HISTAMINE
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 477
- 1,135
Mtoa mada uko sahihi 100%
Ni vile tu akili za wadau zimeegemea maeneo flani; yaani wanalazimisha kutafsiri uzi kuelekea maana flani (potofu) ambayo mtoa mada wala hata hajagusa.
Enzi hizo yule jamaa aliyetafiti na kugundua kwa nia nzuri tu kuwa dunia inazunguka jua na si vice versa (kama ilivyodhaniwa hapo awali) alishambuliwa sana na hata kutengwa na dini wakiamini anatibua maandiko. Ndio nnachokiona kwa mashambulizi ya wadau wengi humu juu yako.
Ni vile tu akili za wadau zimeegemea maeneo flani; yaani wanalazimisha kutafsiri uzi kuelekea maana flani (potofu) ambayo mtoa mada wala hata hajagusa.
Enzi hizo yule jamaa aliyetafiti na kugundua kwa nia nzuri tu kuwa dunia inazunguka jua na si vice versa (kama ilivyodhaniwa hapo awali) alishambuliwa sana na hata kutengwa na dini wakiamini anatibua maandiko. Ndio nnachokiona kwa mashambulizi ya wadau wengi humu juu yako.