Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Hupendi kukopa ama hupendi madeni tu?
Sipendi kukopa au kuwa na madeni yasiyo na tija,,,, Mimi ni mfanyabiashara, mfugaji pia mkulima kuna namna tumetengeneza maisha yetu na mwenzangu yani hatuna sababu na Mimi sina sababu ya kuwa na vikoba au madeni.....
Nina madeni ya Kilimanjaro lager tu.
 
Sipendi kukopa au kuwa na madeni yasiyo na tija,,,, Mimi ni mfanyabiashara, mfugaji pia mkulima kuna namna tumetengeneza maisha yetu na mwenzangu yani hatuna sababu na Mimi sina sababu ya kuwa na vikoba au madeni.....
Nina madeni ya Kilimanjaro lager tu.
Hongereni Mjukuu

Kwenye haya maisha, ili upate nafuu unatakiwa kutengeneza mrija wako ambao at any means uwe unakuingizia mia mbili mbili

Madeni sio mazuri, ila wakati mwingine tunalazimika kukopa ili kuongeza mitaji na biashara.

Weekend nitakucheki unikopee na Mimi hilo deni la Kilimanjaro Lager, itapendeza kama litaenda sambamba na mdudu kilo 🤗
 
Hongereni Mjukuu

Kwenye haya maisha, ili upate nafuu unatakiwa kutengeneza mrija wako ambao at any means uwe unakuingizia mia mbili mbili

Madeni sio mazuri, ila wakati mwingine tunalazimika kukopa ili kuongeza mitaji na biashara.

Weekend nitakucheki unikopee na Mimi hilo deni la Kilimanjaro Lager, itapendeza kama litaenda sambamba na mdudu k
Hongereni Mjukuu

Kwenye haya maisha, ili upate nafuu unatakiwa kutengeneza mrija wako ambao at any means uwe unakuingizia mia mbili mbili

Madeni sio mazuri, ila wakati mwingine tunalazimika kukopa ili kuongeza mitaji na biashara.

Weekend nitakucheki unikopee na Mimi hilo deni la Kilimanjaro Lager, itapendeza kama litaenda sambamba na mdudu kilo 🤗

Hongereni Mjukuu

Kwenye haya maisha, ili upate nafuu unatakiwa kutengeneza mrija wako ambao at any means uwe unakuingizia mia mbili mbili

Madeni sio mazuri, ila wakati mwingine tunalazimika kukopa ili kuongeza mitaji na biashara.

Weekend nitakucheki unikopee na Mimi hilo deni la Kilimanjaro Lager, itapendeza kama litaenda sambamba na mdudu kilo 🤗
Asante babu haina shida wikiend hiyo unakuja.
 
Asante babu haina shida wikiend hiyo unakuja.
Ngoja niandae mtu wa kunirudisha nyumbani nikilewa, maana nikifikisha beer ya 6 tu nitaanza kuongea Kiinglish.

Ukiona hivyo ujue tayari, Mzee wenu nimeshalewa 😜
 
Bhana eeh wewe elewa kuoa ni uamuzi wa kipuuzi tu, hivi unajua wanawake wote ni mashetani wanyonya damu
Pole sana Mkuu, seems umewahi kuumizwa ama umewahi kushuhudia ndugu yako wa karibu akiumizwa na hao Wanawake.

Ila sio Wanawake wote wapo hivyo, jaribu kumshirikisha Mungu kwenye hilo
 
Ngoja niandae mtu wa kunirudisha nyumbani nikilewa, maana nikifikisha beer ya 6 tu nitaanza kuongea Kiinglish.

Ukiona hivyo ujue tayari, Mzee wenu nimeshalewa 😜
Unaniangusha babu inatakiwa tumalize kreti. Ntakuandalia ka jukuu ka kukushika mkono ukilewa
 
Mpira siwezi angalia home
Kama una hiyo hulka, basi mkeo aijue mapema kabla hamjaingia kwenye ndoa.

Kwamba tangu mkiwa wapenzi, awe anajua kwamba mpira unaenda kuangalia Baa.

Kuna jamaa angu mmoja, anafanya kazi mikoa tofauti na alipo mkewe, Kila Siku ana ratiba ya kwenda kunywa beer hadi saa 6 usiku.

Ikitokea hajaenda, Mkewe anampigia Siku kumuuliza kwanini hujaenda leo kunywa.

Mkifahamiana vyema, inapendeza zaidi
 
Kama una hiyo hulka, basi mkeo aijue mapema kabla hamjaingia kwenye ndoa.

Kwamba tangu mkiwa wapenzi, awe anajua kwamba mpira unaenda kuangalia Baa.

Kuna jamaa angu mmoja, anafanya kazi mikoa tofauti na alipo mkewe, Kila Siku ana ratiba ya kwenda kunywa beer hadi saa 6 usiku.

Ikitokea hajaenda, Mkewe anampigia Siku kumuuliza kwanini hujaenda leo kunywa.

Mkifahamiana vyema, inapendeza zaidi
Huyu wa saivi kanikuta hivo na kashanizoea.
 
Back
Top Bottom