Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Acha Kupanic msukule wa lumumba ww... Hapo si umeeleweshwa maana ya sgr sa unataka nn zaidi..... 1067mm ndio nini we mnduku.... Ndio shida ya shule za kata ng'ombe ww
Hizo 1067 ni urefu Dar to Tunduma...... Ile ina 2,000km long mlamba makalio ww ili tu upate cheo
Dah yani huelewi hata unachoandika unabaki kumtukana mtu bila sababu... Nikupe elimu tu Tanzania tulikuwa na reli za aina mbili meter gauge hii ni ya arusha from dar na ile reli ya kati ambayo upana wake ni 1000mm na ya pili ni cape gauge ambayo ni reli ya tazara upana wake ni 1067mm... Google basi usome hata uelewe ndo uje tukana watu hapa kipepeo ww....
Reli mpya inayojengwa ni sgr ambayo upana wake ni 1435mm na haiungwi na bolt bali maungio yake yanachomewa ..
Acha upumbavu na ulofa kama ujui kitu uliza.
 
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA

MBILI: Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani (Tanga - MWINYI), Nyumba ya Mungu (Kilimanjaro - NYERERE), Rusumo (Kagera- KIKWETE), Songwe (Mbeya - KIKWETE)

TATU: Wakati wa uhuru kulikuwa na mbuga moja tu, ya Serengeti, iliyotengwa na Mkoloni. Nyingine zote zilianzishwa kwa amri za marais kwa kuhamisha watu, hizi za Magufuli wanahamisha wanyama, wanawapeleka Chato ambako naturally hakuna mbuga, hakuna wanyama. Na wanapounda mbuga mpya wanaingilia maeneo ya watu na hawawalipi fidia, wanasababisha maafa na migogoro ya ardhi. Anaijua migogoro yote ya mipaka ya hifadhi nchi hii, na ardhi za wananchi zilizopokwa bila fidia, kwa sababu alilifanyia utafiti katika kazi yake ya kwanza akitoka chuo.


NNE: Daktari muanzilishi wa Hospitali ya Masana Mbezi, Dar es Salaam, alikufa kwa pressure baada ya kukutwa na mashine alizonunua kwenye mnada wa vifaa chakavu, Muhimbili, akasahau kufuta zile alama za MUHIMBILI MKWAJU SERIKALI MKWAJU HOSP MKWAJU RUFAA MKWAJU SIFURI SIFURI MBILI MKWAJU.... Alifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana, akafa na pressure halafu wakakuta ni kweli alinunua Muhimbili.

TANO: Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah Turki, amekufa na pressure baada ya kubambikwa madai ya kodi ya mabilioni. Mheshimiwa Turki ndie aliyekodi ndege ya kumpeleka Tundu Lissu Nairobi akiwa mahututi. Hii Tundu Lissu amesema ameambiwa na familia ya marehemu.

SITA: Mtoto wa Dada yake Magufuli, Doto James, ambae kwa sasa ndie ana saini miamala yote ya serikali, alirushwa vyeo ghafla kutoka kuwa afisa TANROADS mpaka katibu mkuu HAZINA pindi mjomba wake alipopata Urais; Na kwamba, sasa hivi kuna watu wawili tu nchi hii, Doto James na mjomba wake, ambao wanajua hela za kununua ndege na za Bwawa la Rufiji ni shiing ngapi na zimetoka wapi.

SABA: Familia ya Mwinyi, Mkapa kila mmoja anamiliki ekari 60,000, Sumaye 45,000 za ardhi ambazo awali zilikuwa mashamba ya serikali, ikiwemo NAFCO, kabla ya kujimilikisha wakiwa marais na wa mawaziri wakuu. Viongozi wengine na matajiri wenye ekari chini ya hapo, elfu 35, elfu 20, elfu 15, elfu 10, elfu 5 ni wengi, wengi, wengi mno. Ambao walipeana kama "wawekezaji" lakini wamezikalia tu. Na ni sababu moja kubwa na migogoro ya wakulima na wafugaji, kupungua kwa ardhi.

NANE: Miaka saba baada ya kuwa tushapata uhuru, Nyerere aliandika kitabu kuelekezea kwamba bado tunahitaji uhuru licha ya kuwa tulishawaondoa wakoloni, kinaitwa Uhuru na Maendeleo. Hoja kuu ya kitabu cha Nyerere inasema jamii inapimwa kwa maendeleo ya watu, sio ya vitu na miundombinu.

