Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?Pambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
Katika hili usitumie nguvu kubwa wala jazbaKumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Ujinga mtupu!Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Pale kwenye mageti sidhani kama ukitinga nguo za upinzani na mabango utaruhusiwa kuingia uwanjani!!Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?
Au chukulia jezi mojawapo ya mchezaji akakiandika kuwa Mbowe wewe jembe au Rais Samia wewe Jembe then wakawa wanakabana uwanjani.
Maana ya neno football is the fear game ni nini sasa.
Hata magori matano ya Yanga kwa simba Tunamshukuru Rais Samia kwa kuwezesha😆😆Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Hahaha.......ila kweli wamepinda sanaWewe angalia midomo utagundua hawa wote ni PANYABUKU
Unasema hivyo, ukiwa na maana tutaendelea kuwa ndani ya takataka milele!99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni takataka
Na Marais wapuuziNchi yenye vijana wengi wapuuzi wapuuzi
Wazee wengi wa hovyo hovyo.
Usitegemee maajabu.
Football hooliganism ufala mkubwa. Jitu liko kijijini ndanindani, utalisikia linasema "Leo tunacheza", we nani bladfaken, linàpanua midomo kubishana as if lina hisa kwenye club. Stupidity....Mpira ni ufala
Ni ujinga haswa kufanya hivyoHayo mazingira waliyopo wabeba mabango unaona yana fanana na kwa mkapa ???
Pamoja na kwamba siungi mkono ila Inaonekana hayo mabango yalioneshwa nyakati tofauti tofauti Raisi alipokutana na washabiki wa timu hizo
Idiot is you father man!Lakini hilo halizidi lile la mwanasiasa fulani anayetamani kuwa Raisi wa nchi hii ila ana makazi ulaya na familia yake ina uraia wa marekani........inashusha heshima sana kaa nchi maana wazungu wanajiuliza, 'so this idiot is a president in the making?!!!'
Akili matope.....Mabango ni ya mkuu wa nchi.
Siyo ya ccm mbona?
CHADEMA wanaruhusiwa kubeba mabango ya Lissu au Mbowe uwanja wa taifa wakati wa mechi?Imefikia wakati unampangia mtanzania mwenzako cha kufanya wakati havunji Sheria huku ni kuingilia uhuru wa mtu,wewe kama hauwezi kubeba bango ni akili zako Mimi nitaanza kwenda Kwa mkapa na picha ya mama Samia namkubali sana mama .Wewe mwenye akili umewazidi Nini hao walio beba mabango?
Upendo haulazimishwi wala hauhitaji promoKumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Kama hajawaelewa(hajakubaliana) na hoja za wachangiaji huko juu hata wewe hawezi kukuelewa(kukubaliana) na hoja yako. Huyu ana jambo lake!Mkuu unatakiwa kuwa realistic na kuacha kuendekeza uchama sana...wewe kwa maono yako unaona waobeba mabango ya wanasiasa kwenye mpira wanafanya jambo lenye afya katika mwendelezo wa mpira?
Au chukulia jezi mojawapo ya mchezaji akakiandika kuwa Mbowe wewe jembe au Rais Samia wewe Jembe then wakawa wanakabana uwanjani.
Maana ya neno football is the fear game ni nini sasa.
we tunakujua ulivyo mpumbavu na utakufa ukiwa hivyo.Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Hata hivyo mbona wameachwa,wakaingia na hayo mabango uwanjani?. Upendo haulazimishwi wala hauhitaji promoWatu wameamua kumsifia Rais wao waachwe wafanye hivyo kwasababu hakuna sheria waliyovunja. Ninawapongeza sana hao mashabiki wa soka kuelewa anachokifanya Rais kwa maendeleo ya soka.