saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
kwanza we kenge ujue nchi yetu inaheshimika sana we na familia yako ndiyo mnaodharauliwa. Na kwa upumbavu wako km huu utaendelea kudharauliwa. Shenz wahid.Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900