Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Sasa kuna ukweli gani umenionesha nikakataa?. Halafu Mimi huwezi kuniambia Kuna reforms wakati unatumia Katiba ya mwaka 1977.
Upo finyu kweli kijana, nikikuita Juha usikasirike, ni sifa yako. Hivi hauelewi kuwa toka mama Samia kashika Urais kuna mchkato wa katiba mpya unaendelea, na akasema wakati unaendelea yanayoweza ufanyiwa marekebisho kisheria yafanyiwe, yamefanyiwa.

Huwezi kukurupuka kwa jambo muhimu kama katiba, unaweza kuishia njiani kama ilivyokuwa wakagti wa Kikwete. Labda uwe dikteta kama nyererfe, uandike katiba yako useme ipitisheni, anaegoma kuipitisha anapitishwa yeye au uwe kama Magufuli, useme hakuna na ukipinga hakuna hata kuongelea siasa mpaka kipindi cha uchaguzi, na ukipinga alikuwa aan kufinya. Ndiyo unayataka hayo?

Shukuru Mungu, sasa hivi una Rais mwenye kuzijuwa R nne muhimu sana katika kuoingoza na kujiongoza.

Wewe falsafa ya R nne umeitumia vipi kukunufaisha binafsi?
 
Hakunaga uchapakazi ofisini au mahala popote kama watu wote wanakuona kero,mbaya zaidi sio tuu Watumishi Bali hata wadau ambao ni wafanyabiashara.

Hapo.kero ni wewe au wao? 😂😂
Kwa hivyo unachotaka kusema ni kwamba , ukiwa mzuri mmoja na umezungukwa na wabaya mia, ni ruhusa kukuondoa wewe mzuri ili wabaya wabaki?. Yani mzuri akiwa kero kwa wengi basi hastahili kubaki ofisini?. Ok.
 
Mnamuonea tu mama wa watu ila pale TRA kuna mapapa mpaka magufuli aliwashindwa tena watu wazito kutoka serikalini na wafanyabiashara wakubwa na wanalindwa na mfumo wengine ni viongozi wastaafu wa CCM na serikali washaingia mpaka ikulu unadhani hyo vita mama anaiweza acheni kumuandama mambo sio rahisi kama unavyodhani.
kama ni mdhaifu kiasi hicho mpaka unasema tunamwonea basi hafai kuwa kiongozi.
 
Kwa hivyo unachotaka kusema ni kwamba , ukiwa mzuri mmoja na umezungukwa na wabaya mia, ni ruhusa kukuondoa wewe mzuri ili wabaya wabaki?. Yani mzuri akiwa kero kwa wengi basi hastahili kubaki ofisini?. Ok.
Kipimo Cha uzuri wako ni kipi ikiwa huwezi associate na jamii?
 
Upo finyu kweli kijana, nikikuita Juha usikasirike, ni sifa yako. Hivi hauelewi kuwa toka mama Samia kashika Urais kuna mchkato wa katiba mpya unaendelea, na akasema wakati unaendelea yanayoweza ufanyiwa marekebisho kisheria yafanyiwe, yamefanyiwa.

Huwezi kukurupuka kwa jambo muhimu kama katiba, unaweza kuishia njiani kama ilivyokuwa wakagti wa Kikwete. Labda uwe dikteta kama nyererfe, uandike katiba yako useme ipitisheni, anaegoma kuipitisha anapitishwa yeye au uwe kama Magufuli, useme hakuna na ukipinga hakuna hata kuongelea siasa mpaka kipindi cha uchaguzi, na ukipinga alikuwa aan kufinya. Ndiyo unayataka hayo?

Shukuru Mungu, sasa hivi una Rais mwenye kuzijuwa R nne muhimu sana katika kuoingoza na kujiongoza.

Wewe falsafa ya R nne umeitumia vipi kukunufaisha binafsi?
Unachekesha kweli. Nikikuuliza unitajie rekebisho hata moja kwenye katiba utakuwa nalo?. Unataka kuniambia Rais huyu aliyesema Katiba ni kijitabu ndio ataleta katiba mpya?.

Kama huyo Rais angetaka reforms za kweli angeanza na mchakato wa Katiba Mpya ili kutengeneza Tanzania tuitakayo, halafu Katiba ndio itaanalyze reforms zote , ambazo kila mmoja atazishikilia.

Na mchakato ulikuwa very simple. Wataalamu wa Katiba wangekaa na kuja na Rasimu wananchi wanaipitia na baadaye kujipigia kura. Ndipo reforms zinaanza rasmi kwa kubadilisha sheria ziendane na Katiba Mpya. Sio hizi stori za kisiasa za Rais.
 
