Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

kwanza we kenge ujue nchi yetu inaheshimika sana we na familia yako ndiyo mnaodharauliwa. Na kwa upumbavu wako km huu utaendelea kudharauliwa. Shenz wahid.
 
Inavyoonesha watu mmekuwa wabishi kwenda kwenye 'mikutano' Kwa hiyari sasa mnafuatwa huko huko unakokupenda. Nchi tamu sana hii[emoji3]
 
Samia endelea kukaza hapohapo usiachie sindano..dawa inaingia taratiiibu chapasana kristapen...

Yaani post hii imenichekesha sana ahahahahhaha watu Wana hasira kama Mayahudi ya galilaya!
 
kwanza we kenge ujue nchi yetu inaheshimika sana we na familia yako ndiyo mnaodharauliwa. Na kwa upumbavu wako km huu utaendelea kudharauliwa. Shenz wahid.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Haya mambo ndio yalinifanya niache kuwa mshabiki wa hizi timu. Na CCM ilishajua ujinga wa watanzania ikaingia kati.Na kiukweli huwezi kutenganisha hizi timu na CCM , YANGA ni CCM na Simba ni CCM huo ndio ukweli ndio maana wengine tuliona si lazima kushabikia hizi timu,kuna timu nyingi duniani za kushabikia ambazo kwao siasa na michezo haviingiliani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…