Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Kuna Ile list yakwanza pale juu uliorodhesha naomba yote viko kama nane hiv umecomment pale juu kabla ya huyu uliemtumia vinne hv nishavichukua tayar ila Kuna list pale juu inatitle nzuri nyng naomba
Ntaituma na kuna list hapo juu katuna Kiranga pia icheck
 
Hahahahaha inabidi ukawaoe wote , maana naona pia wanaweza kufa siku moja wote.
Nimeshaachana nao halafu sasa kigezo chao cha kuachana nao ni vile wanahisi labda naweza nisiwaoe au kuwapotezea muda kwani wote hao wanne wamenipita umri sawa wa miaka mitatu, so wanaona watakuja kuchoka then ntakula Kona kwani wanaume hatuzeeki haraka, hivyo nikishagundua hilo napiga chini nachukua Mali nyingine Safi naendelea kula ngozi, japo kishingo upande inauma Ila haina jinsi, kwani mtoto wakiume hutakiwi kuteswa na mapenzi.
 
Kuna Ile list yakwanza pale juu uliorodhesha naomba yote viko kama nane hiv umecomment pale juu kabla ya huyu uliemtumia vinne hv nishavichukua tayar ila Kuna list pale juu inatitle nzuri nyng naomba
Uvisome kweli ungeanza na hivyo vinne kwanza, mpaka asubuhi uwe umevimaliza vyote
 
Sawa elezea na masogange kuzaliwa na kufa siku moja kama Avicii

Hizi ni coincidences tu ambao elimu yake inataka kufanana na unajimu sababu kila roho ni energy, hii energy inavyotransform kutoka kwenye aina iliopo na kuja kuwa mtu inaacha gaps na hio gaps ndizo zinakuja kuwezesha uhusiano kati ya hio roho na mambo kadhaa. Somo refu sana hili
 
Mkuu ukipata Muda naomba PDF
 
Huyu ya pili alitengenezwa ili auwawe kama wa kwanza, wauaji walitengenezwa na kila kitu kilisukwa, unajua ni kwanini? Kwasababu ya huo muda wa miaka mia moja, walihitaji miaka hii ili tukio liweze kutimia. Kama wangepishana kwa miaka 4 hadi 20 huu mpango usingefaa kwasababu wasingeweza kuutengeneza kwasababu ya uchache wa muda na umuri wa watu wa movie hiyo.
Siwezi kueleza zaidi ila kuna watakaonielewa.
 
Mkuu utamtengeneza mtu mpaka siku yake ya kuzaliwa
 
Umetafakar vzr ulichokiandika l?

Kwahyo mtu aliyetengeneza alikuwa ni Nan na yeye alikaa Kwa umri Gani kusubiri alichokitengeneza kitimie? Kumbuka miaka 100 sio umri mdgo na hadi kusema swala la kutengeneza tukio huyo mtengenezaji mwenyew sio mtoto ni mtu mzma

mwenye akili zake timamu nataka ufanye upembuzi kichwani mwako wakat anapanga huo mpango yeye mwenyewe aliwezaje kutimiza mpango wake au yeye hakuwa na sifa ya kufa kulingana na gap Hilo la 100yrs.
 
Please soma vitabu mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…