Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Pambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?
Au chukulia jezi mojawapo ya mchezaji akakiandika kuwa Mbowe wewe jembe au Rais Samia wewe Jembe then wakawa wanakabana uwanjani.
Maana ya neno football is the fear game ni nini sasa.
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Katika hili usitumie nguvu kubwa wala jazba


Hao waliobeba mabango ni machawa na wametumwa kuja kufanya hivyo, wengine wamekuja kwa lengo hilo tu na sio mpira

Wengine ni wanasoka kweli ila nao machawa
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Ujinga mtupu!
 
Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?
Au chukulia jezi mojawapo ya mchezaji akakiandika kuwa Mbowe wewe jembe au Rais Samia wewe Jembe then wakawa wanakabana uwanjani.
Maana ya neno football is the fear game ni nini sasa.
Pale kwenye mageti sidhani kama ukitinga nguo za upinzani na mabango utaruhusiwa kuingia uwanjani!!
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Hata magori matano ya Yanga kwa simba Tunamshukuru Rais Samia kwa kuwezesha😆😆
 
Watu wameamua kumsifia Rais wao waachwe wafanye hivyo kwasababu hakuna sheria waliyovunja. Ninawapongeza sana hao mashabiki wa soka kuelewa anachokifanya Rais kwa maendeleo ya soka.
 
99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni takataka
Unasema hivyo, ukiwa na maana tutaendelea kuwa ndani ya takataka milele!

Maana namba hiyo hata ufanye nini huwezi kubadili chochote hapo.
 
Hayo mazingira waliyopo wabeba mabango unaona yana fanana na kwa mkapa ???
Pamoja na kwamba siungi mkono ila Inaonekana hayo mabango yalioneshwa nyakati tofauti tofauti Raisi alipokutana na washabiki wa timu hizo
Ni ujinga haswa kufanya hivyo
 
Lakini hilo halizidi lile la mwanasiasa fulani anayetamani kuwa Raisi wa nchi hii ila ana makazi ulaya na familia yake ina uraia wa marekani........inashusha heshima sana kaa nchi maana wazungu wanajiuliza, 'so this idiot is a president in the making?!!!'
Idiot is you father man!
 
Na nyie bebeni mabango ya Mbowe au Lissu
 
Imefikia wakati unampangia mtanzania mwenzako cha kufanya wakati havunji Sheria huku ni kuingilia uhuru wa mtu,wewe kama hauwezi kubeba bango ni akili zako Mimi nitaanza kwenda Kwa mkapa na picha ya mama Samia namkubali sana mama .Wewe mwenye akili umewazidi Nini hao walio beba mabango?
CHADEMA wanaruhusiwa kubeba mabango ya Lissu au Mbowe uwanja wa taifa wakati wa mechi?
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Upendo haulazimishwi wala hauhitaji promo
 
Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?
Au chukulia jezi mojawapo ya mchezaji akakiandika kuwa Mbowe wewe jembe au Rais Samia wewe Jembe then wakawa wanakabana uwanjani.
Maana ya neno football is the fear game ni nini sasa.
Kama hajawaelewa(hajakubaliana) na hoja za wachangiaji huko juu hata wewe hawezi kukuelewa(kukubaliana) na hoja yako. Huyu ana jambo lake!
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
we tunakujua ulivyo mpumbavu na utakufa ukiwa hivyo.
 
Watu wameamua kumsifia Rais wao waachwe wafanye hivyo kwasababu hakuna sheria waliyovunja. Ninawapongeza sana hao mashabiki wa soka kuelewa anachokifanya Rais kwa maendeleo ya soka.
Hata hivyo mbona wameachwa,wakaingia na hayo mabango uwanjani?. Upendo haulazimishwi wala hauhitaji promo
 
Back
Top Bottom