Kama katiba ni kijitabu, alipata wapi uhalali wa kuwa Rais?. Aachie kudharau Katiba maana jeshi lingedharau Katiba huo urais angeusikilizia kwenye Clouds FM Radio.Si ndivyo inavyokuwa perceived na amesema honestly what she meant? Au kwakua unataka aseme asichoamini?
stenographer na urais wapi na wapi ndugu?Kweli Rais ni kama amekiri kuwa hawezi kazi.
Honest kwenye Nini? Kwenye kudai ameshindwa kukusanya Kodi? Ila anaweza kulipa mikopo ya kausha damu huko IMF? Tofautisha honesty na kushindwa kazi.Mie nashangaa mnataka msikie Rais akisema uwongo, why? She is honest ila Sasa kama inatakiwa kuwa hivyo au la ndiyo anawaambia tuache hayo
Wapo kina rostam aziz na genge lake.Kumbe Kuna watu ambao wananguvu kuliko Rais.
Kweli kabisa mkuu, wakulaumiwa sio CCM Tena Bali ni sisi wananchi.bado ccm inaendelea kutuonyesha kwamba hawastahili kurudishwa madarakani ila sisi wananchi tutakaza mafuvu tutawaligia kira hao mafisi na wataendelea kututesa......... naamini tungekua na lile jeshi la 6 kwa ubora saa hizi kuna mtu asingetakiwa aitwe mh. raisi
Hujui ulisemalo mbona rostam alikuwa anamchekea tu kuna mtu hatari kushinda yule.Acha uongo Magufuli hajawahi kushindwa na mfanyakazi wake yoyote katika nchi hii
Aliondoa mfumo wa bank account akaweka control namba
Hujui ulisemalo mbona rostam alikuwa anamchekea tu kuna mtu hatari kushinda yule.Acha uongo Magufuli hajawahi kushindwa na mfanyakazi wake yoyote katika nchi hii
Aliondoa mfumo wa bank account akaweka control namba
topic closedKweli kabisa. Inabidi kuchimba background ya mtu kabla ya kumpa nafasi ya juu
Duuh watu weusi kweli tumelaaniwaMnamuonea tu mama wa watu ila pale TRA kuna mapapa mpaka magufuli aliwashindwa tena watu wazito kutoka serikalini na wafanyabiashara wakubwa na wanalindwa na mfumo wengine ni viongozi wastaafu wa CCM na serikali washaingia mpaka ikulu unadhani hyo vita mama anaiweza acheni kumuandama mambo sio rahisi kama unavyodhani.
Kwa hivyo mikikimikiki ya Kariakoo ni Mikubwa kuliko ya nchi nzima?. Maana unamtoa mtu uwaziri kisa haiwezi mikikimikiki ya Kariakoo.3. Unaijuwa mikiki ya kariakoo au unaisikia tu?
. Halafu wewe unawajuwa wasaidizi wa Rais kuliko Rais mwenyewe?
Kweli kabisa.The right president should be one who takes action. Sio rais anakuwa anatoa mipasho kama vile yupo kwenye kikao cha familia yake.
Yani president una mandate yote hiyo unaufahamu ukweli na una admit in public kuufahamu uozo wote huo still you just keep on watching it unfold?
Ingekuwa ni the right president saa hii watu wangekuwa jela, mahakamani na walishafilisiwa mali za umma walizoiba.
So sir please, we have the wrong president. Samia does not fit the office. She ain't fit for the job.