Unachekesha kweli. Nikikuuliza unitajie rekebisho hata moja kwenye katiba utakuwa nalo?. Unataka kuniambia Rais huyu aliyesema Katiba ni kijitabu ndio ataleta katiba mpya?.

Kama huyo Rais angetaka reforms za kweli angeanza na mchakato wa Katiba Mpya ili kutengeneza Tanzania tuitakayo, halafu Katiba ndio itaanalyze reforms zote , ambazo kila mmoja atazishikilia.

Na mchakato ulikuwa very simple. Wataalamu wa Katiba wangekaa na kuja na Rasimu wananchi wanaipitia na baadaye kujipigia kura. Ndipo reforms zinaanza rasmi kwa kubadilisha sheria ziendane na Katiba Mpya. Sio hizi stori za kisiasa za Rais.
Kijana unaoinesha huelewi unachokisoma, sheria zote za Tanzania mama yao ni katiba. Nimesema amesema zibadilishwe sheria zinazowezekana wakati mchakato wa katiba mpya unaendelea, nini usichokielewa hapo?

Unafikiri bunge kazi yake ya msingi ni nini?
 
Kipimo Cha uzuri wako ni kipi ikiwa huwezi associate na jamii?
Yani Kama Mimi sio fisadi ofisini na wengine wote ni mafisadi, je ni lazima ni associate nao kwenye ufisadi ili nionekane mzuri na nisiwe kero kwao?. Maana hicho ndicho Rais alimaanisha kwa Kidata.
 
Kijana unaoinesha huelewi unachokisoma, sheria zote za Tanzania mama yao ni katiba. Nimesema amesema zibadilishwe sheria zinazowezekana wakati mchakato wa katiba mpya unaendelea, nini usichokielewa hapo?

Unafikiri bunge kazi yake ya msingi ni nini?
Dada, Kuna kitu hutaki kukubali. Unapodai sheria zote msingi wake ni katiba , je hizo sheria zinaweza kubadilishwa na kwenda kinyume na Katiba?. Sheria zote lazima ziendane na Katiba.

Rais alitakiwa aanzie kwenye Katiba kwanza sio kwenye sheria. Kwa mfano kwenye sura ya kwanza ya Katiba Tanzania inafuata mfumo wa ujamaa na kujitegemea. Je kwenye uhalisia Tanzania ni nchi ya Kijamaa?. Je sheria zetu zinafuata misisngi ya Kijamaa?.

Tuna Katiba iliyopitwa na wakati ambayo ndio kikwazo Cha reforms nchini. Huwezi kuwaza kuwa na uchumi wa juu wakati Kattiba yako ni ya mwaka 77, 84 na mara ya mwisho imerekwbishwa 2005 miaka kumi na Tisa iliyopita.

Tunataka reforms tuanze na Katiba kwanza mengine yafuate.
 
Yani Kama Mimi sio fisadi ofisini na wengine wote ni mafisadi, je ni lazima ni associate nao kwenye ufisadi ili nionekane mzuri na nisiwe kero kwao?. Maana hicho ndicho Rais alimaanisha kwa Kidata.
Nddioaana no way utaweza fanya kazi au kusogeza taasisi mbele Kwa mazingira hayo,lazima upishe Kwa maslahi ya Taasisi maana sio Mali Yako.

Wala sio TRA tuu jaribu hata huko Chadema uone 🔥🔥
 
Nddioaana no way utaweza fanya kazi au kusogeza taasisi mbele Kwa mazingira hayo,lazima upishe Kwa maslahi ya Taasisi maana sio Mali Yako.

Wala sio TRA tuu jaribu hata huko Chadema uone 🔥🔥
Duh! Kwa hivyo Kidata mzuri kaondolewa kwa sababu alikuwa hapendwi na wezi. Inasikitisha Sana.
 
Uzuri wake ni upi? Watumishi ni wezi, Wafanyabiashara wezi,watu wa Serikali ni wezi ,unaona inawezekana?
Kwa hivyo Kidata ndio mwenye shida?. Maana wote ni wezi ukimtoa yeye. Sasa hao wezi qangeondolewa aletwe yeye.
 
Kwa hivyo Kidata ndio mwenye shida?. Maana wote ni wezi ukimtoa yeye. Sasa hao wezi qangeondolewa aletwe yeye.
Ndio mwenye shida, haiwezekani watu wote wawe na shida,atafanya kazi na nani? Yaani Nchi ipate hasara ya Migomo kisa Kidata? Hizo akili mtafany Machadema sio Samia.
 
Back
Top Bottom