TISA: Mkandarasi wa Uwanja wa Ndege Chato, Mayanga Construction (Steven Makigo), ni mme mwenza wa Magufuli, wameoa nyumba moja. Mme mwenza aliambiwa jenga uwanja! Mpwa (Doto James) akaambiwa toa hela!

KUMI: Kiwanja kimoja tu cha ndege kimejengwa na Mkoloni, Mwingereza, kile cha Air Wing, Ukonga. Nyerere alijenga Kilimanjaro na wakaendelea kujenga vingine vyote nchini, Magufuli si Mtanzania wa kwanza kujenga uwanja wa ndege.

-----------------------------------------------------------

WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.
Katika wanaopata magonjwa kwa kulimbikiziwa kesi za kodi mjumuishe Mbunge Nimrod Mkono hapo.

Huyu Mzee tangu apigwe kesi ya kodi na kufungiwa ofisi yake hali yake imekuwa mbaya sana.
 
Dah yani huelewi hata unachoandika unabaki kumtukana mtu bila sababu... Nikupe elimu tu Tanzania tulikuwa na reli za aina mbili meter gauge hii ni ya arusha from dar na ile reli ya kati ambayo upana wake ni 1000mm na ya pili ni cape gauge ambayo ni reli ya tazara upana wake ni 1067mm... Google basi usome hata uelewe ndo uje tukana watu hapa kipepeo ww....
Reli mpya inayojengwa ni sgr ambayo upana wake ni 1435mm na haiungwi na bolt bali maungio yake yanachomewa ..
Acha upumbavu na ulofa kama ujui kitu uliza.
Kojoa kalale msukule wa lumumba ww
 
Baada ya Lisu kumaliza kueleza hayo mambo kumi ukimuuliza mwana mbalali sera za Chadema Ni Nini atajibu Nini hapo?
Ukimchagua Tindu Lissu wee mama utakuwa umeokoa maisha yako kwa 60% hizo 40% mwachie yeye.
#NiYeye
 
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA

MBILI: Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani (Tanga - MWINYI), Nyumba ya Mungu (Kilimanjaro - NYERERE), Rusumo (Kagera- KIKWETE), Songwe (Mbeya - KIKWETE)

TATU: Wakati wa uhuru kulikuwa na mbuga moja tu, ya Serengeti, iliyotengwa na Mkoloni. Nyingine zote zilianzishwa kwa amri za marais kwa kuhamisha watu, hizi za Magufuli wanahamisha wanyama, wanawapeleka Chato ambako naturally hakuna mbuga, hakuna wanyama. Na wanapounda mbuga mpya wanaingilia maeneo ya watu na hawawalipi fidia, wanasababisha maafa na migogoro ya ardhi. Anaijua migogoro yote ya mipaka ya hifadhi nchi hii, na ardhi za wananchi zilizopokwa bila fidia, kwa sababu alilifanyia utafiti katika kazi yake ya kwanza akitoka chuo.


NNE: Daktari muanzilishi wa Hospitali ya Masana Mbezi, Dar es Salaam, alikufa kwa pressure baada ya kukutwa na mashine alizonunua kwenye mnada wa vifaa chakavu, Muhimbili, akasahau kufuta zile alama za MUHIMBILI MKWAJU SERIKALI MKWAJU HOSP MKWAJU RUFAA MKWAJU SIFURI SIFURI MBILI MKWAJU.... Alifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana, akafa na pressure halafu wakakuta ni kweli alinunua Muhimbili.

TANO: Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah Turki, amekufa na pressure baada ya kubambikwa madai ya kodi ya mabilioni. Mheshimiwa Turki ndie aliyekodi ndege ya kumpeleka Tundu Lissu Nairobi akiwa mahututi. Hii Tundu Lissu amesema ameambiwa na familia ya marehemu.

SITA: Mtoto wa Dada yake Magufuli, Doto James, ambae kwa sasa ndie ana saini miamala yote ya serikali, alirushwa vyeo ghafla kutoka kuwa afisa TANROADS mpaka katibu mkuu HAZINA pindi mjomba wake alipopata Urais; Na kwamba, sasa hivi kuna watu wawili tu nchi hii, Doto James na mjomba wake, ambao wanajua hela za kununua ndege na za Bwawa la Rufiji ni shiing ngapi na zimetoka wapi.

