ahaha unakataa kiswahili chetu!Ngoja niviquote....vya kiswahili sivitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
A man of the people nimekisoma...
Season of waiting bado nani author?
Hivi vyote nilivisoma siku 6 tu nikapata D dahNovels and short stories
Tales of amadou koumba
Quartet
A walk in the night
House boy
The old man and the medal
The concubine
Sundiata:an epic of old mali
The three solid stone
Secret lives
Girls at war by chinua
Uncle tom's children
Plays
Trial of brother jero
The lion and the jewel
The swamp dwellers
Kinjekitile
Dillema of the ghost
Dedan kimathi
The govt inspector
Kumbe umapajua eeh ukikosa pale nenda duka la Tanzania Publishing House ipo mtaa wa Samora Avenue namba 84 kama sikoseiPale nyuma ya Hyatt?
Vya hapa naona vitanichosha tuu....asante kwa jina!ahaha unakataa kiswahili chetu!
Mwandishi anaitwa David omowale
wale machalii wawili, Gonza na Chioko ni nomaUsiku utakapokwisha nakikubali kinoma
Ulikisoma kile cha THE HOUSEBOY mwandishi ni FERDINAND OYONO MBIA?ahaha unakataa kiswahili chetu!
Mwandishi anaitwa David omowale
Ndio pale wakati niko chuo nilikuwa nakodisha kwa hao majamaa....Kumbe umapajua eeh ukikosa pale nenda duka la Tanzania Publishing House ipo mtaa wa Samora Avenue namba 84 kama sikosei
umemsahau demu wa Gonza anaitwa Neliwale machalii wawili, Gonza na Chioko ni noma
Hela yako tu yaani mimi nikipitaga pale uwa natamani hata nivinunue vyoooote nabaki navikodolea macho tuNdio pale wakati niko chuo nilikuwa nakodisha kwa hao majamaa....
Asante sana mkuu barikiwa, ntavisaka hadi nivipate!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] D ya English....hata hivo ulijitahidi hujapata mswakiHivi vyote nilivisoma siku 6 tu nikapata D dah
jamaa anatumia symbolism sana na kuwafanya wengi watoke kapa hasa kama umezoea kusoma magazeti ya Cyprian musiba na ya udaku.Haaahaaa...umenifurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dadeki wale watu walikuwa misukule asee!
Unajua maana ya huyo man dereva??
Unajua hao passengers ni wakina nani??
Na hilo bus ni nini??
Amah ni nyokoo asee
Hivi kwa sasa hivi kwa kimoja wanaanzia sh ngapi?Hela yako tu yaani mimi nikipitaga pale uwa natamani hata nibinunue vyoooote nabaki navikodolea macho tu
Nilienda kutuma maombi Posta badala ya kumwambie aniandikie English Language yeye kaniandikia Literature kwa bahati mbaya halafu mimi nilidhan hii Lite ni Language sasa cku ya mtihan wenzangu wameandikiwa wanafanya tarehe 2 mimi nimeandikiwa tarehe 9 dah[emoji23] [emoji23] [emoji23] D ya English....hata hivo ulijitahidi hujapata mswaki
kile cha wakina madame Suzy na wakina padri Robert?Ulikisoma kile cha THE HOISEBOY mwandishi ni FERDINAND OYONO MBIA?
Your right....anatumia codes za kufa mtu...jamaa anatumia symbolism sana na kuwafanya wengi watoke kapa hasa kama umezoea kusoma magazeti ya Cyprian musiba na ya udaku.
Fanya uende na hata 10,000 nahis chenj itabaki.Hivi kwa sasa hivi kwa kimoja wanaanzia sh ngapi?
Ebwanaa eeeh[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....mbona walikuvuruga hivoo?Nilienda kutuma maombi Posta badala ya kumwambie aniandikie English Language yeye kaniandikia Literature kwa bahati mbaya halafu mimi nilidhan hii Lite ni Language sasa cku ya mtihan wenzangu wameandikiwa wanafanya tarehe 2 mimi nimeandikiwa tarehe 9 dah
Akili ilihama aiseee
Omg!....mbona hela kidogo hivoo?....na bado nikifika pale kwa kuwa nanunua vingi ntalia lia anipunguzie nichukue kwa buku tano tano[emoji23] [emoji23] [emoji23]Fanya uende na hata 10,000 nahis chenj itabaki.
Maana kuna kitabu cha THIS TIME TOMORROW nilinunua kwa 7,000 kama sikosei