Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :-

1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka.

2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo tunahitaji chama imara kimoja. Mfano Nchi ina changamoto nyingi Rais yuko bize Kutatua changamoto za wananchi kiongozi wa Upinzaniyuko Mwanza anaorganise issue kubwa kama ya kudai katiba mpya ,nchi haiwezi kwenda hivyo.

3. Tunamuhitaji Mao Zedong. Itachukua Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.

Rais Samia Suluhu Hassan ni rais Mzuri ana mipango mizuri ,tatizo Moja kubwa Anatafuta hela nyingi na kwa kuwakamua Wananchi kisha Watu wachache wanatafuna pesa na nyingine ndio zinaenda kwenye eneo husika .Mama kama ataweza thibiti Upotevu wa Hela kuna uwezekano mkubwa baada ya miaka 5 tutakuwa Mbali sana.
Samia anatafuta hela nyingi ili atatue matatizo mengi tatizo wizi upo ndani ya DNA ya wasaidizi wake, anavyofanya ziara za kikazi anazidi kuwafahamu kwa ukaribu.
 
T
Hayati JPM kama angaliweza kutii sheria na katiba kwa kuzingatia masuala muhimu ya kiutu na kidemokrasia, utawala wake ungaliweza kuweka alama muhimu sana katika historia ya nchi yetu. Uthubutu wake wa kufanya maamuzi magumu ili kulinda rasilimali za nchi yetu na kwa maslahi mapana ya nchi yetu ni sifa kubwa ambayo alikuwa nayo.

Kurudisha nidhamu ya utendaji na ufanisi katika ofisi za umma pia ni kongole nyingine kwake. Kukemea kwa uwazi vitendo vya rushwa, uonevu na ukandamizaji wa kimatabaka pia ilikuwa ni "credit" nyingine kwake. Na hata pia uthubutu wake wa kuanzisha ama kuendeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile mradi wa umeme wa bwawa la Nyerere.

Taifa linapaswa kuwa na "succession plan" na kuanza kuandaa viongozi waliopo ili waje kuwa baadaye viongozi wazuri hapo baadaye. Wananchi wengi hawatamani kuwa na Rais aina ya JPM kutokana na mabaya yake, ila wanatamani kuwa na Rais kama yeye kutokana na mazuri yake.

Kama tunataka kiongozi mwenye haiba ya JPM kwa upande wa mazuri yake, yaani mwenye uthubutu wa kufanya maamuzi magumu, na watu wakatambua kuwa yupo "serious" na hata kuupelekea umma kutii kwa dhati, basi naweza kuwataja Tundu Lissu ama Mwigulu Nchemba, pengine pia yupo Kassim Majaliwa.

Hawa ni watu ambao wanaweza kuanza kuandaliwa ili kama wakifanikiwa kushika uongozi wa juu wa nchi wasigeuke kuwa viongozi katili na madikteta. Kama ni uthubutu wa kukemea, kuamua na kufanya maamuzi magumu hii sifa wote wanayo.
Tundu Lisu hajatulia kuweza kushika nafasi hiyo muhimu kwa nchi. Huyu huyu anayewaita viongozi ni wajinga. Kwa kifupi mdomo wake hauna staha. Huwaona watu wote ni wajinga, na yeye ni mwenye akili kuliko wote. Huamini kwenye kile anachoamini hata kama ni cha hovyo. Kwa viashiria hivi, kuna uwezekano mkubwa wa yeye kuwa the worst dictator kama atakuwa na madaraka.

Anafaa kwa uanaharakati.
 
Naona nyuzi za kumnanga JPM zimetawala JF
 
Bora purukushani za jpm zilitufanya tufanye kazi, lakini yeye alideal na mijizi, sio kukomba tozo kwa wabanchi wa kawaida.
Pamoja na jitihada hizo miradi mikubwa tuliiona.

Sasa huyu aliyepo kipi kipya amekianzisha mwenyewe? Miradi yote jpm aliacha ameilipia, ndo sasa wanamsingizua madeni lakini miradi yote ililipiwa.

Walijuwa wananchi watahoji ili ikabidi kuwasepesha wanaojua siri hizo.

