SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
- #121
Sawa mkuuWewe ndio umeleta ujuaji😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuWewe ndio umeleta ujuaji😅😅
Ndo hivyoDuh aiseee
100% True..pamoja na death grip syndrome, kuchelewa sana kumwaga
kuna watu watasema ni raha, ila sio
5 Ni kweli 100%Namba 5 umezingua. 8 na 9 tupo pamoja.
Kivipi TenaUzi umenichanganya
Uliza kipi katika ya hivyo 9... nitakujibu nachoweza vingine nitakupa source za mtandaoni ukatafute...kama we ni wale wa "siamini google ila naamini mchungaji/sheikh/mjomba/kijiwe changu" bac hatuwezi saidiana kimaarifaTupe fakt kwann ni uongo ..tuelezee kdg il 2elewe
Mi katika kusafiri kwangu dunian aisee Mungu yupo. Shida ya Mungu anapatikana kwa yule anaemtafuta sio kwa wale wasio na shida nae. Pili kila kitu unachofanya ukaweka hapo akili zako zote unapata hicho hicho. Akiwazacho mjinga ndicho humtokea.Sawa mkuu nimekuelewa... lakini vingi ni researched topic najua ni controversial facts katika jamii zetu ila ni reality...uzuri umeelewa
Anapigia promo mambo yake huyoo
Hamna sehemu ambayo nimesema Mungu hayupo kwenye facts zangu 9... nimesema dini zote Zina claim kuwa ni za Mungu lakini ni manmade... so Mungu kuwepo au kutowepo sio part ya mada hio...Mi katika kusafiri kwangu dunian aisee Mungu yupo. Shida ya Mungu anapatikana kwa yule anaemtafuta sio kwa wale wasio na shida nae. Pili kila kitu unachofanya ukaweka hapo akili zako zote unapata hicho hicho. Akiwazacho mjinga ndicho humtokea.
10. Simba Sc ni mbovu 🤓🤓🤓 hili nalo yanga & co. Ltd wanajidanganya..Naomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.
1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo.
2. Bikra ya mwanamke ni concept sio kitu cha kuwepo na kutoka. mwanamke anaweza awe bikra na asitoke damu wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.
3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.
4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini
5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order wala nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.
6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo jinafanya mapenzi ya jinsia moja, so ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.
7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana marinda, again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu.
8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.
9. Dini zote duniani ni man made, hamna hata dini moja imetoka kwa muumba sijui nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.
I think ni hayo tu, mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
Nguva je wapo?Uchawi upo