Mambo matatu waliyonishangaza watu wa mikoani.

Mambo matatu waliyonishangaza watu wa mikoani.

kumbe inauma ivi mkiambiwa ukweli
basi muache kutuita wanaume wa dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Eti hizo ndio punch za mwanaume wa Dar kwenda kwa Wanaume wa Mikoani. Upuuzi endeleeni kula chips yai
 
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.

1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.

-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.

2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.

-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"

-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?

3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.

-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.

-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.

Analyse
Ushaambiwa kijiji kinaitwa Subira ..Ulipaswa kuwa na subira ..When u u are in Rome behave like Romans
 
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.

1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.

-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.

2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.

-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"

-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?

3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.

-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.

-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.

Analyse
Wanaume wa mikoani nawasifu wana mke zaidi ya mmoja haswa huko songea!wa dar wanaogopa wake zao kuongeza mke
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mkoani nomaaa!asikuambie mtu!yaani vijjin huko ni tafrani
hatar yaan mpaka leo WANAVAA suruali za GUCCI... zile za kufuta na kitambaa.. ahahah kwao ndio zinaingia,,,,

nimeenda soko lao la nguo kuchek koti.. maan huku kuna kibarid fulan hiv tofauti na Dar.. SAS nimekuta eti jezi za MANCHESTER za mwaka 90..ndio wanauziwa.. huku
 
Wewe ndiye hujitambuwi

Sisi tunaishi kijamaa
Kindungu na siyo kinafiki

Wewe nimnafiki mwanza naielewa. Sana
Kwimba, misungwi, nk kule ukienda ?

Unapikiwa kwa heshima
Ugali na sansa zilizotiwa samli
Pembeni ntunda ya mabele
Ukishiba uletewa ndili ya ng'ombe kulala

Ushamba na unafiki wako kujifanya wa barabara ya nyerere mtaa wa duka la shinyanga industrial karibu na ccm mko mwanza, au kule kwa makufuli.

Tukuza asili yako usiwe kilaza ngosha

mzee mbona POVU... kisa kuwaambia ukweli... na kama ulikuwepo ktk maonyesho ya 8/8 hapo songea niulize chochote nikujibu.. maana nimeshuhudia USHAMBA wenu.. hapo... dah.. ngoj nitulie.. tu
 
Yani mkuu upo sahihi kwa asilimia 100.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mzee mbona POVU... kisa kuwaambia ukweli... na kama ulikuwepo ktk maonyesho ya 8/8 hapo songea niulize chochote nikujibu.. maana nimeshuhudia USHAMBA wenu.. hapo... dah.. ngoj nitulie.. tu
Yani mkuu sio mpaka akwambie, ni lazima alikuwepo tu pale nane nane. Wote hukutana pale, na yeye alikuwepo. Tena yawezekana ni yule aliyekuwa kavaa kijeans kinabana sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwanza mee sipelek gati huko pili inaonekana madereva waawabanjuwa kweli wanawake wa kingoni
 
ilikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..

tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu

me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.

nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyamwezi na ndugu zao wasukuma hao
 
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.

1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.

-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.

2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.

-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"

-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?

3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.

-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.

-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.

Analyse
kwenye mia uezengua hahahahahahaaha umeniacha hoiiii
 
hatar yaan mpaka leo WANAVAA suruali za GUCCI... zile za kufuta na kitambaa.. ahahah kwao ndio zinaingia,,,,

nimeenda soko lao la nguo kuchek koti.. maan huku kuna kibarid fulan hiv tofauti na Dar.. SAS nimekuta eti jezi za MANCHESTER za mwaka 90..ndio wanauziwa.. huku
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaani nimecheka balaa!!siku ya mnada ndo siku ya kidate nguo zao za rangiii ile ya mng'ao kaah!mpk Leo wanasikiliza TBC aka Radio tz
 
Watanzania bana badala ya kubuni fursa huko wanapoita washamba mmebaki kuchekelea na kusimanga ndugu zenu wakati huko dar imeshikwa na wazungu,wahindi,waarabu wanawapeleka watakavyo wao daaah USHAMBA WA MWAFRIKA bana
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Back
Top Bottom