Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Songea Raha sana. huku hakuna stand za daladala, Hiace zinasimama popote. bodaboda/madereva yebo wao wamechangamka kishenzi ukiwa unatembea barabarani wanakupigia honi nakukuuliza kama unaenda.
Huku hata Superfeo huo linasimama barabarani watu wanunue maembe na viazi. Ila ni kitu poa maana vile viazi ni vitamu balaa. Ila haka kamji napenda maana sehemu kubwa kamepangika vizuri. maeneo ya kuzunguka mjini kati hukuti ujenzi holela kama miji mingine.
Huku hata Superfeo huo linasimama barabarani watu wanunue maembe na viazi. Ila ni kitu poa maana vile viazi ni vitamu balaa. Ila haka kamji napenda maana sehemu kubwa kamepangika vizuri. maeneo ya kuzunguka mjini kati hukuti ujenzi holela kama miji mingine.