Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiandae na kesi ya uhujumu uchumi!Mr. Mayanga construction ajiandae kutafuta kazi nyingine.
Hahaha hawana jipyaYani chadema bna, wanalalamika ccm imenunua ndege wakati huo huo wanapanda hizo ndege[emoji23][emoji23] muwe mnaenda mikoani na mabasi
Kama ilivo sera za CCM kutowapelekea maendeleo watakao chagua upinzani😋😋😋Hizo ndio sera za Chadema?
Akili yako inakutosha wewe na familia yako.Thanks!
Kwa ujumla ufahamu wa Lissu uko chini sana! Ndo maana nimekuwa nikiuliza anataka kuwa rais wa aina gani? Rais wa kurekebisha sheria tu, au ana maono gani kuhusu Kilimo, Elimu, Afya, sayansi? Hana uwezo ila basi tu amejaliwa kukosa aibu.
Ukiwauliza wanakwambia soma ilani. Ilani ina taarifa utadhani kitabu cha matukio yajayo!
We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....
Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......
Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...
Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
Jaribu google utaona waliyouwawa kwa kupinga maendeleo- nchi mbali mbali duniani. Tatizo humu Jmaiiforum wengi vijana ni vilaza form four zero na karibu na zero au form six zero au karibu na zero. Wengi ni spoon feeding kama walivyozoea kwa wazazi wao kuletewa kila kitu mpaka chupi ya ndani ananunuliwa na mama au baba yake. zero kabisa.nani aliuawa kwa kupinga maendeleo kwenye historia ya dunia
hebu tueleze
Who cares?Hivi kuna la uwongo aliloongea Lissu?
Nani alipinga maendeleo ? Jibu swali!Jaribu google utaona waliyouwawa kwa kupinga maendeleo- nchi mbali mbali duniani. Tatizo humu Jmaiiforum wengi vijana ni vilaza form four zero na karibu na zero au form six zero au karibu na zero. Wengi ni spoon feeding kama walivyozoea kwa wazazi wao kuletewa kila kitu mpaka chupi ya ndani ananunuliwa na mama au baba yake. zero kabisa.
Lissu amepanda hizo ndege ?Yani chadema bna, wanalalamika ccm imenunua ndege wakati huo huo wanapanda hizo ndege[emoji23][emoji23] muwe mnaenda mikoani na mabasi
Kama umezoe spichi za kuahidiwa kujengewa visima tu ni vigumu kuona cha maana alichoongeaSasa hayo ynatuhusu nn wananchi ambao hatuna maji mbalali Hapa,,, nilikua kweny huu mkutano hkuna Cha maana alichoongea,,,
Chato anakotoka Magufuli Kuna shida kubwa ya maji.
Hahaha uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA mmeanza kupoteana, Bashiru aliwaambia muwe mnajibu hoja.
Acha uzwazwa mkuu....Mzukule wa DJ acha jazba....
Endeleeni kumtajirisha mzee wa ruzuki
kinachoniboa ni kujua kuwa Mwenye chama ni Afisa Mstaafu ambaye ana kiapo cha kutoisaliti serikali.... Na DJ pia ni Afisa Kipenyo....
Nyumbu mkali... nani alizuia maandamano makubwa ya mageuzi UKUTA?? DJ
kuwa na wafuasi msio waza kama wewe na wenzako ni kikwazo cha maendeleo na demokrasia Tanzania..
Heri CCM mbaya kuliko kuwa muumini wa taasisi ya kinafki..
kalagabao... jazba jingi wenzako wanagawana ruzuku.... Atleast nafagia ofisi za chama nalipwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Viva Magu
Acha uzwazwa mkuu....
We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....
Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......
Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...
Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
Kama ilivo sera za CCM kutowapelekea maendeleo watakao chagua upinzani😋😋😋
Sera ni kukomesha ufisadi wa serikali ya Magufuli