Mambo ambayo mwanaume unatakiwa na hutakiwi kufanya kwenye mawasiliano ya simu

Mambo ambayo mwanaume unatakiwa na hutakiwi kufanya kwenye mawasiliano ya simu

Mwanaume ni marufuku kula Pipi Kijiti(Lolipop) hadharani,ukilazimika basi ivunje vipande kisha kula ikiwa vipande vipande sio kulamba kwenye kijiti kama wanawake
Au mtu anamenya ndizi ya kuiva halafu anaitia mdomoni mithiri ya wale wadada wa kwenye X wanavyoweka yale madubwana mdomoni.

Mwanaume unamenya ndizi halafu unaimega ndipo unatupia kile kipande mdomoni.
 
Au mtu anamenya ndizi ya kuiva halafu anaitia mdomoni mithiri ya wale wadada wa kwenye X wanavyoweka yale madubwana mdomoni.

Mwanaume unamenya ndizi halafu unaimega ndipo unatupia kile kipande mdomoni.
Ni kweli
 
Nyongeza: unapokuwa na shida na bosi wako au kiongozi wako usimbeep na unapompigia hakikisha una Salio la kutosha kumaliza kueleza shida yako. Unapoishiwa Salio katikati ya maongezi na watu kama hao inaashiria yafuatayo
Hujiamini
Huna uhakika na jambo unalosema
Hauko Sirius na unalosema
Na ikiwa atakupigia mwenyewe kumalizia mazungumzo basi atakudharau na kujiona ni mkubwa kwako tuu hahaaaaaaa
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom