Jesus is Lucifer in another point of view, do you agree?
Lazima tuelewe majina yote ya kiebrania ni Vitenzi
1.Yeshua ni kuokoa au kuleta, Je alileta au kuokoa kipi ?
2.Lucifer ( Cherub n worhsip Dep President ) au light bearer
Kwanini Yesu alijiita Nyota ya asubuhi ( Mbeba nuru ) ni kumu outshine alyekuwa akiitwa hivyo ambaye kwa muda huo ameshavuliwa gwanda
Hapo ni kumuonesha Jina na mamlaka yale si yake Tena na asijipe ukuu asiohusika nao
Names reveal character and Nature
Satan( Adversary ) hata akikuahidi kizuri Hana maana hiyo
Devil ( Slander ) Kuongea ukweli ili kuhalalisha au kushawishi uovu...Ukila haufi we kualaa
Destroyer ( critical damage ) Hakuna jema ni kill no intimacy.
Serpent ( Hyp au sura mbili za maigizo ) ni Kama alivyofanya kwa Eve na ni tavia za Nyoka kukaa kukusubir kwa kipindi kirefu Hadi ufike Sehem yaje sahihi ya kukushambulia
Temper hapa atakutest Kama Wewe Ni Mzinzi ukisema Mimi sizini Tena atatest your sanity n trust kwa kukuletea pisi Kali zinazokuvuruga kichwa.
Kwanini alifanikiwa kuondoka na baadhi ya malaika, tafuta Movie ya Lucifer Episode inayoongelea SANCTUARITY
From Lucifer ( L' bearer to Satan ( Accuser / Adversary )
Hawezi Tena kuwa Nyota atabakia kuongelea ilikuwa nafasi yangu ile
yeshua hawezi kuwa Satan