotaka. Kiwe cha ukweli au uongo.
2. Unaposema "Yesu alikuwepo" una maana gani? Kwamba kuna mtoto alizaliwa na Mama anayeitwa Maria miaka kama 2,000 iliyopita akaishi huko pande za Israel ya leo si jambo la ajabu na kuna vyanzo tofauti na vitabu vya dini vinatueleza hilo. Josephus kaandika, history, ya Warumi, si dini. Ingawa na yeye maandiko yake yalichakachuliwa kidini baadaye.
Josephus kaeleza mpaka kwamba Yesu alikuwa na kaka yake anaitwa James. James alienda kuuawa kwa kupigwa mawe akiwa na miaka 69. Pia Yesu alikuwa na dada zake wengine wawili ambao hawajatajwa kwa majina.
en.wikipedia.org
Tatizo linakuja mkianza kuweka habari za miujiza, habari za Yesu kufa na kufufuka, kufufua watu, etc. That becomes a problem.
Tuangalie vitu vinavyoweza kuwa verified historically. Historia huwa inatumia misingi fulani ya kuthibitisha kama mtu fulani alikuwepo kweli, mambo fulani yalitokea kweli. Haya tunaweza kuyathibitisha, si habari ya kuamini au kutoamini.
Hii ni habari ya kuthibitisha kihistoria au kutothibitisha.
Yesu kuwapo wala si issue, issue ni hayo mazagazaga ya miujiza ambayo hayawezi kuthibitishwa.