Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana ukiamini katika ujinga utabakia kuwa mpumbavu na mwehu,usipende kutetea uovu katika Taifa huru kwa maslahi yako.Napata shida sana kukubaliana na wewe,kama mauaji ya waziwazi yalifanyika kipindi cha mkapa Zanzibar waliuwawa waziwazi watu zaidi ya 25 kipindi cha uchaguzi,kipindi cha Mwinyi waliuawa waislam wengi tu mwembechai,Ya Kikwete na akina ulimboka na Mwangosi aliyeuwawa mbeya na dunia nzima ikaona bila chenga.Ukiniambia Magufuli aliwapiga watu flani mliotoka zone moja mliozoea ubinafsi na wenye roho za visasi ntakubaliana na wewe.Lakini tofauti na kauli zenye ukakasi sijaona ukatili wa mauaji wenye ushahidi wa wazi wazi aliofanya Magufuli ukilinganisha na watangulizi wake.Na mwishoe tukubaliane tu kuwa hawa viongozi huwa wanabeba lawama za watendaji wao wa chini but so far sijaona dictator hii nchi.
Usitulazimishe kama vile na sisi hatukumlazimisha yeye kuwa dhalimuMbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.
Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
Kila utawala una mazuri na mapungufu yake! Tumsamehe Mwendazake kwa yale yote tunayohisi alikosea na tuyachukue yale mazuri yake! Hakuna binadamu aliye mkamilifu.Unahoja nyng, lkn tambua jombi hakua mtu
Kwani alisema uongoNa kusema kwamba hakupeleka Tetemeko Bukoba
Alifuata kwa lengo gani. Matatizo mengine ni ya kujitakiaBen alijaribu kufatilia elimu ya huyo mungu wenu akaishia kuuawa
Hospitali za rufaa, Umeme Wa rea hivyo vilitekelezwa sehemu sehemu gani?Kupeleka maendeleo Chato,Dodoma na Dar es Salaam ni kupeleka maendeleo nchi nzima??
😂😂🤣🤣😅😅😅😆😆😆😁😁😄😃😃😀Ule utawala hauhitaji msamaha wako
Kwani kuna ubaya kuchunguza elimu ya Rais ili kuthibitishia umma kuwa siyo feki? Unless awe aliipata kimagumashiAlifuata kwa lengo gani. Matatizo mengine ni ya kujitakia
Usicheze na Mungu wewe, uzuri sasa hivi Jiwe yuko kuzimu anachezea kichapoKwani alisema uongo
Mimi ntasamehe kwa yote na yeyeto lakini kwa dhalimu Jiwe, HAPANAKila utawala una mazuri na mapungufu yake! Tumsamehe Mwendazake kwa yale yote tunayohisi alikosea na tuyachukue yale mazuri yake! Hakuna binadamu aliye mkamilifu.
Ukitenda uovu/wema katika level ya uongozi wa juu wa nchi, ni ngumu sana watu wako kukusahau hata ipite karne. Ndiyo maana mpaka leo Nyerere bado anakumbukwa kwa sababu alitenda mema. Jiwe pia atakumbukwa kwa miaka mingi kwa sababu alikuwa dhalimu na muovu.Mbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.
Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
Mjinga na mpumbavu ni wewe na familia yenu au yako unaelazimisha kutuaminisha vitu visivyo na ushahidi kwa ajili ya chuki zako binafsi.Nyinyi kwenu mwerevu ni yule anayekubaliana na pumba zenu mkitofautiana hoja zinaanza mvua za matusi.alafu mnataka mpewe nchi.Ujinga ni ugonjwa mbaya sana ukiamini katika ujinga utabakia kuwa mpumbavu na mwehu,usipende kutetea uovu katika Taifa huru kwa maslahi yako.
Hospitali za Rufaa zilikuwepo tangu awali,umeme wa REA umeingia awamu ya nne chini ya Rais machachari Kikwete.Hospitali za rufaa, Umeme Wa rea hivyo vilitekelezwa sehemu sehemu gani?
Ukweli utabaki pale pale Magufuri hakuwa rais mstaarabu bali dhalimuMjinga na mpumbavu ni wewe na familia yenu au yako unaelazimisha kutuaminisha vitu visivyo na ushahidi kwa ajili ya chuki zako binafsi.Nyinyi kwenu mwerevu ni yule anayekubaliana na pumba zenu mkitofautiana hoja zinaanza mvua za matusi.alafu mnataka mpewe nchi.
Takataka weweUngefafanua kwa mfano hilo la mauaji ni kama yapi? Wakati JK anaondoka aliacha mauaji kule kibiti na mkuranga yakiendelea. Tena kwa polisi na raia. Wasingekufa hao unaosema mauaji yalishamiri jua tu ungeshuhudia aina nyingine ya mauaji ikiwemo ile ya kukatwa visogo raia.
Kuhusu matamshi ya upinzani na maendeleo inaeleweka wazi hakuna mahali Jiwe hakugusa kimaendeleo labda kama hukuwa mfuatiliaji. Lakini ujue politics is a game of chance. Kusema sio kutenda ndio maana alipeleka maendeleo. Hao kina mbowe walituaminisha kwa takribani miaka nane kuwa lowasa fisadi na ilipofika 2015 wakatuambia mwenye ushahidi aende mahakamani.
Weka takwimu ili tujue nani kafanya niniHospitali za Rufaa zilikuwepo tangu awali,umeme wa REA umeingia awamu ya nne chini ya Rais machachari Kikwete.