Fdt
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 440
- 149
Mpitimbimbi. soko kuu, mji mwema,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wa Songea bhana
Mlilayoyo, Hanga, bara bara ya kwanza, kwa Homera, Chuoni, Mputa, Luhimbalilo, ya saba, Naikesi, kitanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpitimbimbi. soko kuu, mji mwema,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wa Songea bhana
Mlilayoyo, Hanga, bara bara ya kwanza, kwa Homera, Chuoni, Mputa, Luhimbalilo, ya saba, Naikesi, kitanda
Kipera,Subira, mitomiwili, mungano,Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.
1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.
-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.
2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.
-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"
-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?
3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.
-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.
-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.
Analyse
Hilo sio tatizo unajifia taaluma ya wazungu? Ona aibu
Tabora kuna asali asilia wanajivunia
Wewe unajivunia baada ya ushamba uleule
😀 😀 😀 😀Ole ujichangaye upande gari linalokwenda mnadani.
Utawekewa mzigo wa mtu kichwani na unalazimishwa kutulia.
Gari halijai kabisa kila anayesimamisha anabebwa na mzigo wake.
Noa inabeba hadi watu 30, kukaliwa na mtu ni ruksa.
Aaah kabisa maana Mimi nimekaa tangu 2016 Niko kwenye chuo kimoja hapo cjawahi skia wakiongea lugha yaoKI2 kingine nilicho gundua... SONGEA hawaongei kilugha.. yan wao ni kiswahili pure... tofauti na mikoa kama shy town kule aisee ni kilugha tuuu....
Wasukuma sikukuu wanaenda tembea daraja la furahia, wanajazana hapo wakila ice cream wao wanaita koni.HOME town NI ROCK CITY... mzee....
DAR ni makazi tuu..
na unajua STATUS ya msukuma.. vizuri
ilikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..
tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu
me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.
nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh! !!namba 2.. ni kweli.. nipo SONGEA kikazi wiki ya pili sasa, inafkia kipindi watu wanasimamisha gari wananunua VIAZi... alaf safar inaendelea kam kawaidaaa yan...