saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
kwanza we kenge ujue nchi yetu inaheshimika sana we na familia yako ndiyo mnaodharauliwa. Na kwa upumbavu wako km huu utaendelea kudharauliwa. Shenz wahid.Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Inavyoonesha watu mmekuwa wabishi kwenda kwenye 'mikutano' Kwa hiyari sasa mnafuatwa huko huko unakokupenda. Nchi tamu sana hii[emoji3]Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Huteuliwi ng'o. Uza nyapuPambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
πππkwanza we kenge ujue nchi yetu inaheshimika sana we na familia yako ndiyo mnaodharauliwa. Na kwa upumbavu wako km huu utaendelea kudharauliwa. Shenz wahid.
Kuna ukweliInavyoonesha watu mmekuwa wabishi kwenda kwenye 'mikutano' Kwa hiyari sasa mnafuatwa huko huko unakokupenda. Nchi tamu sana hii[emoji3]
Ewaaaa. Kunakaribia kukucha[emoji1732]Kuna ukweli