FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Uguswelana = QutombanaKwani lina maana gani
Chane = sana.
Uguswelana chane = Qutombana sana.
Muulize yeyote wa kigoma akwambie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uguswelana = QutombanaKwani lina maana gani
Uguswelana = Qutombana
Chane = sana.
Uguswelana chane = Qutombana sana.
Muulize yeyote wa kigoma akwambie!
Huyo Mungu anayetushangaa ni Mungu wetu pekee na wao wana wakwaowe as african we should supporting each other,kama tungejua tukitakacho tungeweza jikomboa na hao mabeberu, MUNGU anatushangaa sana ni watu tusio na msimamo ijapokuwa ndugu zetu wanakufa bila hatia bado tunaogopa na kuwaabudu as if wanastahili,
Huna lolote zaidi ya kuongea utoto. Mtu akipitia uzi wako anaweza kudhani unaongea jambo la maana kumbe uhanithi mtupu
Mkuu uko sahihi, sasa fanya hivi, hebu anzisha chama chako ili tuone hicho unachoshauri hapa. Hapa umekashifu tu ili kulinda unaowaamini.
Sasa kwa nini msimwambie Lisu arudi badala ya kushangilia akiwa anazurura huko as if wazungu watamuonea mhuruma wakati yeye ni mwafrika tu?
Mungu anatushangaa vipi wakati ndiye katuumba hivyo,we as african we should supporting each other,kama tungejua tukitakacho tungeweza jikomboa na hao mabeberu, MUNGU anatushangaa sana ni watu tusio na msimamo ijapokuwa ndugu zetu wanakufa bila hatia bado tunaogopa na kuwaabudu as if wanastahili,
ijulikane mzungu anapenda sana damu yake sana tena sana hatokuwa na huruma yoyote pale anapoitetea damu yake au kizazi chake, wale wazimbabwe walivyo leta ubabe kwa ardhi yao kwa wazungu wao wazungu wakachukulia ni kitendo cha kihaini sana so wakawawekea vikwazo wafe waafrica
MOD jaribuni kudhibiti miunkari Kama hii, hapa sio barHuna lolote zaidi ya kuongea utoto. Mtu akipitia uzi wako anaweza kudhani unaongea jambo la maana kumbe uhanithi mtupu.
Hakuna haja ya kuanzisha chama kingine, kitu kikubwa ni vyama vilivyopo kujisahihisha, Mfano mzuri ni Chadema, unaweza kunieleza sababu ya chama hicho kuzorota mara baada ya DR. Slaa kuondoka? Kabla ya hapo chama kilikuwa vibrant na Kuwapa wananchi matumaini na hata chama kupata wabunge wengi! Ili warudie hali ile hawana budi kujitathmini na kujisahihisha ili warudie hali yao ya zamani ambapo walikuwa na wafuasi wengi.
MOD jaribuni kudhibiti miunkari Kama hii, hapa sio bar
Ndio yutopian mleta Uzi anausema, kwani Kuna sehemu Zimbabwe panaitwa African London? Mtu analima shamba lake wewe unavamia kijambazi tu, Zimbabwe walipe fidia waache mambo yakijinga. Sisi mbona somaiya group wanamashamba, MO anayo Sumaye anayo Lowasa anayo na atuna shida nayo, Sasa mashamba wamepewa mbona mahindi yanatoka mpanda kwenda Harare?Kabudi kutetea wazimbabwe namuunga mkono, maana adhabu dhidi ya Zimbabwe ilitokana na chuki ya Zimbabwe kutwaa ardhi yao kutoka kwa Wazungu
Achana na Kiingereza kibovu. Usiwe mtumwa wa lugha ya mabeberu. Tumia Kiswahili tu, nadhani una uwezo mzuri wa kutumia lugha yetu adhim!we as african we should supporting each other,kama tungejua tukitakacho tungeweza jikomboa na hao mabeberu, MUNGU anatushangaa sana ni watu tusio na msimamo ijapokuwa ndugu zetu wanakufa bila hatia bado tunaogopa na kuwaabudu as if wanastahili,
ijulikane mzungu anapenda sana damu yake sana tena sana hatokuwa na huruma yoyote pale anapoitetea damu yake au kizazi chake, wale wazimbabwe walivyo leta ubabe kwa ardhi yao kwa wazungu wao wazungu wakachukulia ni kitendo cha kihaini sana so wakawawekea vikwazo wafe waafrica
Tuache hayo maana unaonekana una uelewa finyu wa siasa. Hebu weka hapa hao cdm unataka wafanye nini, ili tuone hilo wazo linalokupa nguvu ya kujenga hizo hoja zako.
KAPUTURA LA MAXAnaongea as if Wazungu wanaona uchungu na sisi Waafrika kuumia wakati kuumia kwao ndiyo furaha yao. Halafu anafikili Wazungu wanapelekeshwa. Sana sana watatuwekea na sisi vikwazo kwa kuisaport Zimbabwe halafu tuone hao Wachina watatusaidia Nini.
Wachina hata waone Waafrica wanachinjana wao hawajali ilimradi wanaextract wanavyotaka. Afadhali kidogo hao Wazungu walikuwa wanatusaidi sana pale tunaponyanyaswa tunapaza sauti. Mana viongozi wa Africa ni madikteta na karibu wote wajuaji pia.
Mchina mbaya sana, haingilii ugomvi.Anaongea as if Wazungu wanaona uchungu na sisi Waafrika kuumia wakati kuumia kwao ndiyo furaha yao. Halafu anafikili Wazungu wanapelekeshwa. Sana sana watatuwekea na sisi vikwazo kwa kuisaport Zimbabwe halafu tuone hao Wachina watatusaidia Nini.
Wachina hata waone Waafrica wanachinjana wao hawajali ilimradi wanaextract wanavyotaka. Afadhali kidogo hao Wazungu walikuwa wanatusaidi sana pale tunaponyanyaswa tunapaza sauti. Mana viongozi wa Africa ni madikteta na karibu wote wajuaji pia.