we as african we should supporting each other,kama tungejua tukitakacho tungeweza jikomboa na hao mabeberu, MUNGU anatushangaa sana ni watu tusio na msimamo ijapokuwa ndugu zetu wanakufa bila hatia bado tunaogopa na kuwaabudu as if wanastahili,
ijulikane mzungu anapenda sana damu yake sana tena sana hatokuwa na huruma yoyote pale anapoitetea damu yake au kizazi chake, wale wazimbabwe walivyo leta ubabe kwa ardhi yao kwa wazungu wao wazungu wakachukulia ni kitendo cha kihaini sana so wakawawekea vikwazo wafe waafrica