No 6,ajira za kumwaga zipo.Makofi Kwa mama taf
Kwanza ajira halafu kukuza mzunguko wa lesa. Lazima zimeajiri cashiers, accountants, managers nk ambao wangekuwa mtaani hence unemploymentTupe faida ya kufungua bureu de change halafu maswali mengine yatafuata
Nilijua tu hujui kitu lakini umekaririshwa kama kasuku, ndiyo kazi za machawa wa CCMKwanza ajira halafu kukuza mzunguko wa lesa. Lazima zimeajiri cashiers, accountants, managers nk ambao wangekuwa mtaani hence unemployment
Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa..There is no free lunch. Nchi inataka kupiga hatua kimaemdeleo hivyo lazima wawekezaji kwa assets zetu wawepo mana hatutakula assets hizo zaidi ya kututia umaskini. Ni sawa na mtu anakufa njaa halafu mfukoni ana mil 10Kauza maliasili na rasilimali kama ....
Kaigeuza IKULU kuwa kama leaders club
Safari kukicha na msururu wa wasanii na machawa!
Rushwa, ufisadi, wizi, kutokuwajibika kumeshika hatamu!
....
Kabakiza miezi 10 kurudi Kizimkazi 🤔🤔Mambo aliyofanya samia tangu aingie madarakani
1. Kuondoa retention fee ya wadaiwa wa HESLB ambyo ilikuwa 6% mama akaifuta.
2. Miradi yote ya awamu ya tano kaimaliza yote na anapambana na mingine.
3. Ameongeza uwekezaji nchini na sasa kqsi ya mzunguko wa pesa ni mkubwa sana. ukitaka kujua hilo njoo mipakani
4. Massive unemployment aliyoiacha jpm inapungua slowly kwa kuajiri kila kada mfano ameondoa lile zuio kwamba ilinuwe mwanajeshi au polisi lazima upitie jkt na ametoa ile age limit kwamba ili kuaply ualimu aunudaktari lazima uwe ulimaliza kuanziq 2015. Kwa sasq hata kama ulimaliza 2008 ruksa kuaply.
5. Sector binafsi imenawili tremendously na ajira za kumwaga kwa vijana. Mfano bureu de change alizofuta jpm sasa zinafanya kazi
6. Utalii umepamba moto mpaka yale mahoteli yaliyofungwa kibabe na jpm yanafanya kazi sasq mfano ngurdoto.
7. Wale waliofukuzwa kikatili na jpm eti vyeti feki wamerurishwa kazini na ndoa zimeimarika.
Asante mama kwa utu.
Kwa kweli kazi iendelee hata huko kwenye vifusi vya kariakoo...KAZI iendelee!
LucasMambo aliyofanya samia tangu aingie madarakani
1. Kuondoa retention fee ya wadaiwa wa HESLB ambyo ilikuwa 6% mama akaifuta.
2. Miradi yote ya awamu ya tano kaimaliza yote na anapambana na mingine.
3. Ameongeza uwekezaji nchini na sasa kqsi ya mzunguko wa pesa ni mkubwa sana. ukitaka kujua hilo njoo mipakani
4. Massive unemployment aliyoiacha jpm inapungua slowly kwa kuajiri kila kada mfano ameondoa lile zuio kwamba ilinuwe mwanajeshi au polisi lazima upitie jkt na ametoa ile age limit kwamba ili kuaply ualimu aunudaktari lazima uwe ulimaliza kuanziq 2015. Kwa sasq hata kama ulimaliza 2008 ruksa kuaply.
5. Sector binafsi imenawili tremendously na ajira za kumwaga kwa vijana. Mfano bureu de change alizofuta jpm sasa zinafanya kazi
6. Utalii umepamba moto mpaka yale mahoteli yaliyofungwa kibabe na jpm yanafanya kazi sasq mfano ngurdoto.
7. Wale waliofukuzwa kikatili na jpm eti vyeti feki wamerurishwa kazini na ndoa zimeimarika.
Asante mama kwa utu.
