Mambo ambayo mwanaume unatakiwa na hutakiwi kufanya kwenye mawasiliano ya simu

Mwanaume ni marufuku kula Pipi Kijiti(Lolipop) hadharani,ukilazimika basi ivunje vipande kisha kula ikiwa vipande vipande sio kulamba kwenye kijiti kama wanawake
Au mtu anamenya ndizi ya kuiva halafu anaitia mdomoni mithiri ya wale wadada wa kwenye X wanavyoweka yale madubwana mdomoni.

Mwanaume unamenya ndizi halafu unaimega ndipo unatupia kile kipande mdomoni.
 
Au mtu anamenya ndizi ya kuiva halafu anaitia mdomoni mithiri ya wale wadada wa kwenye X wanavyoweka yale madubwana mdomoni.

Mwanaume unamenya ndizi halafu unaimega ndipo unatupia kile kipande mdomoni.
Ni kweli
 
Upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…