Mambo matatu muhimu ambayo Tundu Lissu hayafahamu

Mambo matatu muhimu ambayo Tundu Lissu hayafahamu

Na kwamba ajue kuna haki na sheria lakini pia dunia ina kanuni zake..hata JF kenedy rais mdogo wa Marekani aliuawa akiwa mpya madarakani.
 
Watetezi wa Magufuli mngekuwa mna hoja za msingi kuhusu kukubalika kwake iwapo angeheshimu uchaguzi. Tulitaka aheshimu uchaguzi ili ifahamike kwa uhakika kuhusu kukubalika kwake, sio mnasema alikuwa anakubalika sana lakini akashindwa kuheshimu uchaguzi ili tuone kwa uhakika kiwango cha kukubalika kwake.
Kuheshimu au kutoheshimu uchaguzi ni wewe tu unavyotafsiri..ukishindwa utasema uchafuzi ukishinda utaita uchaguzi.

Hata mahakamani ukishinda kesi utasema mahakama imetenda haki na ukishindwa utasema hujatendewa haki.
 
Watetezi wa Magufuli mngekuwa mna hoja za msingi kuhusu kukubalika kwake iwapo angeheshimu uchaguzi. Tulitaka aheshimu uchaguzi ili ifahamike kwa uhakika kuhusu kukubalika kwake, sio mnasema alikuwa anakubalika sana lakini akashindwa kuheshimu uchaguzi ili tuone kwa uhakika kiwango cha kukubalika kwake.
Uchaguzi wa 2020 ulipatwa na nini wewe tindo ? Kila siku huishi kuulalamikia
 
Nyie ni wagonjwa mnaochukia dawa.

Ili Taifa lipone lazima madudu yote ya serikali zote zilizopita na iliyopo yawekwe wazi ili yarekebishwe na Yasijirudie tena.

Kama tunamsema Nyerere ambaye keshatangulia mbele ya haki kwa kutuachia katiba mbovu

Na tunamsema Mkapa ambaye naye keshatangulia mbele ya haki kwa kuuza madini na mashirika ya umma kwa bei ya kutupwa

Magufuli yeye ni nani hadi madudu yake yasisemwe?.

Lissu hana Shida ya kuungwa mkono na watu wenye mahaba kwa mtu kuliko Taifa.

Nyie bakini na mahaba yenu lakini acheni Taifa lipewe dozi ya Ukweli utakaoliponya!
 
Shida Walimu wengi ni watoto watoto ambao ni wavivu wa kufikiri... Wao wanachoona mbele yao ni Madaraja na Nyongeza ya Mshahara tu.

Walau hii miaka miwili wameanza kuamka sasa, wengi wanaona aibu hata kuzungumzia yanayoendelea nchini.
 
Shida Walimu wengi ni watoto watoto ambao ni wavivu wa kufikiri... Wao wanachoona mbele yao ni Madaraja na Nyongeza ya Mshahara tu.

Walau hii miaka miwili wameanza kuamka sasa, wengi wanaona aibu hata kuzungumzia yanayoendelea nchini.
Aisee
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Huna akili, wewe sio Mungu , pumbavu
 
Kuheshimu au kutoheshimu uchaguzi ni wewe tu unavyotafsiri..ukishindwa utasema uchafuzi ukishinda utaita uchaguzi.

Hata mahakamani ukishinda kesi utasema mahakama imetenda haki na ukishindwa utasema hujatendewa haki.
Unadhani kila mtu ni mjinga, kilio cha kwamba chaguzi zetu sio za haki kimeanza leo? Na huko pia wamekuwa wapinzani wakishinda. Kushinda baadhi ya sehemu kwenye uchaguzi hiyo haimaanishi ni chaguzi za haki. Kwamba nione maboxi ya kura yanaingizwa kituoni yakiwa na kura tayari, useme ndio ninavyotafsiri? Nione karatasi zenye matokeo fake na yaliyoko kituoni useme ndio ninavyotafsiri?!

Nani umeona akisema mahakama zinatenda haki, watu huwa wanashangaa mahakama zikitoa hukumu zinazoenda nje ya utashi wa walioko madarakani. Na hilo hufanyika kwa nadra sana. Mara karibia zote mahakama hutoa hukumu zinazokidhi matakwa ya walioko madarakani. Ukitaka kujua mahakama nyingi za huku ndani hazitendi haki, tazama kesi zinazofanyika kwenye mahakama za kimataifa, mara zote huwa serikali haishindi.
 
Uchaguzi wa 2020 ulipatwa na nini wewe tindo ? Kila siku huishi kuulalamikia
Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Silalamimiki bali naweka rekodi sawa. Na sintokaa niache kuongelea uhayawani ule. Ni mtu mjinga tu anaweza kukalia kimya na kupuuzia ushenzi wa aina ile kwenye chaguzi zetu.
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Mimi sio Mwalimu na simkubali Mwendazake na tupo wengi tuu.

Tena nadhani ungesema walimu ndio wanamkubali maana hao wengine walikuwa wanatoa pesa zao binafsi kuendeshea ofisi sababu hakuna Cha OC wala posho ,Sasa hivi mambo ni 🔥🔥
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Kwa hiyo
 
Back
Top Bottom