Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

Teach me how to respect a a ruthless dictator, a social alienator, an election rigger, a murderer, a corrupt and a pathological liar, I will never comprehend.
Do you hve evidence ?
 
Magufuli ilikuwa takataka tu. Alipata urais kwa mvutano tu wa kamabi Lowassa dhidi ya kambi Membe. Ilikuwa ni ajali, Nchi yetu haikustahili kutawaliwa na KICHAA
Kajiangalie kwenye kioo kichaa nani kati yako na baba yako
 
Sibora huyu alikuwa anazunguka kwa watanganyika wenzie kujua shida zao na kuzitatua na kuwagawia wanyonge keki ya taifa waweze kujenga mashule na shida mbalimbali,huyu wa sasa anaenda kudanga kwa wazungu,mpaka anashikwashikwa eti anatangaza vivutio,upuuzi mtupu,amefanya maisha ya watanganyika kuwa magumu kwa ujinga wake,akifikiri kila kitu ni mpaka ulaya
VIROBOTO hawa achana nao
 
Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo.

Yeyote akizitumia akili zake na nguvu zake vizuri ana uwezo wa kupiga hatua kiuchumi na kijamii.

Usikubali kuitwa Mnyonge, utapata LAANA kama aliyoondoka nayo Mwendazake
Hahahaha wewe na baba yako nyie ndo mjiondoe ila wapo watanzania wasio kuwa na sauti aliwatetea usifikiri wote wanaishi maisha yko we kibwengo
 
Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :-

1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka.

2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo tunahitaji chama imara kimoja. Mfano Nchi ina changamoto nyingi Rais yuko bize Kutatua changamoto za wananchi kiongozi wa Upinzaniyuko Mwanza anaorganise issue kubwa kama ya kudai katiba mpya ,nchi haiwezi kwenda hivyo.

3. Tunamuhitaji Mao Zedong. Itachukua Muda kwa watu wengi kuja kuamini kwamba JPM alikuwa mzalendo wa kweli pamoja na mapungufu yake ,ni ngumu kuendesha nchi kama Tanzia ukacheka na watu na mambo yakaenda,Na sio kwamba aliua upinzani ni ukweli usipingika bado Hatujafikia kuhitaji vyama vingi.

Rais Samia Suluhu Hassan ni rais Mzuri ana mipango mizuri ,tatizo Moja kubwa Anatafuta hela nyingi na kwa kuwakamua Wananchi kisha Watu wachache wanatafuna pesa na nyingine ndio zinaenda kwenye eneo husika .Mama kama ataweza thibiti Upotevu wa Hela kuna uwezekano mkubwa baada ya miaka 5 tutakuwa Mbali sana.

Ww lazima utakuwa ni mzee, ndio maana bado unaamini uwepo wa chama kimoja.
 
Kajiangalie kwenye kioo kichaa nani kati yako na baba yako
Magufuli mwenyewe mwaka 2019 akiwa Mara na Luaga Mpina alikiri kuwa amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa Uvuvi kwa vile ni kichaa kama yeye. Ukibisha nakuletea YouTube hapa. BISHA
 
Magufuli mwenyewe mwaka 2019 akiwa Mara na Luaga Mpina alikiri kuwa amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa Uvuvi kwa vile ni kichaa kama yeye. Ukibisha nakuletea YouTube hapa. BISHA
Uwe unaelewa kuna utani pia
 
Uwe unaelewa kuna utani pia
Utani gani ? Kwani matendo yake ya ukichaa hukuyaona? Kwa mfano pale Kilwa kuna mtu alimpa jogoo. Akasema atakwenda kumpa Mama yake mzazi amuoe!!

Wewe RNA unaweza kufanya utani unaomhusisha Mama yako mzazi? Kama unaweza na wewe ni kichaa
 
Freeman Aikaeli Mbowe anatufundisha kuishi mbali na ubinafsi. Jamaa zetu wapo tayari kumfidia baadhi ya mali zake kama Greenhouse na Club Billicanas, lakini FAM amekataa akisema wengi wasiojulikana waliumizwa pia, wao vipi? Anapendekeza iundwe tume, tubarikiwe wote tulioathirika.
#MMM.

Huyu mzee MBOWE Ni hazina kwa Taifa,Ni mtu ambaye amejariwa hekima na busara tele, MA-CCM yamekubali kumfidia kila kitu kilichoharibiwa na utawala waJPM na utawala wa kikatili, serikali ya Samia imekubali kumlipa bilcanas,ile bustani yake ya kisasa yaani greenhouse, biashara zake lakini mzee wetu MH MBOWE kakataaaa duhhhhh.
 
Freeman Aikaeli Mbowe anatufundisha kuishi mbali na ubinafsi. Jamaa zetu wapo tayari kumfidia baadhi ya mali zake kama Greenhouse na Club Billicanas, lakini FAM amekataa akisema wengi wasiojulikana waliumizwa pia, wao vipi? Anapendekeza iundwe tume, tubarikiwe wote tulioathirika.
#MMM.

