Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Kufanya hivyo, Wanaume tunakosea sana.

Mbaya zaidi Mke ajue kwamba wazo mnalotekeleza ndani limetoka Kwa nyumba ndogo, ugomvi wake sio wa Nchi hii.

Umesema unataka kuja nilipo, njoo barabara ya Sam Nujoma upande wa kushoto kama unaelekea Mwenge, utamkuta Mzee wa Makamo anafanya mazoezi ya Jioni, ndiye Mimi huyo 🤗
Sio lazma hata litoke kwa mwanamke, linaweza toka kwa marafiki wa kiume, washkaji ila inakera..... Afu ukute unashauri jambo la maana ila linapigwa kikono 😹😹😹

Usema kweli inakera balaaa
 
Zingatia namba saba hilo limekuwa kero
Hilo ni muhimu sana, unakuta Baba mwenye nyumba umekaa zako nje unapunga hewa, hujakaa sawa Watu wa OYA hao wamekuja kudai madeni ambayo kama Mume hata huyajui.

Hujakaa sawa, gongo la kichwa

Baada ya hapo, kwisha habari yako.

Mke aliyekusababishia hayo, anakuja kuolewa tena kama utani vile 🙌
 
Hilo ni muhimu sana, unakuta Baba mwenye nyumba umekaa zako nje unapunga hewa, hujakaa sawa Watu wa OYA hao wamekuja kudai madeni ambayo kama Mume hata huyajui.

Hujakaa sawa, gongo la kichwa

Baada ya hapo, kwisha habari yako.

Mke aliyekusababishia hayo, anakuja kuolewa tena kama utani vile 🙌
Wangese kweli Hawa wanawake....mie ndio maana nawakubali wataliban...hawacheki kabisa na wanawake wee wakandamize tuu. Ukiwachekea Hawa unakufa mapema.
Mwanamke ni wakukandamizwa tuu na kumtawala
 
Babu, nilitaka kusema asante ila kuna mahali sijakuelewa ulipoongelea tatizo na kuwapa mbinu ya kulikwepa.

Mengine ni ya msingi.
Wakati naandika hayo, Kuna mtu aliniomba nimpe mbinu ya kusolve msala wake....nikajikuta nimemwaga Mchele kwenye Kuku wengi

By the way, tungependa kuona watu wanaishi pamoja hadi kufikia umri huu nilionao na Bibi yenu 🤗
 
Wangese kweli Hawa wanawake....mie ndio maana nawakubali wataliban...hawacheki kabisa na wanawake wee wakandamize tuu. Ukiwachekea Hawa unakufa mapema.
Mwanamke ni wakukandamizwa tuu na kumtawala
Kuna vitu huwa tunakosea mwanzoni kabisa mwa mahusiano yetu, kumwambia mpenzi wako nini unapenda na nini hupendi akifanye.

Kupitia hayo, Mke ataishi Kwa kuyatii maagizo yako yote.

Ila wewe bado hujachelewa, Kwa kuwa bado hujaoa, Siku ukivuta Jiko hakikisha unamweleza mwenzio yote ambayo huyataki afanye. Nina kuhakikisha lazima atatii yote
 
Sio lazma hata litoke kwa mwanamke, linaweza toka kwa marafiki wa kiume, washkaji ila inakera..... Afu ukute unashauri jambo la maana ila linapigwa kikono 😹😹😹

Usema kweli inakera balaaa
Ni kweli, Mke anapenda kuona mchango wake mawazo ama kipato unathaminiwa.

Sio vibaya kumsikiliza na kuonesha umethamini alichokishauri, hata kama utaona hakina maana wakati huo.
 
Kuna vitu huwa tunakosea mwanzoni kabisa mwa mahusiano yetu, kumwambia mpenzi wako nini unapenda na nini hupendi akifanye.

Kupitia hayo, Mke ataishi Kwa kuyatii maagizo yako yote.

Ila wewe bado hujachelewa, Kwa kuwa bado hujaoa, Siku ukivuta Jiko hakikisha unamweleza mwenzio yote ambayo huyataki afanye. Nina kuhakikisha lazima atatii yote
Mie Nina mengi basi...Cha msingi mie mke wangu atambue kuwa jukumu lake kuu ni kugegeda anisusie mbususu.
Yupo huru kwenda kuonja de liboloz maana kibamia kinachosha Kila Leo. Ila nikutomba threesome na huyo mwanaume mwengine asikatae
 
Sasa kama mke hajawahi kuhusika katika kukunyoa akihisi inakuwa shida zake
Hata kama hajashiriki kukunyoa, kitendo cha wewe kuwa na safari ya kikazi maybe kesho, halafu wewe Leo unaingia Bafuni kujisafisha.

Automatic atahisi unapoenda huko, unaenda kuchepuka.

Wamekuwa na hayo mawazo, hata kama hajakwambia Leo, ila Kuna Siku mtagombana utajikuta anakumbushia yote hayo
 
Mie Nina mengi basi...Cha msingi mie mke wangu atambue kuwa jukumu lake kuu ni kugegeda anisusie mbususu.
Yupo huru kwenda kuonja de liboloz maana kibamia kinachosha Kila Leo. Ila nikutomba threesome na huyo mwanaume mwengine asikatae
Hahaha............ila we jamaa inaonesha hauna wivu eeh?

Mimi hata ikiwa nyumba ndogo yangu, wivu ni kama wote.

Sipendi habari za kushea kabisa, ndiyo maana Kuna Siku naweza kufanya Ziara za kushtukiza kuona kama naibiwa
 
Hahaha............ila we jamaa inaonesha hauna wivu eeh?

Mimi hata ikiwa nyumba ndogo yangu, wivu ni kama wote.

Sipendi habari za kushea kabisa, ndiyo maana Kuna Siku naweza kufanya Ziara za kushtukiza kuona kama naibiwa
Wee utakuja kujua mwanawane. Sasa nyumba mdogo nayo Hutaki iwe inagegedwa mwanawane🤣🤣🤣
Achia na wenzio nao waenjoy nayo bwana
 
Wee utakuja kujua mwanawane. Sasa nyumba mdogo nayo Hutaki iwe inagegedwa mwanawane🤣🤣🤣
Achia na wenzio nao waenjoy nayo bwana
Kwa kweli nitakuja kufa Kwa Presha haki ya nani, maana katika vitu sipendi ni kushea.

Mambo ya kwenda Uvinza halafu unakutana na mabaki ya mwenzio aliyoyaweka dakika 45 zilizopita nani anataka
 
Wazee wengi wanapenda sana hayo mambo, si nguvu zenyewe tunazo za kubipu 🤗🙌
🤣🤣🤣 Mie ndio maana lengo langu kuu ni kwamba niwe na afya kiasi kwamba miaka 80 nawezapiga threesome na warembo wa miaka 27 bila kukata pumzi
 
🤣🤣🤣 Mie ndio maana lengo langu kuu ni kwamba niwe na afya kiasi kwamba miaka 80 nawezapiga threesome na warembo wa miaka 27 bila kukata pumzi
Kama una hilo lengo, hakikisha unatunza afya yako Kila Siku bila kusahau kuwa na tendency ya kufanya mazoezi.

Jambo muhimu zaidi, hakikisha akaunti yako ina figure 7 na kuendelea
 
Back
Top Bottom