Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Mkuu Simbampole, Salaam!

Imekuwa ni siku nyingi Tangu uweke Bandiko humu hilo ni kweli kabisa..

Nimeona umeandika Point kadhaa hapo naomba niweke wazi kwamba nakubaliana na wewe Vizuri kabisa kwa Point namba 2,3,5,6,8 na 9..

Na sikubakiliani na wewe kwa Point 1, 4 na 7

  • Point yako ya kwaza kuhusu Takwimu za uwiano,Sijui umetumia Sample space ya nchi gani au Dunia Gani ila nakuhakikishia kuwa Wanaume si wengi kuzidi wanawake..I can justify it kwa Kuchukua sensa Ya Tanzania ya mwaka wowote ule utajua hilo...Na kingine ninafanya kazi sector ya afya Watoto wa Kike wanaozaliwa Tangu 2000s Ni almost 4:1 ratio kwa watoto wa kiume.. na ninaweza kuthibitisha hilo ukitaka kwa kutumia Data za WHO childbirth statitlstics..
  • Point ya pili kuhusu Masterbation..kitu ambacho naamini ni kwamba wewe mwenyew unajua kuwa masterbation Haiko salama hata kidogo kama inavypigiwa chapua...it has some effect on Mental Health.....ambazo nakuwekea hapa chini
    • Interference with Intimate Relationships mtu aliyezoea mastarbation wengi wanashindwa kufanya kazi na wanakosa sexual connection na mpenz wake kwa sababu ashazoea kutumia mikono kwahyo wengi hawadumu kwenye mahusiano..
    • Temporary Erectile dysfunction.. Uliza wengi waliopiga hii mishe wengi watakuwambia lazma waliingia Chumbani na Msichana na Muda mwingine Wanashindwa kufanya chochote kwa sababu mzee hataki kuamka kuafanya shughuli
    • Premature Ejaculation..nafikir haoa sitaki sana kuelezea maana 90% ya wapiga vitu wakikutana na Vitu halisia Brake hazikabi ni dakika tatu tu..
    • Mastarbation ukiifanya sana inakupa Uraibu uraibu huo wa masterbation unasababisha impaired Cognitive function "Yaani unamkuta Mtu yupo yupo tu mara hajipendi" au Ni mtu yaani haimjielewei elewi tu akili yake inasoma mara haisomi ..
    • Ya mwisho kwa sasa ni Behavior change, mood swing, Mtu anakuwa na mihasira hasira isiyoeleweka anakuwa yuko sensentive yote ni kwa sababu ya Hormonal Fluctuation ambayo husababishwa na kuongezeka kwa oxytocin na endorphins, Hormknes kila anapokuwa Anafanya sasa unakuta anafanya mpaka sinakuwa nyingi kwenye blood stream
  • LA mwisho ni kuhusu Anal sex..Dah umenisikitisha sna Umeshindwa kujua Kuwa Kinachofanya anus Ipoteze marinda ni ile Kulegea kwa Sphincter ambako kunasababishwa na pressure kubwa ya Uume unaingia mara kwa mara kwa kutoka ambayo ndo hutanua Zile anal sphincter..
Kama na hili utabisha basi niambie nikupe elimu yote kuhus Micro tear on the anal folds na spincter
 
pamoja na death grip syndrome, kuchelewa sana kumwaga

kuna watu watasema ni raha, ila sio
 
Kama huna fact research

Uzi wako ni batili
 
Namba 5 umezingua. 8 na 9 tupo pamoja.
 
Marinda ni nini?

Point namba 7 eleza vizuri.
πŸ˜… Mwenye sijui wanasemΓ ga sijui mtu akifanya anal hawezi kunya ye ni kuharisha tu...that's wat I meant..ni uwongo wapo mademu tunawala anal vizuri na hawatumii pampus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…