Mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia tangu aingie madarakani

Ajira za kumwaga zipo wapi kiongozi? Au nawe ndugu yake Lukasi sio?

Kwamba vyama tofauti na CCM vinaruhusiwa kufanya taratibu zao za kisiasa kwa amani sio? Juzi Mbeya unajua kimetokea nini?

Biashara zipi zinafanyika usiku na mchana(unazungumzia ukahaba au biashara gani hapa?).Unakumbuka migomo ya wafanyabiashara miezi kadhaa iliyopita?shida ilikuwa nini?

Sema nini wewe na Lukasi akili zenu hovyo kabisa
 
Umejibu vema sana. Kiufupi CCM ni ileile. Subiri miaka mitano ambayo haina cha kupoteza ndio tutaona mengi. Sasa hivi tetawatu wapo kwenye kampeni. Wajinga ndio watahadaiwa
Kizimkazi ana madhaifu yake lakini hana udikteta
 
tusimzungumzie marehemu post inasema Mama kaioaisha, je ajira zipo? utekaji.jaukomi, Tarimo katejea hotelink kazi ni ukabila na kujuana bora wakati wa Shetani Nchi ilikuwa na nidhamu na woha
 
Hivi bila kumuongelea vibaya marehemu Jpm hamjisiki furaha kwenye maufisadi yenu mnayoyafanya sasahivi embu muacheni mzee wa watu apumzike hata nyie mtamfuata
 
Aibu naona mie Mtanganyika.
Hebu tuwekee ile speech ya G20 ya dk 4, tuone wenyeji walikuwa wapi wakati inatolewa
 
Nashindwa kukupa like maana badala kuongea irreputable facts, unaandika mambo usoyokuwa na uhakika nayo.
Hili la ajira za kumwaga ziko wapi?
 
Chagua Moja kati ya Jiwe au Kizimkazi
 
Ajira sector binafsi. Mafano yale mabank yaliyofungwa kama efata banak nk yanafanya kazi hivyo yameajiri. Matajiri waliokimbia nchi wamerudi hivyo wameajiri. Hoteli zilizofungwa zinafanya kazi hivyo zimeajiri. Siasa zilizokatazwa watu wanafanya siasa hivyo ajira kama mdude. Magazeti yaliyofungwa kama mawio, tanzania dqima sasq yanaganya kazi na yameajiri nyomi. Nj nk nk nk
 
Wewe utakuwa miongoni mwa wale wenye VYETI FEKI ukakutana na Mwamba, kudadadeki
 
Yani Rais wako anahutubia watu wanakula SI dharau hizo
 
Sawa kiongozi nimekuelewa kwa shida, ukipata muda tafuta watu waliosoma Linguistics kuna course nadhani wanaita editing and proofreading itakusaidia kwa wakati huu.

Nani alikuwa mkimbizi(tofauti na wakimbizi wa kisiasa)ambaye karejea nchini?

Hivi wewe na Lukasi ni ndugu sio?
 
Hivi Kuna Mradi wowote tangible uliotekelezwa awamu hii mnaoweza kutuonesha zaidi ya Royal Tour?
 
No 6,ajira za kumwaga zipo.Makofi Kwa mama tafadhal
 
JPM alikuwa mtu wa hovyo sana, hovyo kabisa
 
Tupe faida ya kufungua bureu de change halafu maswali mengine yatafuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…