SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
- #241
Hujaelewa nini mkuuMmmmmh huu mkeka cjaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa nini mkuuMmmmmh huu mkeka cjaelewa
Okay... Nimekuelewa niambie fact ambayo unaona nimekosea kuiclassifyrekebisha lugha yako.
Kutokuwa ya kweli haina maana kua ni ya uwongo. Kuna tofauti kubwa sana kati jambo kutokuwa la kweli na jambo kuwa la uwongo. Kutokuwa la kweli ni refelection ya kutokuwa na taarifa sahihi, na kuwa uwongo ni kupotosha ukweli kwa makusudi.
Kama una hoja leta mkuuUmeandika ujinga
Ndo akili yako ya kupakwa mafuta ya upako na wachungaji iliyokutuma ..Sina Cha kukusaidiaBora na wewe umeona hilo, jamaa andiko lake limejikita kwenye kuhamasisha ushoga.
Kama hicho tu ndo ulichoona unachofanya ni kunisaidia kuprove kwamba wabongo mnawaza ujinga tuKwa upande wa kujaamiana naona upo upande wa upindensk na kiimani wewe ni mshirikina.
Kama uchambuzi wako unakutuma hivyo bac that proves bongo hamna akili...kanunue chumvi Mgando kwa mganga na mchungaji wakoWewe itakua kibendera mbn umewatetea kwenye no 6
We Kama unataka nenda kampe mi sijataja hayo maneno kwenye postUna maanisha marinda yetu tunkabidhi papa
Niambie kitu ambacho nimedanganya kwenye hizi facts...kama hujui kitu na wenzako wanajua usitoe povu jifunzeAcha kuwa mjuaji,si kila kitu unafahamu
Nimefila demu wakeKuna mtu anauliza umejuaje kuwa unaweza ingiliwa nyuma na bado ukawa na marinda 😄
Kama kwenye vitu 9 umependa vitu viwili that shows ndo Mambo unayopenda...sio mimi6 na 7 ndio ulilenga kuhalalisha.
Mi sio shoga...Hio ya marinda nitakujaribu tuone
Kwa hiyo mkuu walikuachia marinda yako?. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana marinda, again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu.
Haina madhara hata Mimi kukuingilia haiwezi kukufanya uwe shogaMi sio shoga...
Kama nimesema hayo maneno sehemu yoyote kwenye huu uzi semeniKwa hiyo mkuu walikuachia marinda yako?
We ndo shogaHaina madhara hata Mimi kukuingilia haiwezi kukufanya uwe shoga
Hizo aina 1500 za wanyama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja hebu tutajie na utuletee kapicha tuwaone ukishindwa jipige picha hata hata ww tuNaomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.
1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo.
2. Bikra ya mwanamke ni concept sio kitu cha kuwepo na kutoka. mwanamke anaweza awe bikra na asitoke damu wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.
3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.
4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini
5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order wala nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.
6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo jinafanya mapenzi ya jinsia moja, so ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.
7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana marinda, again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu.
8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.
9. Dini zote duniani ni man made, hamna hata dini moja imetoka kwa muumba sijui nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.
I think ni hayo tu, mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
Umekosea kwa kusema kuwa yote ni uwongo badala ya kusema kuwa siyo kweliOkay... Nimekuelewa niambie fact ambayo unaona nimekosea kuiclassify
Sawa... nisameheUmekosea kwa kusema kuwa yote ni uwongo badala ya kusema kuwa siyo kweli