Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Sera sio tu kusema utafanya nini, kukosoa uozo kama huo ni sera nzuri pia, UNAYO MAARIFA WEWE KICHWANI, YATUMIE KWA FAIDA!!

MITANO KWANZA, √
MITANO TENA, X
Sijui umesoma wapi, labda Ubelgiji! Tangu lini kukosoa kukawa sera. Hiyo sasa itakuwa nchi tena! Yaani mojawapo ya sera za nchi ni kukosoa. Twafude! Tumekwisha!
 
Wewe ulikuwa unayafahmu hayo?
elimika ufahamu mambo yanayoendelea nchini kwako... hata marekana sera ziko hivyo kwa kueleza madudu ya mpinzani wako

Marekani gani unaiongelea wewe. Sera kubwa ya Marekani ambayo haihusishwi na chama au muelekeo wa kisiasa ni "There are no permanent friends or enemies". Hii sera inafuatwa na raisi yeyote, uwe republican au democrat.
 
Sisi watz wote tuko pamoja na Tundu Lissu...... Aendelee tu kupiga spana basi
Utasemaje Watanzania wote wakati mimi siko pamoja nawe. Je, wanachama wa CCM wako pamoja na wewe? ACHA UONGO!
 
Kwani magufuli Jana aliyosema atampa kazi tibaijuka ndio sera ya ccm? Hizo mambo zinakuwepo tu kwenye kampen acha kujitoa akili ya kutaka kutuaminisha kuwa kila kitu anacho ongea mgombea ndio sera yake
Wewe unamchukia Tibaijuka! Kama ndiyo kwa nini. Si mwanambke mwenzako!
 
Acha kuropoka kama punguani bwana alikuambia mambo 10 aliyosikoa siyo sera! Mbona yule PUNGUANI WENU anajibu ? Mbona yye anaongelea bima ya afya ipo kwenye ilani ya Ccm?
Usituletee ujuha wako hapa
Mbona matusi! Au tukufungulie mashtaka. Hujui "it a crime to do what you did". Uhuru wako ni wa kuongea lakini huna uhuru wa matusi.
 

Maendeleo ya watu hayawezi kuja bila maendeleo ya miundo mbinu. Mara ngapi wakulima wa kusini walikuwa wanalia na njia za kusafirisha mazao kuwa kuwafikia walaji. Mwaka hadi mwaka mahidi yallikuwa yanawaozea kwa kukosa njia za kuyasafirisha kwenda kwa walaji. Sasa hivi hili tatizo halipo. Wana uwezo wa kuuza na kupata pesa za matumizi na mendeleo kama kujijengea nyumba, kununua bima za afya, hayomsi maendeleo ya binadamu au watu yatokanayo na ,aendeleo ya vitu!
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Kupiga pushups ni sera inayosaidia nini?
 
Katika wanaopata magonjwa kwa kulimbikiziwa kesi za kodi mjumuishe Mbunge Nimrod Mkono hapo.

Huyu Mzee tangu apigwe kesi ya kodi na kufungiwa ofisi yake hali yake imekuwa mbaya sana.

Mwambie alipe kodi. Yeye ni mbunge na ana kampuni ya sheria. Alikuwa mwanasheria wa kuiwakilisha BoT/serkali kwenye kesi nyingi za kimataifa na alikuwa analipwa mamillioni ya ya $$$, siyo shilingi bali $$$. Sasa akidaiwa kodi kuna kosa gani. Alitakiwa aklipe kodi na hakulipa. Kama anabambikiwa kodi si akate rufaa au aende mahakama ya kibiashara. Yeye ni msomi na anayajuwa haya. Wewe ulichokifanya ni kusema uongo eti kaonewa. Wabunge wanajuwa pa kwenda kama wameonewa...kwenye vyombo vya sheria.vyombo vya sheria. Kwa nini asiende huko!
 
Chato wanaishi waTanzania pia wenye uhitaji sawa na miko mingine

Huyo Mwl Nyerer pia aliwahi kusema hatuwezi kuwapa nchi Chadema kama majaribio

Hivyo tu basi
 
unavoongea kwa kujiamini utadhani hii nchi ilikuwa inaongozwa na upinzani kwa zaid ya miaka 50....

aise uwe unawaza kwanza afu ndo hujibu watu, japo na wewe ccm imechangia kukuvuruga ubongo kiasi kikubwa..
 

sahihi kabisa, tuna safari ndefu sana kupata team nzuri ya upinzani maana hii iliopo ni kichefu chefu
 
Utasemaje Watanzania wote wakati mimi siko pamoja nawe. Je, wanachama wa CCM wako pamoja na wewe? ACHA UONGO!
Ww sio mtz... Watz wakiwemo wanaccm wanamtaka Tundu Lissu. Mchana wanavaa sare za ccm lkn ukweli mioyo yao ipo kwa mbeba maono wa taifa

Huu ndio ukweli mchungu
 

Attachments

  • IMG-20200928-WA0008.jpg
    30.4 KB · Views: 1
Vipofu wanaona... viwete wanatembea[emoji3][emoji3]

Viva JPM 2020 to 2030
Acha uzwazwa mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…