Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Maandiko karibu yote ndani ya Biblia ni Legends na sio historical facts

Chance ya kuwa Musa, Yesu kama anavosemwa kwenye Biblia na Muhammad hawakuwahi kuwepo ni 80%.

Maandiko ya Kwanza ya Musa yaliandikwa Kati ya miaka 500-700 baada ya Muda ambao inasemekana Musa aliishi na hakuna mabaki ya mifupa yake.

Maandiko au Biography ya Kwanza ya Yesu iliandikwa Miaka 30 baada ya mwaka inaosemekana alipaa mbinguni.

Yesu Ndio mtu pekee Kati ya hawa watatu Maisha yake yaliandikwa na waliomuona, Hakuna mifupa ya mwili wake.

Muhammad Biography yake ya kwanza iliandikwa msimulia Hadithi anaitwa Al-Bukhari huyu sasa yeye aliishi Miaka 170-200 baada ya mtume kufariki tena cha ajabu alikuwa anatoka Uzibekistan zaidi ya KM 1000 alipokaa mtume, baada ya huyu kuandika kitabu chake kilipitia uhariri ambao jumla unafanya Miaka karibu 300 tangu afe kuwa na Historia ya Maisha yake tunayoyajua Leo.

Kingine mtume hakuacha mrithi wa utawala wake, hii ni prove kuwa huyo mtu hakuwa halisi Watu wachache waliotunga Hadithi zake waligeukana wakati Fulani na kila mmoja kuwa na mtazamo wake
Mtume aliacha mrithi wake aliyeitwa abubakar baadae akaja umar na baadae akaja ,othman na baadae aliy,huyu aliy ndio aliwazaa husein ana hasan kupitia mtoto wa mtume fatma.nadhani effect ya mtu imeonekana sana hadi hii leo na kaburi lake lipo dunia imeharibika sana kupitia falsafa zake,hao wengine sijui lakini huyu inaonekana alikuwepo na aliasisiwa na roman catholic ili apambane na wayahudi
 
Mtume aliacha mrithi wake aliyeitwa abubakar baadae akaja umar na baadae akaja ,othman na baadae aliy,huyu aliy ndio aliwazaa husein ana hasan kupitia mtoto wa mtume fatma.nadhani effect ya mtu imeonekana sana hadi hii leo na kaburi lake lipo dunia imeharibika sana kupitia falsafa zake,hao wengine sijui lakini huyu inaonekana alikuwepo na aliasisiwa na roman catholic ili apambane na wayahudi
Mtume hakuacha mrithi

Kulikuwa na kwa makundi mawili moja lilikuwa linamuunga mkono Ali lingine Aboubakari
 
1. Kuamini si kitu muhimu. Kila mtu anaruhusiwa kuamini anachotaka. Kiwe cha ukweli au uongo.

2. Unaposema "Yesu alikuwepo" una maana gani? Kwamba kuna mtoto alizaliwa na Mama anayeitwa Maria miaka kama 2,000 iliyopita akaishi huko pande za Israel ya leo si jambo la ajabu na kuna vyanzo tofauti na vitabu vya dini vinatueleza hilo. Josephus kaandika, history, ya Warumi, si dini. Ingawa na yeye maandiko yake yalichakachuliwa kidini baadaye.

Josephus kaeleza mpaka kwamba Yesu alikuwa na kaka yake anaitwa James. James alienda kuuawa kwa kupigwa mawe akiwa na miaka 69. Pia Yesu alikuwa na dada zake wengine wawili ambao hawajatajwa kwa majina.


Tatizo linakuja mkianza kuweka habari za miujiza, habari za Yesu kufa na kufufuka, kufufua watu, etc. That becomes a problem.

Tuangalie vitu vinavyoweza kuwa verified historically. Historia huwa inatumia misingi fulani ya kuthibitisha kama mtu fulani alikuwepo kweli, mambo fulani yalitokea kweli. Haya tunaweza kuyathibitisha, si habari ya kuamini au kutoamini.

Hii ni habari ya kuthibitisha kihistoria au kutothibitisha.

Yesu kuwapo wala si issue, issue ni hayo mazagazaga ya miujiza ambayo hayawezi kuthibitishwa.
Ha ha ha

Kumbe unasoma pia kuhusu Yesu. Unamjua hadi Josephus
Nimefarijika sana. Kile kitendo cha kutafuta habari nje ya biblia kuna tumaini sana...!! Ni wachache sana, wewe, mimi na wengine tunasoma.

Iko siku utasema, Mungu yupo.

Ni kweli Yesu alikuwa na ndugu zake hata maandiko yanasema. Biblia imewataka kaka zake, Yakobo huyu James na Yohana, imetaja pia umbu(, dada) zake.
 