Walobaki wanaojua hawawezi fungua midomo yao.
Kizuri cha jpm alikuwa akilipia mradi anatueleza kuwa kashalipa kazi imebaki kwa mkandarasi.

Walivyo wa ajabu kuna siku mtasikia eti hela imeenda kumaliza daraja la busisi. Wakati jpm alituekeza hadaiwi hata mia. Na miradi mingine yote alitueleza.sasa wap wana kipi kipya?
Hahaha hatari sana
 
3. Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.
Magufuli hakuwa Rais sahihi kwa Nchi yetu bali alikuwa anapuyanga tu. Watanzania wengi elimu duni aliwadanganya kwa propaganda zake na wakadanganyika, hawakuwa na namna ya kupata taarifa mbadala.

Ilikuwa ni ajali kutawaliwa na kichaa toka Chato iliyotokea mwaka 2015. Naamini haitotokea tena.

Tuko mikono salama na Rais SSH
 
Magufuli hakuwa Rais sahihi kwa Nchi yetu bali alikuwa anapuyanga tu. Watanzania wengi elimu duni aliwadanganya kwa propaganda zake na wakadanganyika, hawakuwa na namna ya kupata taarifa mbadala.

Ilikuwa ni ajali kutawaliwa na kichaa toka Chato iliyotokea mwaka 2015. Naamini haitotokea tena.

Tuko mikono salama na Rais SSH
But inawezekana yeye ndiye rais bora kuwahi kutokea
 
Nimeamini mtu asipokuwepo ndo thamani yake inaonekana. Kuna vitu sikuvipenda enzi ya Magufuli. Ila Magufuli ni bora kuliko aliyepo. Hivi huyu mama hajui hata wananchi wanyonge wanahali gani. Zaidi ya kuweka tozo na kupanda ndege Zanzibar Dodoma Dar es salaam and the vice-versa .
Alisema tutamkumbuka, tena kwa mema; mameno yake yanatimia mbele ya macho yetu within a year!
 
Magufuli hakuwa Rais sahihi kwa Nchi yetu bali alikuwa anapuyanga tu. Watanzania wengi elimu duni aliwadanganya kwa propaganda zake na wakadanganyika, hawakuwa na namna ya kupata taarifa mbadala.

Ilikuwa ni ajali kutawaliwa na kichaa toka Chato iliyotokea mwaka 2015. Naamini haitotokea tena.

Tuko mikono salama na Rais SSH
Wewe vyeti feki, Magufuri kuna mtu aliyemdanganya au Mambo yalikuwa yanaonekana naona wewe upo hapa Dar tu,nenda Mikoani uone miradi yote iliyokuwa inakimbizwa kwa kasi yote imesimama pamoja na mikopo na tozo nyingi, ngoja uchaguzi ufike utaona uyo Samia wenu atakovyo pokerewa na mabango sasahivi wanamlia time,Ubovu wa Samia hata Mikoani haendi yuko radhi kukaa american wiki 2, lakini hawezi fanya ziara ya siku tatu Mikoani.Watanganyika wa leo sio wajinga kama mnavyozani,subirini
 
Bora purukushani za jpm zilitufanya tufanye kazi, lakini yeye alideal na mijizi, sio kukomba tozo kwa wabanchi wa kawaida.
Pamoja na jitihada hizo miradi mikubwa tuliiona.

Sasa huyu aliyepo kipi kipya amekianzisha mwenyewe? Miradi yote jpm aliacha ameilipia, ndo sasa wanamsingizua madeni lakini miradi yote ililipiwa.

Walijuwa wananchi watahoji ili ikabidi kuwasepesha wanaojua siri hizo.

Walobaki wanaojua hawawezi fungua midomo yao.
Kizuri cha jpm alikuwa akilipia mradi anatueleza kuwa kashalipa kazi imebaki kwa mkandarasi.

Walivyo wa ajabu kuna siku mtasikia eti hela imeenda kumaliza daraja la busisi. Wakati jpm alituekeza hadaiwi hata mia. Na miradi mingine yote alitueleza.sasa wap wana kipi kipya?
Pole sana. Nani alikwambia miradi ya ujenzi huwa inalipwa pesa yote halafu mkandarasi anaachiwa atekeleze!!!! Kuna Watanzania ni rahisi sana kuwadanganya na wanaamini kila kitu wanachoelezwa.
 
