Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Moja ya kosa kubwa watawala wetu wanalifanya isipokuwa kikwete hakufanya sana haya ni kuchagua askari type kwenda kuongiza taasisi.

Kidata alikuwa na attitude ya uaskari katokea kitengo wao wanaendeshwa na amri tuu hakuna strategic business thinkingna kila alilokuwa akilifanya alikuwa anatumia nguvu hivyo wadau wengi hawakumkubali.

Issue ya kariakoo inatawaliwa zaidi na maboss wa yanga na other cartels wanaopambania consolidation ya kuleta mizigo kwa gharama ndogo kwa mfanyabiashara na huku tra inataka kodi kubwa toka kwa mtu aliyeletewa mzigo kwa gharama ndogo za njia ya mkato
Kweli kabisa mkuu
 
mambo bado! uongozi mkubwa wa nchi unahitaji hekima sana,shida aliingia kwa pupa bado hakuwa anastahili kuwa pale,pale ni pazito.
na manyanyaso zaidi yataongezeka maana anawaamini watu wa nje kuliko watu wake wa ndani ndio maana kila siku ndegeni,hii sio solution ni tatizo analitafuta.. she have to empower her own people. viongozi wengi wa Africa wanakosea kwenye hili serikali hazina dira za kuinua kiuchumi watu wao.
Kweli kabisa , cheo kimemzidi.
 
Labda na yeye yuko South Korea. Maana nilisikia yule chawa Steve Nyerere akisema alibubujikwa na machozi ya furaha!

Sasa tokea hiyo safari yao imeanza, sijamsikia kabisa Mwashambwa.😀 usikute ndo Steve Nyerere mwenyewe daah.
Itakuwa kweli mkuu. Maana tangu hiyo safari hajaonekana hapa
 
Sasa hapo unatetea Nini dogo?

Wazandelendo tunasikitishwa na hotuba ya mama ambaye amekosa mwelekeo, imepelekea tunaathirika na na huu utawala

We vipi? Ni mtanzania mwenzetu??
Mkuu Kuna watu uchawa umewapofusha hata ukweli hawauoni.
 
Actually Mimi nimependa alivyoweka vitu wazi

Ukopaji ni sign ya deficiencies ndio maana Manyanyaso lazima yawepo…. Tunakopa because it is inevitable,

Mengine yote ni very relevant na anajua chanzo

Kidata kapndolewa most likely itakua ji ile Barua ya zile balozi kubwa kuandika waraka kwa waziri wamambo ya nje

Tulichoona jana ni kwamba rais ameweka bayana kwamba wengi wetu sio wasafi na ni selfish hivyo walionyooka Kama kidata wataendelea kupata tabu

Nini solution: tuanze na maadili upya na tuanze na genZ na watoto wapya ili kuleta taifa salama
Sawa mkuu
 
David Kafulila na chawa wake Lucas Mwashambwa walikuwa wanampotosha kuhusu mikopo . Ameanza kushtuka , sasa ana mkumbuka Ndugai .
Sijui Kafulila atajificha na zile takwimu zake za mikopo. Ndio shida ya kuwa chawa, siku bosi akibadilisha GIA inabidi na wewe ubadilishe.
 
EEEEeeeenHEEEEeeeee!
Sijui huyo Kamishna mpya hapo TRA anakwenda kufanya kazi gani sasa.
Kwanza anasimamia wafanya kazi wezi
Pili, atakapojaribu kuwabana wasiibe, watam'data', kama walivyomfanya huyo Kidata. Watasherehekea na huyu mpya atakapo ondolewa kama atabania!
Huyu mpya kaambiwa asikubali kuwapendezesha , ampendezeshe Rais pekee yake. Ni kama Rais kazidiwa nguvu na watu au kundi Fulani humo TRA.
 
Hakuna alichokifanya JPM ambacho hatakimalizia Rais Samia katika muda huu kuelekea 2025.

Samia hana makeke ya maongezi ya jukwaani, jana nimekatiza pale BP karibu na bandarini ni kama Ulaya yaani.

Pale mida ya jioni ulikuwa ukifika saa kumi na moja na gari kwa upande wa kule kurasini inabidi usubiri saa nzima mpaka magari yanayotoka mjini yapunguzwe na trafiki, leo hii ni mwendo wa dakika moja tu umeshakatiza mahali pale!.

Samia apewe heshima yake anafanya yale yale ambayo angeyafanya hayati JPM angekuwa hai mpaka muda huu.
Sidhani, JPM pamoja na Mimi kutokubali ni mara kumi zaidi ya Samiah. JPM asingeanza kulalamika mikopo inatunyanyasa
 
Ni wachache sana wenye uwezo wa kurithi MALI nakuendeleza vema.


Mzee aliteua mrithi pasi na kujua ni mlabata tu na hana uwezo wa kuendeleza.
Kweli kabisa. Angeteua jembe Leo mambo yangekuwa tofauti.
 
Ndipo kigugumizi Cha kukemea USHOGA na ulawiti kinapoanzia!!

Kwa Mfano unaambiwa, Ili tukupe mkopo huu, hakikisha watoto mashuleni wanafundishwa USHOGA na kupewa vilainishi🤔

Ni Kwa Mfano tu, sasa masharti hayo so Rahisi!!
Na Mimi nimeona Hilo. Maana kama masharti ya mikopo yanataka hivyo utafanyaje?. Ndio maana ushoga umeshamiri kwa Kasi.
 
Tunataka reforms za vitendo sio maneno. Redorms wakati hutaki kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya
Ukiwa biased hutoziona.

Tanzania ya leo ndiyo uliyokuwa nayo miaka 5 nyuma?

Unaziishi "Reforms" lakini huzioni, nafahamu ni "mentality" ya kitumwa uliyonayo, ya kukaripiwa karipiwa kuanzia unaanza kusoma shule mpaka kazini na bosi wako, kanisani ndiyo usiseme, mchungaji mpaka koo linakauka kwa kukaripia. Ukirudi nyumbani mumeo au mkeo kwa kuwa katokea mazingira hayohayo ya kitumwa , ya kujazwa ujinga, nae anakukaripia. Kwa kuwa umezowea hayo sasa umepata Rais wa vitendo asiyekaripia, hata mabadiliko "Reforms" kubwa anazozifanya na unaziishi lakini sikushangai huzioni.

Tazama tarehe ya hiyo hilo kongamano ukapate darsa la "Reforms" ni nini, kwa ufupi, unatakiwa wewe mwenyewe uanze kuji-"reform" ndipo utakapoziona "Reforms" kwa upana wake.
 
Ndipo kigugumizi Cha kukemea USHOGA na ulawiti kinapoanzia!!

Kwa Mfano unaambiwa, Ili tukupe mkopo huu, hakikisha watoto mashuleni wanafundishwa USHOGA na kupewa vilainishi🤔

Ni Kwa Mfano tu, sasa masharti hayo so Rahisi!!
Kweli kabisa mkuu. Kuna masharti magumu mpaka Rais imebidi apige kelele.
 
Nchi imemshinda, ni kama mfa maji sasa hajui pa kushika. Its very unfortunate tuna kiongozi wa namna hii. Kwanza tumeshajua mwananke kazi yake kupika na kumfurahisha mumewe, hafai kuongoza nchi. 2025 asirudi, tunataka kiongozi anayejua nini anataka ili kuleta maendeleo kwa watu wake, kiongozi bold anayeweza kusimamila rasilimali za nchi, kuondoa wizi na ufisadi uliokithiri nchini.
 
Back
Top Bottom