Mambo matatu muhimu ambayo Tundu Lissu hayafahamu

Mambo matatu muhimu ambayo Tundu Lissu hayafahamu

Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Hivi mtu km Lissu zaidi ya kuzusha, kupotosha, kutukana, kulalamika sijawahi ona mchango wake ktkt taifa hili. yule ni wakala wa shetani ni wa kupuuzwa. Ila amekuwa kiburudisho cha wapumbavu wanaopenda kusikiliza hule upuuzi wake, kuna watu wana stresss zao za maisha wakimsikiliza yule kichaa wanapata ahueni wakifikiri kweli matatizo yao yamesababishwa na serikali kumbe ni wao wenyewe. Nchi inatutegemea sisi, we kila siku ni kulalamika, hulimi hata ekari moja, hufugi hata ng"ombe moja. Lissu ni hasara ktk taifa hili, ni mwehu tu anaweza kuwaza Lissu kuwa hata waziri achilia mbali habari ya urais, hiyo ni sawa na mbingu na ardhi.
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Lissu, Mbowe na CDM itawasumbua sana CCM na mwisho kuangusha CCM hakuna chama chochote duniani kimedumu milele.
 
Watumishi Wanamkumbuka Magufuri Kwenye suala la uendeshaji wa tahasisi za serikari ambao uliwa favor sana watumishi wengi ambao wanapitia manyanyaso sana. Enzi za Magufuli huduma kwenye tahasisi yoyote ilikua chap Kwa haraka unapewa huduma safi Kila mtu alikua muoga dhidi ya mwenzie, watumishi wote walikuwa sawa.Watumishi pia walimpenda Magufuri hasa pale viongiz waliwalivyokua wakitumbuliwa. Na hii ilitokana na style yake ya dictatorship ambayo ndio applicable Kwa nature ya jamii za kiafrika. Kwenye maslai nadhani alitofautiana na watumishi wengi.
Ukiachana na Mapungufu yake kadha wa kadha, TANZANIA TUMEMPOTEZA MTU MUHIMU SANA
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Angejikiti kwenye swala la katiba na bandari mambo ya kumsimanga marehem ni kujitoa kwenye reli yenyewe
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwa watumishi wa serikali umesema uongo kwa kuwa kipindi chake chote alisimamisha mafao ya kisheria waliyokuwa wanastahili kwa ubabe wake tu, mfanyakazi gani atampenda
Kwa sasa hivi yameongozwa kwa hiyo
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Hakuna chama cha upinzani kinaweza kuendesha nchi. Hakuna chama cha upinzani chenye msimamo, mshikamano na maono ya muda mrefu.Cha kufanya tukitaka tufike mbali CCM inabidi ipasuke iunde chama kingine na wawe nusu kwa nusu. CCM ilibidi waamke kipindi cha Mzee wa Msoga kilivyoisha lakini walikuwa hawajasoma ramani. Ule uchaguzi unatakiwa ufundishwe madarasani ulikuwa na elimu kubwa sana kwenye siasa.JPM alifanya mambo makubwa lakini hakuwa na insurance alikuwa na wanafiki wengi na yeye akaamini ni wenzake. JPM alitakiwa ajenge watu kama 40 ambao wana maono kama yake na kuwaweka karibu. Tatizo alikuwa na upendeleo wa nyumbani kwake na hivyo aliipasua mshikamano baina ya viongozi. Na mbaya zaidi kwenye kipindi chake ukiwa chawa unapata cheo hapo ndo alipokosea.Tuliona watu wanafanya mambo ya ajabu waziri anabishana mpira, mkuu wa mkoa anatamba kama kijana alieokota mawe ya tanzanite akawa tajiri ghafla. JPM Alitakiwa ajenge elites ambao wana maono ya muda mrefu. Lakini tuache yaa JPM tufirikie yajayo , inabidi CCM iamke. Inabidi chama kiwe na maono ya mbali kuanzia miaka 30 kwenda mbele. Kuanzia kipindi cha Mzee wa Msoga Rais anafanya yake akijua akimaliza anamuachia msala mtu mwingine. Hakuna mradi au mpango ambao unaendelea baada ya Rais kutoka hii kitu itamaliza nchi siku moja. Mkapa alikuwa na mpango wa Mkurabita alivyoingia Mzee wa Msoga akaufuta.
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Wewe inaonekana umemjua Tundu Lissu juzi..

Huyu jamaa si mtu wa kutafuta vyeo au pesa za kupewa kama hongo kama ulivyo wewe..

Tundu Lissu ni mtu wa haki. Ni mtu anayependa sana kuleta changamoto kwa watawala wajinga na wabovu kama alivyokuwa John P. Magufuli na sasa huyu mama yenu..

Tundu Lissu mwenyewe alishasema, kwamba, amani na furaha yake ni kuwa kwenye vyombo kama Bunge kwa ajili kushiriki mijadala motomoto..

Na hii ni kweli kabisa. Nikikumbuka mabunge ya 2005 - 2010; 2010 - 2015 na 2015 -2020 Tundu Lissu na wenzake wa CHADEMA kina Dr Slaa, Zitto Kabwe nk nk wakiwa wabunge, bunge lilikuwa very hot na kusisimua kulifuatilia..

Kwa hiyo kudhani kuwa Tundu Lissu yuko desperate kwa ajili ya Urais, basi humjui Tundu Lissu wewe...
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Mkikaa mnawaza tu Ikulu saa zote, pumbavu
 
Nyuma ya keyboard au ?
Kwa taarifa yako mitandaoni ndio maoni ya umma yanayotolewa kwa sasa. Hii ndio maana halisi ya digitali. Hii sio ile dunia ya kwenda kupanga mistari bank asubuhi kuchukua au kuweka hela, ama kwenda TANESCO kununua umeme. Sasa hivi hata malipo ya TRA ni online. Huenda ww ni mzee hivyo bado uko dunia analogia.
 
3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.
Kwenye hili naona umesahau kutoa alternatives
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Mpumbavu wa kiwango cha lami.
 
Back
Top Bottom