But inawezekana yeye ndiye rais bora kuwahi kutokea
Magufuli ilikuwa takataka tu. Alipata urais kwa mvutano tu wa kamabi Lowassa dhidi ya kambi Membe. Ilikuwa ni ajali, Nchi yetu haikustahili kutawaliwa na KICHAA
 
Wewe vyeti feki, Magufuri kuna mtu aliyemdanganya au Mambo yalikuwa yanaonekana naona wewe upo hapa Dar tu,nenda Mikoani uone miradi yote iliyokuwa inakimbizwa kwa kasi yote imesimama pamoja na mikopo na tozo nyingi, ngoja uchaguzi ufike utaona uyo Samia wenu atakovyo pokerewa na mabango sasahivi wanamlia time,Ubovu wa Samia hata Mikoani haendi yuko radhi kukaa american wiki 2, lakini hawezi fanya ziara ya siku tatu Mikoani.Watanganyika wa leo sio wajinga kama mnavyozani,subirini
Watanzania wengi ni wajinga kama wewe ndiyo wanadhania kutembea mikoani na kula mahindi ya kuchoma barabarani ndiyo uongozi bora. Yale maujinga ya Mwendazake ya kugawa hela na kununua mapapai na jogoo tumeyazika pamoja kwenye kaburi lake Chato mwaka 2021 Machi 27.

Haturudi tena kwenye ushamba wa Kolomije
 
Watanzania wengi ni wajinga kama wewe ndiyo wanadhania kutembea mikoani na kula mahindi ya kuchoma barabarani ndiyo uongozi bora. Yale maujinga ya Mwendazake ya kugawa hela na kunujua mapapai na jogoo tumeyazika pamoja kwenye kaburi lake Chato mwaka 2021 Machi 27.

Haturudi tena kwenye ushamba wa Kolomije
Sibora huyu alikuwa anazunguka kwa watanganyika wenzie kujua shida zao na kuzitatua na kuwagawia wanyonge keki ya taifa waweze kujenga mashule na shida mbalimbali,huyu wa sasa anaenda kudanga kwa wazungu,mpaka anashikwashikwa eti anatangaza vivutio,upuuzi mtupu,amefanya maisha ya watanganyika kuwa magumu kwa ujinga wake,akifikiri kila kitu ni mpaka ulaya
 
Sibora huyu alikuwa anazunguka kwa watanganyika wenzie kujua shida zao na kuzitatua na kuwagawia wanyonge keki ya taifa waweze kujenga mashule na shida mbalimbali,huyu wa sasa anaenda kudanga kwa wazungu,mpaka anashikwashikwa eti anatangaza vivutio,upuuzi mtupu,amefanya maisha ya watanganyika kuwa magumu kwa ujinga wake,akifikiri kila kitu ni mpaka ulaya
Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo.

Yeyote akizitumia akili zake na nguvu zake vizuri ana uwezo wa kupiga hatua kiuchumi na kijamii.

Usikubali kuitwa Mnyonge, utapata LAANA kama aliyoondoka nayo Mwendazake
 
Magufuli ilikuwa takataka tu. Alipata urais kwa mvutano tu wa kamabi Lowassa dhidi ya kambi Membe. Ilikuwa ni ajali, Nchi yetu haikustahili kutawaliwa na KICHAA
Show respect mkuu
 
Sibora huyu alikuwa anazunguka kwa watanganyika wenzie kujua shida zao na kuzitatua na kuwagawia wanyonge keki ya taifa waweze kujenga mashule na shida mbalimbali,huyu wa sasa anaenda kudanga kwa wazungu,mpaka anashikwashikwa eti anatangaza vivutio,upuuzi mtupu,amefanya maisha ya watanganyika kuwa magumu kwa ujinga wake,akifikiri kila kitu ni mpaka ulaya
Umenena vyema
 
Show respect mkuu
Teach me how to respect a a ruthless dictator, a social alienator, an election rigger, a murderer, a corrupt and a pathological liar, I will never comprehend.
 
Back
Top Bottom