Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Nimekuelewa kwenye masturbating ndio kila kitu kina negative effect lakini sio Kama inavyopigwa vitu...hizo mental health ni true...ila kuhusu premature ejaculation ni uwongo actually inaleta delayed ejaculation ambayo ni mbaya pia kwa sababu unafanya muda mrefu kwa hisia chache pasipo kumwaga hata mwanamke anaona jau na michosho
Kuhusu population nimetumia world population na sio population ya Tanzania Wala kituo chako Cha afya...Tanzania nzima wanawake wamezidi kwa million moja tu na sio hizo ratio ulizoweka hapo sijui 1 kwa nne ni uwongo . Kingine kuhusu anal ni sawa unachosema lakini sio Kama inavyopigwa promo . Kuna boys na girls wanafanya mapenzi ya hivyo safely (lubricants, condoms etc) ambayo unafanya isiwe na madhara as wanavyotishia...mi sifanyi anal Wala sio shoga ila I'm saying kwamba watu wasitishane kisa wao hawapendi
Nashukur kwa baadhi ya vitu unavielewa..

na kuhusu population Na mimi pia nimekupa Population iliyo kwenye WHO birth statistics..
Sijui unajua WHO ni
Tanzania au wapi mkuu..
Hiyo niliyokuambia ukitaka uthibitisho nitakupa maana ni ya Tanzania na ipo hata hapo wizara ya Afya achana na mambo ya kupika kwenye vijiwe..

Nilichokupa kwenye ratio ni sahihi kabisa kulingana na Birth Ratio ya tanzania zipo nenda wizara ya afya angalia utazipata..
 
6
[emoji33]
Hao wanyak watakuw wana jinsia mbili ni automatic n hali zao
 
Mkuu, hivi ni kweli ukivaa nguo nyekundu wakati wa mvua unapigwa radi?

Na vipi unapomnyonyoa bata, ukiongea manyoya yanarudi?

Eti ni kweli simba anapokuwa anazaa huwa kuna mvua na jua vinakuwepo kwa wakati mmoja?

Hivi mkuu, mtu mwenye tabia ya kujisaidia njiani, akiwa pembeni ya moto wa kuni moshi humfuata?

Nisaidie mkuu, unaonekana wewe ni mjuvi wa mambo
 
Nashukur kwa baadhi ya vitu unavielewa..

na kuhusu population Na mimi pia nimekupa Population iliyo kwenye WHO birth statistics..
Sijui unajua WHO ni
Tanzania au wapi mkuu..
Hiyo niliyokuambia ukitaka uthibitisho nitakupa maana ni ya Tanzania na ipo hata hapo wizara ya Afya achana na mambo ya kupika kwenye vijiwe..

Nilichokupa kwenye ratio ni sahihi kabisa kulingana na Birth Ratio ya tanzania zipo nenda wizara ya afya angalia utazipata..
Achana na mambo ya statistics. Tena kwenye wizara zetu ndio kabisa. Naelewa nachokwambia
 
1. Ratio ya wanaume na wanawake duniani iko karibia sawa, hili haliitaji ubishi. Chukua hata sensa ya nchi iliyofanyika mwaka jana. Unapofanyia kazi sio uwakilishi wa kisayansi wa Tanzania nzima, kuna sehemu nyingine pia watoto wa kiume wanazaliwa kwa ratio kubwa kuliko wale wa kike.

2. Mengine uliyoandika kuhusu masturbation ni pseudoscience zaidi kuliko science halisi.
Kuhus Ratio ni sawa..
Ila kuhus Masturbation sio pseudoscience kuna Reseaech kibao na study zimefanyika na zimethibiyisha hayo kwahyo i can never call pseudofacts
 
Naomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.

1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo.

2. Bikra ya mwanamke ni concept sio kitu cha kuwepo na kutoka. mwanamke anaweza awe bikra na asitoke damu wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.

3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.

4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini

5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order wala nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.

6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo jinafanya mapenzi ya jinsia moja, so ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.

7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana marinda, again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu.

8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.

9. Dini zote duniani ni man made, hamna hata dini moja imetoka kwa muumba sijui nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.

I think ni hayo tu, mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
Mapepo ni watu!
 
Nashukur kwa baadhi ya vitu unavielewa..

na kuhusu population Na mimi pia nimekupa Population iliyo kwenye WHO birth statistics..
Sijui unajua WHO ni
Tanzania au wapi mkuu..
Hiyo niliyokuambia ukitaka uthibitisho nitakupa maana ni ya Tanzania na ipo hata hapo wizara ya Afya achana na mambo ya kupika kwenye vijiwe..

Nilichokupa kwenye ratio ni sahihi kabisa kulingana na Birth Ratio ya tanzania zipo nenda wizara ya afya angalia utazipata..
Ingia Wikipedia search population sex ratio utanishukuru
 
Mkuu, hivi ni kweli ukivaa nguo nyekundu wakati wa mvua unapigwa radi?

Na vipi unapomnyonyoa bata, ukiongea manyoya yanarudi?

Eti ni kweli simba anapokuwa anazaa huwa kuna mvua na jua vinakuwepo kwa wakati mmoja?

Hivi mkuu, mtu mwenye tabia ya kujisaidia njiani, akiwa pembeni ya moto wa kuni moshi humfuata?

Nisaidie mkuu, unaonekana wewe ni mjuvi wa mambo
Vyote ni uwongo isipokuwa hiyo ya bata ambayo Sina Data nayo...😂lakini ata mwenyewe si unaweza jua hizi ni story tu za watoto wa primary kuambiana au unatania mkuu
 
Kuhus Ratio ni sawa..
Ila kuhus Masturbation sio pseudoscience kuna Reseaech kibao na study zimefanyika na zimethibiyisha hayo kwahyo i can never call pseudofacts
Masturbating hasara zake ni mental sawa hatujakataa ila haina effects za kutodinda cjui kutozaa cjui upofu cjui watoto njiti sijui kutokuwa na akili etc kama wanavyosema kwenye majukwaa ya wadini
 
Umechanganya tu ma-file kimkakati lakini ukweli uko wazi … kuna ELEMENT za Davidi kameruni
 
Masturbating hasara zake ni mental sawa hatujakataa ila haina effects za kutodinda cjui kutozaa cjui upofu cjui watoto njiti sijui kutokuwa na akili etc kama wanavyosema kwenye majukwaa ya wadini
Mkuu hizo ulizotaja sio za kweli hata kidogo😅😅
Mtoto njiti anahusiana vipi na masterbation..
Kwanza masterbation sio dhambi..
Akija mtu akwambie ni dhambi mwambie akuonyeshe andiko..
Ila ni kosa la kimaadili na kisaikolojia
 
Back
Top Bottom