Never on eath. Hata akofu Shayo kisha mu indorseKabakiza miezi 10 kurudi Kizimkazi 🤔🤔
2025 Rais Mwanaume Mkatoliki,chungu siyo tamu,meza kama ilivyo
Endelea KUJIFARIJI na kuwaza ujinga,labda kwa kumwaga damuNever on eath. Hata akofu Shayo kisha mu indorse
bado sana hawezi achwa ,..tunakula nae sahani mojaMagufuli kashakufa ukurasa wake ufungwe
Kila mtu anamkubali including you hata kama mbele za watu unaona aibuEndelea KUJIFARIJI na kuwaza ujinga,labda kwa kumwaga damu
Nadhani chawa ama vyawa, mnalipwa vizuri sana ndiyo maana hamchoki kukesha mitandaoni kusifia upumbaf.Mpa G20 wamechanganyikiwa jinsi anavyoupaisha nchi bila kelele kama enzi zile kitiu kidogo kama kuzindua stand kelele kibao za radio na magazeti na ukiandika vinginevyo unapotezwa.
Mpaka kikaanzishwa kipindi maalumu tbc eti kishindo cha awamu ya tano huku biashara na ajira za watu zinazidi kuyeyuka na at the same time tunalazimshwa tuseme eti tumeingia uchumi wa kati.
Mama anafanya makubwa jaamni.
Kwaza alipoingia madarakani akaondoa vikwazo vyote.
1. Aliondoa zuio kwamba ukitaka kwenda jeshi eti lazima upitie jkt
2. Aliondoa retantio kwa wanaodaiwa na heslb ya 6% ambayo ilikuwa inapanda kila mwaka uwe na ajira usiwe na ajira.
3. Amemaliza miradi yote iliyoanzishwa na jpm
4. Kaondoa zuio la kufanya siasa ambazo enzi hizo siasa ilikuwa kwa ccm tu.
5. Kwa sasa biashara inafanyika usiku na mchana bila vilwazo
6. Ajira za kumwaga zipo
Si bora huyu anagalau hata siasa wanafanya na wanapata mda wa kutukana lakini yule jamaa alizuia kabisa mikutano ya siasa na bunge kutanzamwaNadhani chawa ama vyawa, mnalipwa vizuri sana ndiyo maana hamchoki kukesha mitandaoni kusifia upumbaf.
Mfano:
'Miradi ya Magufuli yote kamaliza' wakati Waturuki waliukimbia mradi baada ya kuanza dana dana za malipo na mradi wa Sgr hata Singida haujavuka, pamoja na miradi mingine mingi inayosua sua kumalizika kwake.
Wanasiasa wanvyozuiwa kufanya shughuli zao za kisiasa wee hauoni, upo nchi za nje?
Watu wanatekwa na kuuawa, walengwa wakuu wakiwa ni wanasiana!
Mengine sikutaja kuendelea kupoteza muda wangu kuyachambua, ila elewa kuwa waTz wana hasira naye sana huyu mama.
Kumkubali DALALI anayeuza Mali hasa maliasili zetu??🤣🤣🤣 Bandari,mbuga za wanyama,.... WEWE kweli ni BOGA 🤔🤔🤔Kila mtu anamkubali including you hata kama mbele za watu unaona aibu
Bandali siyo mali bali ni mere asset ambayo haina maana yoyote zaidi ya kuogelea tu. Lazima igenerate pesa kwa uwekezaji mkubwa alioufanyaKumkubali DALALI anayeuza Mali hasa maliasili zetu??🤣🤣🤣 Bandari,mbuga za wanyama,.... WEWE kweli ni BOGA 🤔🤔🤔
Bandali siyo mali bali ni mere asset ambayo haina maana yoyote zaidi ya kuogelea tu. Lazima igenerate pesa kwa uwekezaji mkubwa alioufanya
Urefu wa kamba maana yake mshahara wa kila mmoja. Muwe mnatumia akili kuelewaNi Bandarina si Bandali Kam ulivyoandika🤸🤸🤸,🤣🤣🤣🤣
Go to the entire content, haiwezekani kumweka madarakani DALALI anayeuza vitu, iwe mbuga za wanyama au Bandari .
Mtu anayewachekea WEZI WALAO KWA UREFU WA KAMBA.
Mwambie mama Abdul Afungashe mizigo , miezi 10;imebaki, akalee wajukuu Kizimkazi akanywe Bapa Konyagi kwa Uhuru 🤣