Kwani wapi nimesema ni shida?Sawa kama mataifa yote yanaizungumzia Marekani kwann ss iwe shida?
Kimenichanganya hicho ki-avatar mkuu 😅Hizi ni Id' mbili tofauti
Haya nimekuelewaKwani wapi nimesema ni shida?
Uzi unaongelea mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa na Tanzania.
Mimi nimesema Marekani imezidiwa na Tanzania jinsi Watanzania wanavyoijadili Marekani kila siku, Wamarekani hawaizungumzii Tanzania kama Watanzania wanavyoizungumzia Marekani.
Nimechangia mada ya mleta uzi mambo ambayo Tanzania inaizidi Marekani.
Huelewi wapi?
Wengi mno, 'average' Americans wanaoijua TZ ni wachache mno kwanza kuna wengi wanaodhani kuwa Africa ni nchi moja.Me: "I'm from Tanzania"
American: "Did you say Tasmania?".
Wamarekani wengi hata hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani.
Siyo tatizo wenyewe ni taifa kubwa!!ila haindoi ukweli kuwa kuna mambo tumewazidiWengi mno, 'average' Americans wanaoijua TZ ni wachache mno kwanza kuna wengi wanaodhani kuwa Africa ni nchi moja.
Ni sawa na Watanzania uwaulize kuhusu Tonga au Tuvalu wengi watakutolea mijicho tu.
Hilo ni kweli ila ilikuwa mada ya jmos ambayo tayari nimeshaiandaa unavujisha pepaa mzeeTanzania imeizidi Marekani kwa kupokea misaada kutoka Marekani kuzidi Marekani inavyopokea misaada kutoka Tanzania.
Yapi?Shukrani ila Tanzania kuna mambo tumewazid Wamarekani
Soma uzi upyaYapi?
Ila yote yaliyoorodheshwa kwenye uzi hakuna hata moja tulilowazidi, huo ndiyo ukweli mchungu.Siyo tatizo wenyewe ni taifa kubwa!!ila haindoi ukweli kuwa kuna mambo tumewazidi
Ya kwenye uzi ni big to the hell NO labda ujaribu kutafuta mengine.Soma uzi upya
Hayo ni maoni yakoIla yote yaliyoorodheshwa kwenye uzi hakuna hata moja tulilowazidi, huo ndiyo ukweli mchungu.
Ndo hayo hayo kama hutaki basiYa kwenye uzi ni big to the hell NO labda ujaribu kutafuta mengine.
Una ma tatizo ya akili, watu hawawezi kula milo mitatu, unasema bongo kuna Amani! Bongo njaa tu, na ufisadi, majizi, madikiteta ndio yapo ikulu, yanalazimisha kukaa ikulu, nchi zenye Amani na furaha ni UK, Korea kusini, china, Afrika ni ukimya tu wa umaskini!Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Asante kwa maoni yako ww usiye na matatizo ya akiliUna ma tatizo ya akili, watu hawawezi kula milo mitatu, unasema bongo kuna Amani! Bongo njaa tu, na ufisadi, majizi, madikiteta ndio yapo ikulu, yanalazimisha kukaa ikulu, nchi zenye Amani na furaha ni UK, Korea kusini, china, Afrika ni ukimya tu wa umaskini!
Umeamua kubisha sina cha kukusaidiakwenye rasilimali za asili naomba nibishe
ifahamike kwamba marekani ni nchi kubwa sana(karibia 1/3 ya bara zima la afrika)
ina biomes nyingi tofauti na hapa hivyo biodiversity lazima ni kubwa
inazalisha mafuta ghafi kuliko nchi yeyote ile
na wao wana wanyama maarufu; grizzly bears, the alaskan moose, the american bison, the gray wolf. wanavutia sana
nadhani hata ukigoogle list ya most biodiverse countries hutoikuta tz 20 bora
Jina sahihi na shetani watu.VI. MIUNGU WATU
Bora ajali,kipindupinduKuna wabongo hawali kuku wa kisasa waishi maisha marefu halafu jioni wanachinjika kwenye ajali ya hovyo ya bus kwa sababu ya miondombinu mibovu!
Unaleta uongo then shamelessly unadikiri kusema hayo ni maoni yangu, hayo maoni yako pathetic si ndiyo kituko cha Karne.Hayo ni maoni yako