SABA: Familia ya Mwinyi, Mkapa kila mmoja anamiliki ekari 60,000, Sumaye 45,000 za ardhi ambazo awali zilikuwa mashamba ya serikali, ikiwemo NAFCO, kabla ya kujimilikisha wakiwa marais na wa mawaziri wakuu. Viongozi wengine na matajiri wenye ekari chini ya hapo, elfu 35, elfu 20, elfu 15, elfu 10, elfu 5 ni wengi, wengi, wengi mno. Ambao walipeana kama "wawekezaji" lakini wamezikalia tu. Na ni sababu moja kubwa na migogoro ya wakulima na wafugaji, kupungua kwa ardhi.

NANE: Miaka saba baada ya kuwa tushapata uhuru, Nyerere aliandika kitabu kuelekezea kwamba bado tunahitaji uhuru licha ya kuwa tulishawaondoa wakoloni, kinaitwa Uhuru na Maendeleo. Hoja kuu ya kitabu cha Nyerere inasema jamii inapimwa kwa maendeleo ya watu, sio ya vitu na miundombinu.

TISA: Mkandarasi wa Uwanja wa Ndege Chato, Mayanga Construction (Steven Makigo), ni mme mwenza wa Magufuli, wameoa nyumba moja. Mme mwenza aliambiwa jenga uwanja! Mpwa (Doto James) akaambiwa toa hela!

KUMI: Kiwanja kimoja tu cha ndege kimejengwa na Mkoloni, Mwingereza, kile cha Air Wing, Ukonga. Nyerere alijenga Kilimanjaro na wakaendelea kujenga vingine vyote nchini, Magufuli si Mtanzania wa kwanza kujenga uwanja wa ndege.

-----------------------------------------------------------

WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.
TAZARA ni standard lakini zingine zote alizotaja ni ubwege wake!
Btw. Katika yote hayo, ni lipi ambalo linaweza kumpa kura? Tatizo la kiumbe wenu huyu anaamini Magufuli asipofaa, basi yeye ndo atafaa. Kumbe hata yeye anaweza kuwa ni hovyo kabisaaa!
 
Hoja hizi zimekuzidi kimo na upeo,wenye dhamana wamekaa kimya ni ww nobody utaweza huu mfupa.Kifupi Mmepoteana sana.
Mikutano ya kampeni Sio sehemu ya maswali Ni sehemu ya kunadi sera na kuomba kura sehemu ya maswali na majibu Ni bungeni alikokuwa huko angeuliza maswali yote apewe majibu na serikali hakuuliza anakuja kuuliza Nani kwenye mikutano ya kampeni

Mkutano wa kampeni Hakuna Spika Wala waziri anapotezea muda watu tu

Anadi sera zake aombe kura . Aondoke aende Kwingine
 
Katika wanaopata magonjwa kwa kulimbikiziwa kesi za kodi mjumuishe Mbunge Nimrod Mkono hapo.

Huyu Mzee tangu apigwe kesi ya kodi na kufungiwa ofisi yake hali yake imekuwa mbaya sana.

Binafsi naona hawana balls.

Nimrod Mkono ameanza biashara ya sheria wakati Magufuli anasoma Lake Sekondari 1978, na ma Kamishna wa TRA kina Kichere waliokuwa Tambaza in the nineties walikuwa bado hawajazaliwa. Kwa nini anashindwa ku speak up and challenge the TRA fraud and racket system legally and politically?

Akanywea, akaomba ahurumiwe na Magufuli. Didn't work. Absolutely spineless.
 
Binafsi naona hawana balls.

Nimrod Mkono ameanza biashara ya sheria wakati Magufuli anasoma Lake Sekondari 1978, na ma Kamishna wa TRA kina Kichere waliokuwa Tambaza in the nineties walikuwa bado hawajazaliwa. Kwa nini anashindwa ku speak up and challenge the TRA fraud and racket system legally and politically?

Akanywea, akaomba ahurumiwe na Magufuli. Didn't work. Absolutely spineless.
Katika nchi ambayo rais anaweza kuamrisha mahakama iamue vipi, watu kama Nimrod Mkono wanaojua ukomo wa utetezi wanaoweza kuupata kwenye vyombo vya sheria inawabidi wakubali tu matokeo ya mfumo mbovu walioudekeza kwa miaka mingi.