Huyu mzee MBOWE Ni hazina kwa Taifa,Ni mtu ambaye amejariwa hekima na busara tele, MA-CCM yamekubali kumfidia kila kitu kilichoharibiwa na utawala waJPM na utawala wa kikatili, serikali ya Samia imekubali kumlipa bilcanas,ile bustani yake ya kisasa yaani greenhouse, biashara zake lakini mzee wetu MH MBOWE kakataaaa duhhhhh.
Mwamba Mbowe na Lissu Mungu amewabariki sana.

Wameacha vyote kwa ajili ya ufalme wa Mungu.
 
Freeman Aikaeli Mbowe anatufundisha kuishi mbali na ubinafsi. Jamaa zetu wapo tayari kumfidia baadhi ya mali zake kama Greenhouse na Club Billicanas, lakini FAM amekataa akisema wengi wasiojulikana waliumizwa pia, wao vipi? Anapendekeza iundwe tume, tubarikiwe wote tulioathirika.
#MMM.

Huyu mzee MBOWE Ni hazina kwa Taifa,Ni mtu ambaye amejariwa hekima na busara tele, MA-CCM yamekubali kumfidia kila kitu kilichoharibiwa na utawala waJPM na utawala wa kikatili, serikali ya Samia imekubali kumlipa bilcanas,ile bustani yake ya kisasa yaani greenhouse, biashara zake lakini mzee wetu MH MBOWE kakataaaa duhhhhh.
Thibitisha haya maneno yako
 
Nimeamini mtu asipokuwepo ndo thamani yake inaonekana. Kuna vitu sikuvipenda enzi ya Magufuli. Ila Magufuli ni bora kuliko aliyepo. Hivi huyu mama hajui hata wananchi wanyonge wanahali gani. Zaidi ya kuweka tozo na kupanda ndege Zanzibar Dodoma Dar es salaam and the vice-versa .
Mtalikumbuka sana jembe, kuna mambo ya kitoto sana yanayofanyika mbele ya watu wazima hivi sasa. Binafsi tozo naiona ni njama ya kifisadi zaidi kukiko inavyotafsiriwa ila kwa kuwa wapigaji ni wana CCM hutaskia kitu.
 
Hayati JPM kama angaliweza kutii sheria na katiba kwa kuzingatia masuala muhimu ya kiutu na kidemokrasia, utawala wake ungaliweza kuweka alama muhimu sana katika historia ya nchi yetu. Uthubutu wake wa kufanya maamuzi magumu ili kulinda rasilimali za nchi yetu na kwa maslahi mapana ya nchi yetu ni sifa kubwa ambayo alikuwa nayo.

Kurudisha nidhamu ya utendaji na ufanisi katika ofisi za umma pia ni kongole nyingine kwake. Kukemea kwa uwazi vitendo vya rushwa, uonevu na ukandamizaji wa kimatabaka pia ilikuwa ni "credit" nyingine kwake. Na hata pia uthubutu wake wa kuanzisha ama kuendeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile mradi wa umeme wa bwawa la Nyerere.

Taifa linapaswa kuwa na "succession plan" na kuanza kuandaa viongozi waliopo ili waje kuwa baadaye viongozi wazuri hapo baadaye. Wananchi wengi hawatamani kuwa na Rais aina ya JPM kutokana na mabaya yake, ila wanatamani kuwa na Rais kama yeye kutokana na mazuri yake.

Kama tunataka kiongozi mwenye haiba ya JPM kwa upande wa mazuri yake, yaani mwenye uthubutu wa kufanya maamuzi magumu, na watu wakatambua kuwa yupo "serious" na hata kuupelekea umma kutii kwa dhati, basi naweza kuwataja Tundu Lissu ama Mwigulu Nchemba, pengine pia yupo Kassim Majaliwa.

Hawa ni watu ambao wanaweza kuanza kuandaliwa ili kama wakifanikiwa kushika uongozi wa juu wa nchi wasigeuke kuwa viongozi katili na madikteta. Kama ni uthubutu wa kukemea, kuamua na kufanya maamuzi magumu hii sifa wote wanayo.
Kulikoni hao wahuni uliowataja ni bora hata raisi ukawa wewe tusiekujua.
 
Je kabla kampuni ya simu haijasambaza huduma za mtandao wake, huwa wanamlazimisha mteja alipie gharama za minara?

Hata kama kampuni za simu zinawauzia watu simu, hizo simu si zinakuwa mali ya mteja?
TANESCO hawajajipanga kutoa huduma. Huwezi kuwa unadai unatoa huduma halafu facilities mteja azilipie. Hata uko Ulaya ambako ndio mambo haya yalianzia facilities ni jukumu la mtoa huduma.

Ila bongo tumezoeshana vibaya sana yani serikali inataka mwananchi ndio alifanyie majukumu yake kwa kulipia facilities shirika miaka yote linaendeshwa kwa hasara wakati wanauza Luku kwa wananchi.

Serikali inafurahia hii Monopoly na ndio inapelekea uzembe wa kupindukia.
 
Yes hazigawi simu bure...bt simu ni mali ya mteja au ya kampuni za simu?

Kwa mfano wako huu inamaanisha kua Nguzo na mita zilipaswa kua mali ya Mteja, je ndivyo ilivyo?
Ingekuwa sahihi zaidi
 
Back
Top Bottom