Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Lakini hilo halizidi lile la mwanasiasa fulani anayetamani kuwa Raisi wa nchi hii ila ana makazi ulaya na familia yake ina uraia wa marekani. Inashusha heshima sana kaa nchi maana wazungu wanajiuliza, 'so this idiot is a president in the making?!!!'
 
Lakini hilo halizidi lile la mwanasiasa fulani anayetamani kuwa Raisi wa nchi hii ila ana makazi ulaya na familia yake ina uraia wa marekani........inashusha heshima sana kaa nchi maana wazungu wanajiuliza, 'so this idiot is a president in the making?!!!'
Nje ya mada
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Kwa hili nakuunga Mkono kwa 100%.
Nchi hii inao unafiki uliopitiliza mpaka nafikiria tungekuwa ndio tunatandikwa kama Palestina!
 
Kazi ipo 😆😆😆

IMG_20231105_210024.jpg
 
Lakini hilo halizidi lile la mwanasiasa fulani anayetamani kuwa Raisi wa nchi hii ila ana makazi ulaya na familia yake ina uraia wa marekani........inashusha heshima sana kaa nchi maana wazungu wanajiuliza, 'so this idiot is a president in the making?!!!'

Idiot ni wewe. Kwani watoto kuzaliwa marekani shida ipo wapi?. Punguza unafiki na chuki.
 
😄😄😄 Kama unaona wivu nenda ukabebe mabango ya Mbowe uanze kuzunguka nayo uwanjani kama kichaa uone kama hujageuka kama kichekesho.Rais samia anapendwa na watanzania ndio maana unaona namna watu wanavyobeba mabango yenye picha yake.

Na siku ikifika huko mpira utakosa maana. Zamani haya hayakuwepo, ila chawa Kama wewe ndio mmeyaleta kwa kuendeleza njaa.
 
Pambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
Usichanganye mpira na siasa. Hata Sheria za FIFA hazitaki. Naamini TFF watatolea tamko hii ya mabango ya kisiasa
 
Back
Top Bottom