Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Mambo ya cunt si ya Ghana haya " The beutyful has not yet born" kama sijakosea!

Sir Khan
hii aliisema Ngugi kwenye kitabu cha DEVIL ON THE CROSS
Ila huyu jamaa aliyeandika THE BEAUTYFUL ONES ARE NOT YET BORN (Ayi kwei Amah) hana maadili kabisa, kwenye hiki kitabu kuna sehemu ameandika
"The man returned home and found his wife asleep,he began to touch her cunt 'the vagina itself was harder as its outermost skin was more resisting'"
 
hii aliisema Ngugi kwenye kitabu cha DEVIL ON THE CROSS
Ila huyu jamaa aliyeandika THE BEAUTYFUL ONES ARE NOT YET BORN (Ayi kwei Amah) hana maadili kabisa, kwenye hiki kitabu kuna sehemu ameandika
"The man returned home and found his wife asleep,he began to touch her cunt 'the vagina itself was harder as its outermost skin was more resisting'"
Ow!...asante sana kwa kunipa jina la huyu mwandishi...hivi nikivitaka hivi vitabu vyote nafanyaje, hata pa kuvinunua hapa Dar?

Amah ana matusi balaa kwenye kile kitabu, sema ni kitamu nacho wakina princess na mama yao wanakunywa imported beer not local ones!
 
Unoka lazy, failure man ...okonkwo hakutaka kumsikia kabisa, alimchefua![emoji23] [emoji23]
unaambiwa alipokuwa anafikiria baba yake alivyofeli jamaa alikuwa anaogopa ndani ya moyo hapo anapiga kazi aibu ya mzee wake isije kwake
 
Mfalme jua, zawadi ya ushindi, watoto wa mama ntilie, malenga wapya, kusadikika, lazima ufe joram, tutaludi na roho zetu,dar es salam usiku, mkono unanuka damu, nunda na vitabu vingine vingi vya kiswahili vilivyo niburudisha.
 
unaambiwa alipokuwa anafikiria baba yake alivyofeli jamaa alikuwa anaogopa ndani ya moyo hapo anapiga kazi aibu ya mzee wake isije kwake
Aaah Okonkwo alikuwa anajichosha tu, hata hakufaidi jasho lake mara aue akawa excel for good 7 solid years kwa sifa na mihasira yake...bora Unoka ni failure but kala bata na madeni juu[emoji23] [emoji23]

Kajifia hana presha, sasa okonkwo eti kajinyonga[emoji15] [emoji23]
 
Sasa alimuulia nini japo ilikuwa mila....sema okonkwo alikuwa driven na sifa yule jamaa
walimtoa sadaka kufidia kifo cha mwenzao ambaye aliuliwa na watu wa jamii ya huyo dogo.
Kabla ya kwenda kumuua kamzee kamoja kalimwambia Okonkwo "the boy calls you father don't have your hand on his death"
Dogo alipopigwa panga la kwanza(alipigwa na mtu mwingine sio Okonkwo) alirudi nyuma na kumwambia Okonkwo"father they are killing me"basi jamaa yako akaanza kutetemeka wenzake wanamcheki tu,jamaa kwa ajili ya misifa ili asionekane kuwa ni mwanaume wa dar alimpiga dogo panga na kumuua hapohapo"
Sadest part of the book.
 
A man of the people, beautiful one are not yet born, three suitors one husband,song of lawino and song of ocol, Mau mau war, building the national, balud of the land lord,eat more...........
 
Ow!...asante sana kwa kunipa jina la huyu mwandishi...hivi nikivitaka hivi vitabu vyote nafanyaje, hata pa kuvinunua hapa Dar?

Amah ana matusi balaa kwenye kile kitabu, sema ni kitamu nacho wakina princess na mama yao wanakunywa imported beer not local ones!
library lazima vipo tu
tafuta na hizi chuma
SEASON OF WAITING
HIS EXCELLENCY THE HEAD OF STATE
A MAN OF THE PEOPLE(kama haujakisoma)
Kama unapenda na vya kiswahili tafuta hizi chuma
USIKU UTAKAPOKWISHA
MFADHILI(jiandae kulia)
VUTA N'KUVUTE
 
walimtoa sadaka kufidia kifo cha mwenzao ambaye aliuliwa na watu wa jamii ya huyo dogo.
Kabla ya kwenda kumuua kamzee kamoja kalimwambia Okonkwo "the boy calls you father don't have your hand on his death"
Dogo alipopigwa panga la kwanza(alipigwa na mtu mwingine sio Okonkwo) alirudi nyuma na kumwambia Okonkwo"father they are killing me"basi jamaa yako akaanza kutetemeka wenzake wanamcheki tu,jamaa kwa ajili ya misifa ili asionekane kuwa ni mwanaume wa dar alimpiga dogo panga na kumuua hapohapo"
Sadest part of the book.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] .....kwenye hicho kisegment niliangua kilio asee!

Mwanamke wa kijiji cha okonkwo ndo aliuliwa na mtu wa kijiji cha akina Ikemefuna....Okonkwo ndo akatumwa kwenda kulipiza kisasi, dogo kamleta na wanaishi home fresh badae eti unamkata panga[emoji15] [emoji22]

Unakumbuka wale mapacha waliouliwa eti wana Bad chi mara Tufyakwa?....waigbo hadi sasa hivi ni wana mila za kishenzi hakuna mfano
 
Back
Top Bottom