Kitabu chochote kinachohitaji tafsiri si cha Mungu, na kitabu cha Mungu hakihitaji tafsiri.

Hivyo, ukishaanza habari za tafsiri tu, unachoniambia hapo ni kwamba unatafsiri habari za watu, si za Mungu.

Mungu muweza yote asingeshindwa kuweka habari iliyonyooka ambayo haihitaji tafsiri za kuungaunga.

In fact ukishaona habari kwenye kitabu tu, jua hiyo ni ya watu tu, si ya Mungu.

Kwa nini Mungu atumie kitabu wakati ana teknolojia ya DNA kutufikishia chochote anachotaka?
Shida yako, humjui Mungu na hujui tabia zake, hujui mipango yake.

Yaani unavyomuwaza au unavotaka awe, sivyo hivo, ndio maana unapata tabu na kuamua kusema hakuna Mungu.

Hivi kweli Kiranga jinsi binadamu alivyotengenezwa, wanyama, dunia, mimea na viumbe vyote kwamba kuna super natural poewe behind??
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
  • Yesu kufufua mtu amekufa siku 3[emoji23][emoji23][emoji23]huyo mtu alikua amezimia
  • Yakobo kumpiga mweleka Mungu.. Hizo ni ndoto za kutisha, Yakobo alitoa
  • Musa kugawanya bahari ya Shamu [emoji23][emoji23][emoji23]alituonaje hivi
  • Muhamadi kuupasua mwezi vipande viwili 😂😂😂😂
  • kupata kwa jua au mwezi ni ishara kutoka kwa Allah. 😂😂😂 akwaambia wafuasi wake wasali sana iliviachane 😂😂😂😂
  • jua huwa linaenda kuomba ruhusa kwa allah lichomoze mashariki ila siku ya mwisho litakataliwa kwa hiyo litachomoza magharibi. Mtume hapa alikuwa sijui amepata kilevi.
  • kitabu cha daniel eti walitupwa tanuru la moto na hamna aliyeungua 😂😂😂 labda walikua wanaota moto
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Mabikra 72 muislam akifa shahidi
 
Ha ha ha

Kumbe unasoma pia kuhusu Yesu. Unamjua hadi Josephus
Nimefarijika sana. Kile kitendo cha kutafuta habari nje ya biblia kuna tumaini sana...!! Ni wachache sana, wewe, mimi na wengine tunasoma.

Iko siku utasema, Mungu yupo.

Ni kweli Yesu alikuwa na ndugu zake hata maandiko yanasema. Biblia imewataka kaka zake, Yakobo huyu James na Yohana, imetaja pia umbu(, dada) zake.
Mimi natafuta elimu sana, nimesoma si Biblia tu, bali mpaka Dhamapada,Tripitaka, Rig Veda, Talmud, Egyptian Book of the Dead, Tibetan Booknof the Dead, Tao Te Ching na anthologies kibao za falsafa ya dini.

Ukisema ipo siku nitajua Mungu yupo, hiyo ni statement ya imani, mimi sipendi kuzungumzia imani, napenda kuzungumzia facts.

Hivyo ukiniambia ipo siku nitajua Mungu yupo, niambie umejuaje, hiyo siku ni lini, ikiwezekana tuijue turudi hapa kuhakiki.

Yesu alikuwa mtu tu, ndiyo maana alikuwa mpaka na kaka na dada zake.
 
Shida yako, humjui Mungu na hujui tabia zake, hujui mipango yake.

Yaani unavyomuwaza au unavotaka awe, sivyo hivo, ndio maana unapata tabu na kuamua kusema hakuna Mungu.

Hivi kweli Kiranga jinsi binadamu alivyotengenezwa, wanyama, dunia, mimea na viumbe vyote kwamba kuna super natural poewe behind??
Huwezi kujua kile ambacho hakipo.

Sijaongelea lolote kuhusu ninavyotaka Mungu awe, naongelea logical inconsistensies katika maelezo ya kuwepo kwake.

Unajuaje kuna supernatural power?

Unaelewa kwamba ukisema kwamba order haiwezi kutokea yenyewe ni lazima itengenezwe na order kubwa zaidi, kimsingi unakataa uwepo wa Mungu muumba vyote hapo?
 
Bahati nzuri ni kuwa Kila mmoja anajua anachofikiria kichwani make, tuishi halafu tufe.
 
Katika vitabu vya hadithi za kidini, quran ni kitabu chenye hadithi za kitoto na zisizo na kichwa wala miguu kuliko vitabu vingine vyote.

Mohamed kugundua kwamba kitabu chake kimejaa childish stories, akatishia watu mtu yoyote atakaehoji hizo hadithi zake za kitaahira auwawe.