Hilo moja.

La pili, hawa washua wamepiga sana hela ndefu kwenye kesi za ajabu ajabu, na Magufuli anajua hayo.

Sasa mtu ambaye tayari ana makosa, kushindana na serikali inakuwa ngumu.

Kwa sababu wanaweza kusema tu, ile kesi ya TANESCO ile, Mzee Mkono ulifanya utakatishaji wa fedha na uhujumu uchumi, tunakufunga jela.

Which is something similar to what is going on now - being penalized for making too much money in cases against the government- similar but not so open. Yani badala ya kumwambia pale ulifanya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha, wanamu asses mikodi ya ajabu kwa njia zao arbitrary za accounting, real and imagined.

Sasa kwa msingi kama huo, mtu aliyezoea kuishi kwa heshima ya kuwa mtu wa system, halafu system ikamgeuka, anaona akubali matokeo tu.

Ama sivyo ataongezewa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha juu ya kodi.

Utawala huu hata ukiteuliwa na rais, ukikataa uteuzi, unajitengenezea bonge la uadui na labda kwa usalama wako uhame nchi kabisa.

Ndiyo maana watu kama kina Mkono huwezi kuwasikia wanabishana na serikali.
 
mzee wa scare tactic ya MIGA kulinda wazungu....[emoji241]

Viva Magu
Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
sawa nyinyi kima wa DJ teteeni ruzuku azipige.

CCM can be evil ila jazba baada ya JPM kukamata kontena limetufungua sana tuliokuwa tukimwamini TL.. kumbe alikuwa kwenye payroll na ni mwanasheria na mtetezi wao.

Mwanzoni aliwasumbua sana wazungu...wazungu wana maswali mawili? can we buy him or kill him? TL akanunuliwa. [emoji241][emoji241][emoji3]

Nchi itashtakiwa MIGA ... hadi leo tunasubiri.

Kaja na sound ya machafuko na mahakama ya kimataifa...Nyambaffff[emoji3][emoji3]

Viva Magu

wanyooooosheeeeeeee
Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA

MBILI: Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani (Tanga - MWINYI), Nyumba ya Mungu (Kilimanjaro - NYERERE), Rusumo (Kagera- KIKWETE), Songwe (Mbeya - KIKWETE)

TATU: Wakati wa uhuru kulikuwa na mbuga moja tu, ya Serengeti, iliyotengwa na Mkoloni. Nyingine zote zilianzishwa kwa amri za marais kwa kuhamisha watu, hizi za Magufuli wanahamisha wanyama, wanawapeleka Chato ambako naturally hakuna mbuga, hakuna wanyama. Na wanapounda mbuga mpya wanaingilia maeneo ya watu na hawawalipi fidia, wanasababisha maafa na migogoro ya ardhi. Anaijua migogoro yote ya mipaka ya hifadhi nchi hii, na ardhi za wananchi zilizopokwa bila fidia, kwa sababu alilifanyia utafiti katika kazi yake ya kwanza akitoka chuo.


NNE: Daktari muanzilishi wa Hospitali ya Masana Mbezi, Dar es Salaam, alikufa kwa pressure baada ya kukutwa na mashine alizonunua kwenye mnada wa vifaa chakavu, Muhimbili, akasahau kufuta zile alama za MUHIMBILI MKWAJU SERIKALI MKWAJU HOSP MKWAJU RUFAA MKWAJU SIFURI SIFURI MBILI MKWAJU.... Alifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana, akafa na pressure halafu wakakuta ni kweli alinunua Muhimbili.

TANO: Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah Turki, amekufa na pressure baada ya kubambikwa madai ya kodi ya mabilioni. Mheshimiwa Turki ndie aliyekodi ndege ya kumpeleka Tundu Lissu Nairobi akiwa mahututi. Hii Tundu Lissu amesema ameambiwa na familia ya marehemu.

SITA: Mtoto wa Dada yake Magufuli, Doto James, ambae kwa sasa ndie ana saini miamala yote ya serikali, alirushwa vyeo ghafla kutoka kuwa afisa TANROADS mpaka katibu mkuu HAZINA pindi mjomba wake alipopata Urais; Na kwamba, sasa hivi kuna watu wawili tu nchi hii, Doto James na mjomba wake, ambao wanajua hela za kununua ndege na za Bwawa la Rufiji ni shiing ngapi na zimetoka wapi.

