Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Wewe ndio mpumbavu baada utetee hoja yako unatukana kama kuku aliekatwa kichwa mimi nimetoa maoni yangu hvyo sio lazima ukubaliane nayo na ww sio lazima kila mtu akubali mawazo yako maana nyie ndio mlikuwa vinara wa kumtukana magufuli leo mmehamia kwa samia mnataka raisi wa aina gani sasa.
 
Cheo cha RAIS kuna watu/kundi anaweza kiogopa
Jamaa yenu na ujanja wake wote alienda msoga kupiga magoti na ubunge akatoa kama shukran baada ya kuyakoroga si ndio alikuwa mungu mtu.
 
Usichanganye KARIAKOO SOKONI na SOKO LA KIMATAIFA LA KARIAKOO.
 
Tatizo letu Kwa sasa Tanzania ni Rais ni mkweli sana na anapenda kufanya good governance, wakati watanzania hawajazoea kusikia ukweli, wala hawajazoea kuwa good citizens...Tumepewa right president at a wrong time and to the wrong people
Statement yako ni ya kutoka kwa mtu mwenye akili na upeo mkubwa sana.
HUlka yetu wanadamu wengi hatupendi kuambiwa ukweli ambao ni Negative, ni sawa na mwanamke usimpodanganya unaweza usimpate maana yeye anahitaji kusikia Positive Hopes
 
Huyu mpya kaambiwa asikubali kuwapendezesha , ampendezeshe Rais pekee yake. Ni kama Rais kazidiwa nguvu na watu au kundi Fulani humo TRA.
'Chura Kiziwi' upeo wake ni mdogo sana.

Kila analo jaribu kulieleza, hata ukijaribu kulielewa maana yake ni nini hasa inakuwa vigumu kuelewa amelenga kufikisha ujumbe gani!

Ni maneno tu yanamtoka kinywani bila ya kuwa na maana yoyote.
 
Maneno yake saa zingine Yana ukakasi.
 
Hili hajaongea?
 

Attachments

  • IMG-20240707-WA0018.jpg
    85.4 KB · Views: 2
Yule mama yetu kwa sasa ni kama kachanganyikiwa kimtindo, halafu kwa sasa anaongoza kwa hofu na wasiwasi mnoo huku akikosa kujiamini na kutaka kujionyesha kuwa anaweza kumpendeza kila mtu ikiwemo wale anao watumbua.
Wewe umefunga mada.
Na atakayekubishia ni mbumbumbu mzungu wa reli asiyejua kutafsiri mambo.
 
WEZI NI WANACCM
 
Kama ulimsikiliza alisema jana kwamba kidata mpaka baadhi ya watumishi wa ikulu na viongozi wa serikali walikuwa hawampendi itafakari vizuri hyo kauli.
Pamoja na hayo mimi pia nimesikitika kumsikia rais anachanganya kiswahili na kiingereza kwenye hotuba huku rais za Msumbiji akiongea kiswahili safi. Alafu rais anatuambia kiswahili kiongelewe duniani kote. Mimi sijawahi kumuona mwingereza anayeongea kiingereza na kuchanganya maneno ya kiswahili.
 
Ameanza kuelewa kwamba vita ya uchumi ni mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…