Dini ni stori za kutunga ila kwenye quran zilitungwa na watu wasio na akili yoyote.
FaizaFoxy ni mfuasi wa fuska mudi
 
Kwa nini mnahangaika kumtetea Yesu....kama vile hayupo...si alifufuka na kupaa na kuahidi kurudi...sa nguvu/povu za nini wakati yupo hai...mwacheni ajitetee mwenyewe. Siku akiona uzi huu na nyuzi nyingine nyingi kama za Kiranga ataamua mwenyewe nini cha kufanya acheni kupoteza muda.
 
Katika vitabu vya hadithi za kidini, quran ni kitabu chenye hadithi za kitoto na zisizo na kichwa wala miguu kuliko vitabu vingine vyote.

Mohamed kugundua kwamba kitabu chake kimejaa childish stories, akatishia watu mtu yoyote atakaehoji hizo hadithi zake za kitaahira auwawe.

Dini ni stori za kutunga ila kwenye quran zilitungwa na watu wasio na akili yoyote.
Huu ndo ukweli ila wajukuu wa mudi watakuja kukutukana
 
Kwa nini mnahangaika kumtetea Yesu....kama vile hayupo...si alifufuka na kupaa na kuahidi kurudi...sa nguvu/povu za nini wakati yupo hai...mwacheni ajitetee mwenyewe. Siku akiona uzi huu na nyuzi nyingine nyingi kama za Kiranga ataamua mwenyewe nini cha kufanya acheni kupoteza muda.
Wanahangaika kumtetea kwa sababu hayupo.

Angekuwepo angesawazisha mwenyewe.

Yesu hana roho mbaya ya kutuchunia na kutupotezea hivyo.
 
Mimi natafuta elimu sana, nimesoma si Biblia tu, bali mpaka Dhamapada,Tripitaka, Rig Veda, Talmud, Egyptian Book of the Dead, Tibetan Booknof the Dead, Tao Te Ching na anthologies kibao za falsafa ya dini.

Ukisema ipo siku nitajua Mungu yupo, hiyo ni statement ya imani, mimi sipendi kuzungumzia imani, napenda kuzungumzia facts.

Hivyo ukiniambia ipo siku nitajua Mungu yupo, niambie umejuaje, hiyo siku ni lini, ikiwezekana tuijue turudi hapa kuhakiki.

Yesu alikuwa mtu tu, ndiyo maana alikuwa mpaka na kaka na dada zake.
Nimeishia kucheka.

Hiyo siku ni unknown, ila tu katika pitapita zako unazosoma, itafika wakati utakiri tu.
 
Katika vitabu vya hadithi za kidini, quran ni kitabu chenye hadithi za kitoto na zisizo na kichwa wala miguu kuliko vitabu vingine vyote.

Mohamed kugundua kwamba kitabu chake kimejaa childish stories, akatishia watu mtu yoyote atakaehoji hizo hadithi zake za kitaahira auwawe.

Dini ni stori za kutunga ila kwenye quran zilitungwa na watu wasio na akili yoyote.
Acha uongo na wewe...
 
Huwezi kujua kile ambacho hakipo.

Sijaongelea lolote kuhusu ninavyotaka Mungu awe, naongelea logical inconsistensies katika maelezo ya kuwepo kwake.

Unajuaje kuna supernatural power?

Unaelewa kwamba ukisema kwamba order haiwezi kutokea yenyewe ni lazima itengenezwe na order kubwa zaidi, kimsingi unakataa uwepo wa Mungu muumba vyote hapo?
Kwa jinsi binadamu alivoumbwa, mifumo inavyofanya kazi, viungo vilivipangiliwa n.k, nikiangalia wanyama, mimea, na viumbe wengine, bahari, upepo, mvua, naona wazi kuna kitu au mtu au nguvu fulani aliyefanya hivi, Super natural power...ambaye ni Mungu.
 
Kwa nini mnahangaika kumtetea Yesu....kama vile hayupo...si alifufuka na kupaa na kuahidi kurudi...sa nguvu/povu za nini wakati yupo hai...mwacheni ajitetee mwenyewe. Siku akiona uzi huu na nyuzi nyingine nyingi kama za Kiranga ataamua mwenyewe nini cha kufanya acheni kupoteza muda.
Kwani unafikiri hata wakati yupo, alihangaika basi kujitetea kwa waliompinga? Aliwaacha tu.
 
Wanahangaika kumtetea kwa sababu hayupo.

Angekuwepo angesawazisha mwenyewe.

Yesu hana roho mbaya ya kutuchunia na kutupotezea hivyo.
Bahati mbaya, Yesu halazimishi watu kumkubali. Hata kipindi yupo anafanya kazi live, wala hakujisimbua kulazimisha mafarisayo na wengine waliompinga kumwamini
Yesu anataka umkubali kwa hiari yako, wala hatumii mabavu
 
Back
Top Bottom