😂😂😂Kiwango chako cha ujinga imekuwa hivi?Alafu unaweza kuwa Raia wa Tanzania hata kama hujazaliwa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kiwango chako cha ujinga imekuwa hivi?Alafu unaweza kuwa Raia wa Tanzania hata kama hujazaliwa Tanzania.
Sawa asante sana kwa ufafanuzi. Hii narrative kwamba wazungu wanahusika kuua viongozi wa Africa wanaolinda raslimali sidhani kama in apply kwa jiwe. Jiwe alienda na covid19.. angalau kwa ushahidi wa kimazingira..Hujanielewa kamanda labda sababu ya mihemko na jazba. Point yangu ni pana kidogo na inaangazia jinsi mfumo wa kibeberu unavyofanya kazi hasa kuelekea nchi zenye raslimali wanazozitaka.
MO (Modus Operandi) yao ni kwamba ukiwapa raslimali wanazozitaka hata ukanyage haki za binadamu na demokrasia namna gani wala hawakusumbui. Angalia kwa mfano Saudi Arabia. Kuna demokrasia gani kule? Haki za binadamu zinaheshimiwa huko? Mbona Saudia ndiye mshirika mkubwa wa Marekani na analindwa sana? Israeli je?
Ukiwauliza akina Saddam Hussein na hata Muamar Gaddafi watakwambia kuwa kilichofanya wauwawe wala siyo udikteta wao bali ni kujifanya vidume kulinda raslimali zao. Demokrasia na haki za binadamu ni kivuli tu ambacho hutumiwa na hawa jamaa wakiona kuwa huwapi wanachokitaka. Na sasa wamejumuisha na haki za mashoga humo. Ukijifanya tu huungi mkono ajenda yao hiyo unasingiziwa kuwa unavunja haki za binadamu na kama unawabania raslimali wanazozitaka hii ni sababu tosha ya kukuletea "demokrasia" yao.
Na hata ukiwapa wanachokitaka inabidi uwe macho uendane na matakwa yao. Wakiona umeachwa nyuma na wakati au wakiona wanaweza kuzipata raslimali zako bila wewe basi wanakuweka pembeni wanaweka mtu wao ambaye ni boya zaidi yako. Kama unabisha nenda kamuulize Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga aliyeishia kuzikwa na watu sita huko Morocco tena katika kaburi la kawaida tu.
Mimi naamini kuwa kama Rais Magufuli asingekomaa sana na kutumia maguvu tu dhidi ya vita vyake vya uchumi na akina ACACIA sijui na akina nani leo hii angekuwepo. Alikuwa anaweka precedent mbaya sana kwao. Imagine viongozi wote wa Afrika wangevuvumka na kutumia maguvu kuhusu haki za raslimali zao mabeberu wangeishije? JPM had to go whether alikuwa dikteta ama la!
Na hakuna binadamu a(li/na/ataka)yefurahia dhuluma dhidi ya uhai wa mtu au wizi wa kura na hili nimeligusia hapo juu kuhusu legacy yake.
Labda sasa utakuwa umenielewa muktadha na wigo mpana wa hoja yangu.
😂😂😂😂Kazikwe nae basi
Kweli!Naunga Mkono Hoja
Ukiacha Mwendakuzimu Jiwe, ushawahi kusikia Mbongo yeyote anaitwa Magufuli
Ukiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi! Wamezoea kujichotea madhahabu, gesi na madini mengine karibu na bure halafu wewe utoke huko ulikotoka uje uwanyang'anye? Who are you?
We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.
JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.
He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia yao wakatumia kisingizio cha uvunjaji wa haki za binadamu na ukosefu wa demokrasia (via Korona) kumwondoa.
Sio Saudia, huko mbali sana.Hata hivyo kwa taarifa yako pamoja na kusabotage demokrasia unayoidai kama angekubali mali ziporwe na hao mabwanyenye kisingempata hicho usemacho,rejea saudi Arabia,
Kuna kabila la warundi? Mi najua raia wa Burundi ni warundi na makabila yao ni wahutu, watutsi, etc.Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Tukizungumzia kabila, inawezekana hakuwa msukuma, ingawa alimudu lugha ya kisukuma.Magufuli hakuwa msukuma
Suala la kabila lake kama kwa mfano ni mhutu, sio sababuya kumfanya asiwe mtanzania. (Nb. hapa sishuhudii kwamba ni m Tanzania)Magufuli hakuwa mtanzania
Alikuwa mrundi kwa maana ya raia wa Burundi au wa kabila la Kirundi?Magufuli alikuwa mrundi
AiseeAnaemlilia shetani Magufuli akazikwe nae Gambosh.
Huko alipo namuombea AFE TENA HARAKA.
DaaaJPM alichukiwa na mnafiki Tundu Lisu na Watanzania.
Lisu na Lema ni walelewa Ubelgiji siyo watanzania.
SahihiNiko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Magu alikuwa Mrundi na aliingia hapa Tanzania na mama yake. Ndipo mama yake akaolewa na mwanaume anaitwa Magufuli na akalelewa naye na kutumia jina lake.Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Yupo wapi Ben sanane?Wazungu lazima watunyooshe.