Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Aweso yupo Pangani, Handeni ni Hamis MwinjumaJimbo linaloongozwa na CCM na Juma Aweso Waziri wa Maji.
Handeni wananchi wote ni CCM ili ujue na ujifunze madhara ya CCM kujikita mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweso yupo Pangani, Handeni ni Hamis MwinjumaJimbo linaloongozwa na CCM na Juma Aweso Waziri wa Maji.
Handeni wananchi wote ni CCM ili ujue na ujifunze madhara ya CCM kujikita mahali
Sawa mkuu ila wote ni chama Kile kileAweso yupo Pangani, Handeni ni Hamis Mwinjuma
Acha kuleta uwongo unamdanganya nani ambaye hajafika Dodoma...soko la nyama la msalato machinjio yapo palepale kwa nyuma hatua chache tu sasa utasemaje wanakula mabaki ya mifupa😀😀Huko Tanga ni mbali mkuu, juzi nilkua naangalia ITV kipindi cha ripoti maalumu nililia mkuu. Katikati ya jiji la Dodoma ambako ni makao makuu ya nchi na imejengwa Ikulu kuna watu ni maskini wa kutupwa maana tukisema uwazike utakua umewapandisha hadhi. Hapo Dodoma kuna soko la Msalato, wakazi wa jiji wanaenda kuoteza mabaki ya mifupa ya nyama kwa ajiri ya mlo.!!!!
Mkuu nimetoa reference!! Ni kipindi cha week cha Ripoti Maalumu cha ITV, ingia YOUTUBE uone maajabu!! Watoto wanaokota mifupa ilitupwa chini na kuanza kula palepale nyingine wanaweka kwenye mifuko wanapeleka nyumbani kupika. Mwandishi kaenda nao mpaka home wakamwonyesha wanavyopika. Kuna mwanasaikolojia mmoja aliojiwa akasema huu ni zaidi ya unyama kwani hata mbwa ambaye ni well trained hawezi kula mabaki ya mifupaAcha kuleta uwongo unamdanganya nani ambaye hajafika Dodoma...soko la nyama la msalato machinjio yapo palepale kwa nyuma hatua chache tu sasa utasemaje wanakula mabaki ya mifupa[emoji3][emoji3]
Huko ndio kwa kina mwana FA na lulu diva hata kwao kupo hivyo hvyo ila mashauzi mengi mjini.Habari zenu wana JF,
Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?
Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.
Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.
Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?
Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.
Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Aweso kwao ni pangani huko ni kwa kina mwana FAJimbo linaloongozwa na CCM na Juma Aweso Waziri wa Maji.
Handeni wananchi wote ni CCM ili ujue na ujifunze madhara ya CCM kujikita mahali
Muheza sio pangani mkuuAweso yupo Pangani, Handeni ni Hamis Mwinjuma
Mwana FA ni Mheza aiseeAweso yupo Pangani, Handeni ni Hamis Mwinjuma
Dah nmeiona hii ITV aisee watu n maskinHuko Tanga ni mbali mkuu, juzi nilkua naangalia ITV kipindi cha ripoti maalumu nililia mkuu. Katikati ya jiji la Dodoma ambako ni makao makuu ya nchi na imejengwa Ikulu kuna watu ni maskini wa kutupwa maana tukisema uwazike utakua umewapandisha hadhi. Hapo Dodoma kuna soko la Msalato, wakazi wa jiji wanaenda kuoteza mabaki ya mifupa ya nyama kwa ajiri ya mlo.!!!!
Sehemu yoyote wanayoendekeza uchawi kuliko chochote hapawezi kuwa na maendeleo daima. Handeni ni nyumbani kabisa, mimi ni Mzigua lakini sijawahi kukanyaga ardhi yake na sitathubutu kwenda, nisamehewe kama nafanya makosa.
We Mgogo masario sijui masare ya chama njoo uwaulize watu wenye TV sio unaleta umatonya hapaAcha kuleta uwongo unamdanganya nani ambaye hajafika Dodoma...soko la nyama la msalato machinjio yapo palepale kwa nyuma hatua chache tu sasa utasemaje wanakula mabaki ya mifupa[emoji3][emoji3]
Huyo mgogo alikua anabisha anafunika kombe na mwanaharamu hapiti. Mpe story kidogoDah nmeiona hii ITV aisee watu n maskin
ndo wapi huko nijeUsiende mkuu Njoo nikuuzie ukoo upate na kiamba huku mgombani