Duh! Hahahaha........kama ni kushambulia watu wa Mikoani hii imepitilizailikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..
tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu
me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.
nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha........yaan kuonesha nyie ni WASHAMBA... siku ya 8/8 badala ya kuangalia vitu vya muhimu.. mijitu inashangaa shangaa tu.. nilikuwa nawacheki tu.. na ule mziki wenu mnao wekewa.. mziki wa dully sykes enzi hizo.. na kina pepe kale.. daah nilicheka sana siku ile...
Seemz ni mwenyeji wa songeaSongea Raha sana. huku hakuna stand za daladala, Hiace zinasimama popote. bodaboda/madereva yebo wao wamechangamka kishenzi ukiwa unatembea barabarani wanakupigia honi nakukuuliza kama unaenda.
Huku hata Superfeo huo linasimama barabarani watu wanunue maembe na viazi. Ila ni kitu poa maana vile viazi ni vitamu balaa. Ila haka kamji napenda maana sehemu kubwa kamepangika vizuri. maeneo ya kuzunguka mjini kati hukuti ujenzi holela kama miji mingine.
-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu.
-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.
Kuna matiri..kigonsera[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wa Songea bhana
Mlilayoyo, Hanga, bara bara ya kwanza, kwa Homera, Chuoni, Mputa, Luhimbalilo, ya saba, Naikesi, kitanda
Umeleta habari tumejua ya huko
Ila kwa hili chini umechemka na umatia aibu kumcheka mtu aliyekuwa hana nauli ya kutosha.. na kumsaidia kwako.. duh
Jisikitikie... aibu
Nakubaliana na wewe na wao.ilikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..
tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu
me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.
nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika πππ