Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :-

1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka.

2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo tunahitaji chama imara kimoja. Mfano Nchi ina changamoto nyingi Rais yuko bize Kutatua changamoto za wananchi kiongozi wa Upinzaniyuko Mwanza anaorganise issue kubwa kama ya kudai katiba mpya ,nchi haiwezi kwenda hivyo.

3. Tunamuhitaji Mao Zedong. Itachukua Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.

Rais Samia Suluhu Hassan ni rais Mzuri ana mipango mizuri ,tatizo Moja kubwa Anatafuta hela nyingi na kwa kuwakamua Wananchi kisha Watu wachache wanatafuna pesa na nyingine ndio zinaenda kwenye eneo husika .Mama kama ataweza thibiti Upotevu wa Hela kuna uwezekano mkubwa baada ya miaka 5 tutakuwa Mbali sana.
 
Nimeamini mtu asipokuwepo ndo thamani yake inaonekana. Kuna vitu sikuvipenda enzi ya Magufuli. Ila Magufuli ni bora kuliko aliyepo. Hivi huyu mama hajui hata wananchi wanyonge wanahali gani. Zaidi ya kuweka tozo na kupanda ndege Zanzibar Dodoma Dar es salaam and the vice-versa .
 
Mi naona tunahitaji sana katiba Mpya ,itasaidia hata akiingia kiongozi mbovu ina muongoza
 
Kitendo cha kupandisha bei ya kuunganisha umeme kimekera wengi

Hakuna kitendo kinachonikera awamu hii kama mgao wa umeme

Hapa mtaani tayari wameshakata umeme tangu alfajiri, joto kali na usingizi umekata kabisaa

Hii schedule maintainance ya January sijui utaisha lini
 
Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :-

1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka.

2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo tunahitaji chama imara kimoja. Mfano Nchi ina changamoto nyingi Rais yuko bize Kutatua changamoto za wananchi kiongozi wa Upinzaniyuko Mwanza anaorganise issue kubwa kama ya kudai katiba mpya ,nchi haiwezi kwenda hivyo.

3. Tunamuhitaji Mao Zedong Mao Zedong - Wikipedia .Itachukua Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.

Rais Samia Suluhu Hassan ni rais Mzuri ana mipango mizuri ,tatizo Moja kubwa Anatafuta hela nyingi na kwa kuwakamua Wananchi kisha Watu wachache wanatafuna pesa na nyingine ndio zinaenda kwenye eneo husika .Mama kama ataweza thibiti Upotevu wa Hela kuna uwezekano mkubwa baada ya miaka 5 tutakuwa Mbali sana.
Absolute crap
 
Tatizo lenu ata mkiletewa wataalamu mnaanza majungu wengi wetu atujui yupi anatufaa yupi kanyaboya tu.

Mmemjengea majungu mtu kama Dr Gwajima mpaka katolewa wizara ya afya mnataka waziri anaesema vipaumbele vyake ni kwenda kufanya intergration wizara ya afya itakayotatua changamoto za COVID, Malaria na upuuzi mwingine aliongea anajua mwenyewe.

Mtu hajui ata intergration maana yake ni nini kwenye afya. Kumsaidia tu intergration ni aspect ya individualism care (person centred care) ambayo inataka mgonjwa hasa wenye special needs or living with long term conditions; ambao mahitaji yao ya huduma ya afya yanatolewa na wataalamu tofauti. Mfano mtoto mwenye autism anaweza kuwa na speech therapists, psychology, social worker, GP and so forth as part wholistic care needs.

So intergration of care approach requires professionals wote kuwa team moja in doing so wanatakiwa kuwa na system moja ili kila mtu asome assessment za mwenzake kuondoa overlapping before a care plan is drafted. Anyway hayo ni mambo ya health services za dunia ya kwanza.

Intergration has nothing to do with general intervention strategies on public health. Upuuzi wa yule mwanamke is beyond me anavyoililia wizara ya afya sasa na wajinga wajinga ambao hawajui lolote kuhusu management ya wizara wanavyo wanampigia debe inasikitisha sana.

Halafu anakwambia eti anaenda na kuboresha quality of practice trust me hiyo ata mtu aliesomea health management awezi pekee kama sio Doctor it’s a different bar unahitaji management lakini lazima ufahamu medical procedures to trouble shoot that.

Ndio tatizo lenu ata mkipewa mtaalamu mnaanza kumbeza tu, ningekuwa nafanya kazi serikalini ningeiba tu kuliko kuingaikia mitanzania isiyo na shukran na ningependa mtu kama mama Samia aongoze milele.
 
Mao Zedong wa Tanzania!🐒🐒🐒
16409521842520.jpg
16407794172240.jpg
 
Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :-

1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka.

2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo tunahitaji chama imara kimoja. Mfano Nchi ina changamoto nyingi Rais yuko bize Kutatua changamoto za wananchi kiongozi wa Upinzaniyuko Mwanza anaorganise issue kubwa kama ya kudai katiba mpya ,nchi haiwezi kwenda hivyo.

3. Tunamuhitaji Mao Zedong Mao Zedong - Wikipedia .Itachukua Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.

Rais Samia Suluhu Hassan ni rais Mzuri ana mipango mizuri ,tatizo Moja kubwa Anatafuta hela nyingi na kwa kuwakamua Wananchi kisha Watu wachache wanatafuna pesa na nyingine ndio zinaenda kwenye eneo husika .Mama kama ataweza thibiti Upotevu wa Hela kuna uwezekano mkubwa baada ya miaka 5 tutakuwa Mbali sana.
Nyani hawezi kumkataza nyani kula mahindi. Hao wote ni wapigaji tu
 
Back
Top Bottom