SABA: Familia ya Mwinyi, Mkapa kila mmoja anamiliki ekari 60,000, Sumaye 45,000 za ardhi ambazo awali zilikuwa mashamba ya serikali, ikiwemo NAFCO, kabla ya kujimilikisha wakiwa marais na wa mawaziri wakuu. Viongozi wengine na matajiri wenye ekari chini ya hapo, elfu 35, elfu 20, elfu 15, elfu 10, elfu 5 ni wengi, wengi, wengi mno. Ambao walipeana kama "wawekezaji" lakini wamezikalia tu. Na ni sababu moja kubwa na migogoro ya wakulima na wafugaji, kupungua kwa ardhi.

NANE: Miaka saba baada ya kuwa tushapata uhuru, Nyerere aliandika kitabu kuelekezea kwamba bado tunahitaji uhuru licha ya kuwa tulishawaondoa wakoloni, kinaitwa Uhuru na Maendeleo. Hoja kuu ya kitabu cha Nyerere inasema jamii inapimwa kwa maendeleo ya watu, sio ya vitu na miundombinu.

TISA: Mkandarasi wa Uwanja wa Ndege Chato, Mayanga Construction (Steven Makigo), ni mme mwenza wa Magufuli, wameoa nyumba moja. Mme mwenza aliambiwa jenga uwanja! Mpwa (Doto James) akaambiwa toa hela!

KUMI: Kiwanja kimoja tu cha ndege kimejengwa na Mkoloni, Mwingereza, kile cha Air Wing, Ukonga. Nyerere alijenga Kilimanjaro na wakaendelea kujenga vingine vyote nchini, Magufuli si Mtanzania wa kwanza kujenga uwanja wa ndege.

-----------------------------------------------------------

WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.
Katika nchi zote zilizoendelea, USA, UK, German, Russia, China, Japan walileta maendeleo kwa nguvu na siyo democrasia, watu wengi waliuwawa waliopinga maendeleo, maendeleo unayoyaona leo USA wahindi wekundu na waafrika walifanyishwa kazi kwa nguvu na wazungu wenyewe leo hii kila mtu anataka kukimbilia USA kuishi. Hivyo JPM yuko sawa kabisa kanyaga twende tutaelewana uko mbele.
 
Katika nchi zote zilizoendelea, USA, UK, German, Russia, China, Japan walileta maendeleo kwa nguvu na siyo democrasia, watu wengi waliuwawa waliopinga maendeleo, maendeleo unayoyaona leo USA wahindi wekundu na waafrika walifanyishwa kazi kwa nguvu na wazungu wenyewe leo hii kila mtu anataka kukimbilia USA kuishi. Hivyo JPM yuko sawa kabisa kanyaga twende tutaelewana uko mbele.

nani aliuawa kwa kupinga maendeleo kwenye historia ya dunia

hebu tueleze
 
TAZARA ni standard lakini zingine zote alizotaja ni ubwege wake!
Btw. Katika yote hayo, ni lipi ambalo linaweza kumpa kura? Tatizo la kiumbe wenu huyu anaamini Magufuli asipofaa, basi yeye ndo atafaa. Kumbe hata yeye anaweza kuwa ni hovyo kabisaaa!

Sijui nani anamuandikia speech zake, hata TAZARA haipo kwenye kundi la SRG!!

Track gauge ya TAZARA ni 1067mm ie cape gauge, tukija kwa upana wa Standard Railway Gauge (Stephenson gauge) upana wake ni:1435mm, sasa hivi ni vitu viwili tofauti kabisa - sasa kama Lisu anashindwa masuala ambayo ni too obvious kabisa tunawezaje kuamini Mickey Mouse stories zake siku za usoni.
 
Huu ni ukweli mchungu..Katika hoja hizi Mgombea wa Chama tawala lazma ajibu point moja baada ya nyingine na hii ndyo mana ya siasa. Haya sio matusi kisiasa unahitaji kujibu kublok hoja ya m pinzani wako..Vijana wa Chama fulani jitokezeni kujibu hoja hizi!!vingnevo mtajikuta mnaanza kudai eti ni matusi hili neno" matusi limegeuka mbinu ya kukwepa kumjibu "Machine Lissu "!!!
Kwani wanajua hta hoja maana yake nini?
 
Back
Top Bottom