econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
- Thread starter
- #181
Kweli kabisa mkuiNikimkumbuka JPM na Leo Samiah Wana kitu fulani in common!!wanaongozwa kuongoza nchi!!
Yaani Kuna utashi mwingine unaamua wazungmzaje waharibu vipi wakurupukaje wateuaje hata waleje na wote wanaowangoza kuongoza wanawaingiza chaka Ili wapoteze upili was mihula yao!!!
Yaani ipo dhahiri kabisa kwamba wanaowaongoza kuongoza wanataka waharibu Ili wasipate muhula was pili wa uawamu zao!!
MAONI HURU KUTOKANA NA FIKRA HURU!!