Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kila mtu Ana mawazo yakeJina sahihi na shetani watu.
Haya mm ni muongoUnaleta uongo then shamelessly unadikiri kusema hayo ni maoni yangu, hayo maoni yako pathetic si ndiyo kituko cha Karne.
Sawa sawa nchi yangu haipoHata hawaijui nchi yako kama ina exist
haya ndiyo matokeo na faida ya kujibanza chooni wakati wenzako wanapiga shule darasani ...Shule ngumu sana haya twende upande wa Pili wa shilling
Bora useme ww nikisema mm naitwa chawahaya ndiyo matokeo na faida ya kujibanza chooni wakati wenzako wanapiga shule darasani ...
kila jambo utaliona gumu na haliwezekani Tanzania 🐒
Kama watu wa huku wapo hivo mm hapana,ila lakuweka akilini kuwa huyu wa sahv nimtaalamu sana wa haya mambo so utahisi sana mkuuHizi ni Id' mbili tofauti
Asante kwa maoni yako mkuuuUmesahau mambo mengine muhimu zaidi. Hayo yote uliyoyaandika, Tanzania haiwezi kujivunia kwa sababu hayakutokana na utaalam, bidii au ujuzi wao. Hayo wa kusifiwa ni Muumba wa mbingu na nchi.
Lakini kuna mambo ambayo tunaweza kujisifu, ambayo ni matokeo ya bidii yetu, ambayo tunaizidi Marekani, na huenda tunazizidi nchi zote Duniani:
1) Kuteka na kuua wanaokataa kuwa machawa wa Rais.
2) Watawala hupora rasilimali asilia za nchi na kuwagawia wageni alimradi wao wakipata hongo iliyonenepa, na baada ya hapo machawa hushindana katika kuwasifu hao watawala.
3) Wananchi wake kuridhia kuongozwa na watu wenye akili na upeo mdogo.
4) Vyombo vya ulinzi na hasa polisi na TISS kuwa mali ya watawala, na hupambana na watu wanaomkosoa mtawala badala ya kushughulika na usalama wa wananchi na mali zao.
5) Tunawazidi katika kuyapa mambo ya kijinga uzito mkubwa kuliko yale ambayo ni ya muhimu, kama vile nchi kukosa pesa ya kutoa elimu bora au huduma bora za afya, lakini ina pesa tele za kuwazungusha wasanii Duniani kote wakilipwa posho ya dola 1,000 kwa siku baada ya kuwalipia gharama zote, au kuwa na pesa tele ya kununua magoli.
6) Tunawazidi kwa viongozi wetu kuwa wabinafsu, muda wote kutojishughulisha kufikiria ustawi wa Taifa, bali wanafikiria namna ya kubakia madarakani, iwe kwa njia za kishetani au njia halali.
Kakate gogo kwanza kisha uje tena uandikehaya ndiyo matokeo na faida ya kujibanza chooni wakati wenzako wanapiga shule darasani ...
kila jambo utaliona gumu na haliwezekani Tanzania 🐒
Hampendi kuambiwa ukweli?mkuu ukweli utakuwa huruKakate gogo kwanza kisha uje tena uandike
Darasa la pili aUmesoma mpaka level ipi.?
Ukweli upi kwa mfano unaweza kulinganisha developed country na developing country hata robo wewe au shule ulienda kusomea ujinga?Hampendi kuambiwa ukweli?mkuu ukweli utakuwa huru
Ndio maana kichwaboxDarasa la pili a
Sijalinganisha kiujumla nimechukua mambo sita kati ya mambo mengi waliotuzidiUkweli upi kwa mfano unaweza kulinganisha developed country na developing country hata robo wewe au shule ulienda kusomea ujinga?
Ww unachojua ni kuandika tuu ,akilo hunaIngiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Sawa wewe uliyejaliwa kichwa cha pentagonNdio maana kichwabox
Nashukuru kwa kutambua kuwa najua kuandika ubarikiwe mkuuWw unachojua ni kuandika tuu ,akilo huna