Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Acha ukichaa wewe, kwani TFF ndio imepeleka mabango? Hujuwi ni mapenzi na upendo mkubwa walionao watanzania kwa Rais wao kipenzi mama samia? Kama umeumia kunywa sumu au pasukaaa au beba ya Mbowe uende nayo uone utakavyozomewa.Usichanganye mpira na siasa. Hata Sheria za FIFA hazitaki. Naamini TFF watatolea tamko hii ya mabango ya kisiasa