Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Mkuu ongeza k+vant nyingine ntalipa mm.maana walevi ukiwaambia pombe sio wanakuona mgay gay ona sasa upuuzi unao uandika hapa.
 
Kumbe hata ukifumuliwa Kinyeo marinda hayatoki.

Asante dokta. Wacha nikafumuane.
Ujamuelewa mtoa mada, mtoa mada yupo sahihi hakuna kitu PHYSICALLY kinachotwa marinda hio ni concept ikiimanisha umeingizwa/kulawitiwa, inamaana ukiingizwa mara moja tu na kutoa tiali unakuwa Huna marinda sio kwamba kuna kitu KIPO PHYSICALLY kinaondoka.

Kingine cha kuongeza kwenye list

11/Kuzaa kwa uchungu ndio inamfanya Mama ampende mtoto si kweli
 
😂😂nachowaambia wanabisha wanasema mi ni shoga sijui Nini...kwani mademu si wanapigwa nao nyuma au Mungu kaumba Malinda zao strong... vitu vingine afu asa hii ni moja Kati zote yaani wameona zingine hazina maana wamekazania Malinda Malinda
 
Hamna sehemu ambayo nimesema Mungu hayupo kwenye facts zangu 9... nimesema dini zote Zina claim kuwa ni za Mungu lakini ni manmade... so Mungu kuwepo au kutowepo sio part ya mada hio...
Nimekubaliana na ww kwenye hoja zote, ila kwenye Ili jibu sikubaliani na wewe. Mungu hayupo iyo iko wazi.
 
kwenye uwiano wa population kati ya wanaume na wanawake na wewe umetupiga.!Wanawake ni wengi kuliko wanaume.. Birthrate ya wanawake ipo juu kuliko wanaume na Deathrate ya wanaume ipo juu kuliko wanawake.. so automatically Wanawake watakuwa wengi kuliko wanaume.

 
Unataka ku-verify uhunu wako? Acha mapenzi ya jinsia Moja.
 
Watakaoamini hii propaganda yote kwa ujumla ni mawaki.
 
wewe kweli una mental problem, kwenye post# 105 umeandika "Kuna mademu tunawala anal vizuri na wala hawavai pampus" halafu hapa Tena unaandika "mm sifanyi anal..." which is which ? shwain wahed!
 
Kama Kuna sehemu nimeandika Tanzania sawa...endelea kuniletea statistics zako za bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…