Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Miradi mingi Kuna ufisadi wa kutupwa imeanzishwa mingi Kama sehemu ya kutakasishia Kodi zetu thus haipitishwi bungeni atuonyweshwi risiti na mikataba yake, hii uleta Sana shaka. Pili why kuzuia Uhuru wa habari kufanya Mambo gizani Kama wewe Ni msafi.
 
Sera mpya.ni lazima zijibu matatizo yaliyopo. Lazima watu wajue kwa nini kuna haja ya kuwa na uongozi mpya, sera mpya na sheria mpya. Kwa hiyo cha kwanza, ni lazima kasoro zianikwe wazi kwanza.

Anachokifanya Tundu Lisu ni perfect 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa tukimchagua kazi yake itakuwa kupita tu mitaani akiimba Uhuru na Maendeleo😂😂 maana pamoja na story zake tamu hasemi yeye atafanyaa nini tukimpatia nchi.
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
point ni 3 tu comrade:

1. Chini ya awamu ya 5, kuna viashiria vya grand corruption, tena sehemu ambayo haikutarajiwa kabisa.

2. Chini ya awamu ya 5, kuna viashiria vya nepotism.

3. Hakuna jipya ambalo awamu ya 5 inalifanya ambalo halijawahi kufanywa na awamu zilizopita. So, awamu hii isinyanyase watu kwa kisingizio cha eti kufanya mambo mapya!

Niongeze volume??
 
Hizo ndio sera za CHADEMA?
 
Ndio uzuri wa demokrasia. Siri nje nje!
 
Hapo tu kwenye mkutano kashindwa kunadi sera
Una uhakika au unapiga ramli? Hakuna mkutano ambao Tundu Lisu hajanadi sera.

Kwanza hueleza mapungufu yaliyopo sasa, na kisha hueleza nini atafanya ili kuyarekebisha yaliyopo.

Yaliyoandikwa, mleta hoja, ameyachukua kwa kutegemea ametaka kuleta nini jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa nasema Lissu atatia aibu kuliko wagombea wote waliowahi kugombea urais kupitia CHADEMA!
 
Baada ya Lisu kumaliza kueleza hayo mambo kumi ukimuuliza mwana mbalali sera za Chadema Ni Nini atajibu Nini hapo?
Sisi tunataka ushindi haijalishi tunanadi sera au tunafunua nyeti za mtu. Kikubwa tunaongea kile wananchi wanatamani kusikia.
 
Mimi huwa nasema Lisu atatia aibu kuliko wagombea wote waliowahi kugombea urais kupitia chadema!
Kabisa mkuu, Ila hatukutegemea kama kuna mtu anaweza kumkosoa jiwe hadharani maana tuliaminishwa kuwa yeye ndio Rais bora kuliko wengine. CCM oyee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…