Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Ngoja niviquote....vya kiswahili sivitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]

A man of the people nimekisoma...

Season of waiting bado nani author?
ahaha unakataa kiswahili chetu!
Mwandishi anaitwa David omowale
 
Novels and short stories

Tales of amadou koumba
Quartet
A walk in the night
House boy
The old man and the medal
The concubine
Sundiata:an epic of old mali
The three solid stone
Secret lives
Girls at war by chinua
Uncle tom's children

Plays
Trial of brother jero
The lion and the jewel
The swamp dwellers
Kinjekitile
Dillema of the ghost
Dedan kimathi
The govt inspector
Hivi vyote nilivisoma siku 6 tu nikapata D dah
 
Kumbe umapajua eeh ukikosa pale nenda duka la Tanzania Publishing House ipo mtaa wa Samora Avenue namba 84 kama sikosei
Ndio pale wakati niko chuo nilikuwa nakodisha kwa hao majamaa....

Asante sana mkuu barikiwa, ntavisaka hadi nivipate!
 
Ndio pale wakati niko chuo nilikuwa nakodisha kwa hao majamaa....

Asante sana mkuu barikiwa, ntavisaka hadi nivipate!
Hela yako tu yaani mimi nikipitaga pale uwa natamani hata nivinunue vyoooote nabaki navikodolea macho tu
 
Haaahaaa...umenifurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Dadeki wale watu walikuwa misukule asee!

Unajua maana ya huyo man dereva??


Unajua hao passengers ni wakina nani??

Na hilo bus ni nini??

Amah ni nyokoo asee
jamaa anatumia symbolism sana na kuwafanya wengi watoke kapa hasa kama umezoea kusoma magazeti ya Cyprian musiba na ya udaku.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] D ya English....hata hivo ulijitahidi hujapata mswaki
Nilienda kutuma maombi Posta badala ya kumwambie aniandikie English Language yeye kaniandikia Literature kwa bahati mbaya halafu mimi nilidhan hii Lite ni Language sasa cku ya mtihan wenzangu wameandikiwa wanafanya tarehe 2 mimi nimeandikiwa tarehe 9 dah
Akili ilihama aiseee
 
jamaa anatumia symbolism sana na kuwafanya wengi watoke kapa hasa kama umezoea kusoma magazeti ya Cyprian musiba na ya udaku.
Your right....anatumia codes za kufa mtu...

Mwalimu wetu wa literature alivyoanza kutwambia A man ni Rais, passengers ni wananchi na bus ni nchi nilichoka....mwanzo na ule utoto nilikuwa naona ni storee tu hapa[emoji23] [emoji23]
 
Nilienda kutuma maombi Posta badala ya kumwambie aniandikie English Language yeye kaniandikia Literature kwa bahati mbaya halafu mimi nilidhan hii Lite ni Language sasa cku ya mtihan wenzangu wameandikiwa wanafanya tarehe 2 mimi nimeandikiwa tarehe 9 dah
Akili ilihama aiseee
Ebwanaa eeeh[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....mbona walikuvuruga hivoo?
 
Fanya uende na hata 10,000 nahis chenj itabaki.
Maana kuna kitabu cha THIS TIME TOMORROW nilinunua kwa 7,000 kama sikosei
Omg!....mbona hela kidogo hivoo?....na bado nikifika pale kwa kuwa nanunua vingi ntalia lia anipunguzie nichukue kwa buku tano tano[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom