Mambo mengi anayoongea Prof. Kabudi ni Utopian

Mambo mengi anayoongea Prof. Kabudi ni Utopian

Wacha wewe enzi hizo sijui ulikuwa wapi? Nyerere akihangaika na classmate wake bila mafanikio, alitumia pesa ya umma kufadhili sijui ukombozi, haya walikomboka Sasa tumefaidika Nini? Ndio hao wanatupiga mawe mtaani Kama wanaua koboko, hongera general Bhuhari kumfurusha balozi na kuchoma mnara wa mtn,

You are ignorant do not waste precious time!!
 
we as african we should supporting each other,kama tungejua tukitakacho tungeweza jikomboa na hao mabeberu, MUNGU anatushangaa sana ni watu tusio na msimamo ijapokuwa ndugu zetu wanakufa bila hatia bado tunaogopa na kuwaabudu as if wanastahili,

ijulikane mzungu anapenda sana damu yake sana tena sana hatokuwa na huruma yoyote pale anapoitetea damu yake au kizazi chake, wale wazimbabwe walivyo leta ubabe kwa ardhi yao kwa wazungu wao wazungu wakachukulia ni kitendo cha kihaini sana so wakawawekea vikwazo wafe waafrica
Hapo mwanzo ungeandika kiswahili ungekonda?lugha mbofumbofu
 
Umesoma shule gani ya nursery ?

Maana Si kwa pumba hizo!
Anaongea as if Wazungu wanaona uchungu na sisi Waafrika kuumia wakati kuumia kwao ndiyo furaha yao. Halafu anafikili Wazungu wanapelekeshwa. Sana sana watatuwekea na sisi vikwazo kwa kuisaport Zimbabwe halafu tuone hao Wachina watatusaidia Nini.

Wachina hata waone Waafrica wanachinjana wao hawajali ilimradi wanaextract wanavyotaka. Afadhali kidogo hao Wazungu walikuwa wanatusaidi sana pale tunaponyanyaswa tunapaza sauti. Mana viongozi wa Africa ni madikteta na karibu wote wajuaji pia.
 
Bado wanaishi kwenye fikra za ‘cold war’ sio kabudi tu most of his age mates in the government share similar traits.
 
"Huu ni wakati wa kumuomba mungu atuzindue tuweze kutumia akili zetu kubuni na kufanya uvumbuzi wa vitu vikubwa ili ulimwengu utambue uwepo wetu.
Hizi blabla za kulaumu hawa ni mabeberu, wanyonyaji hazita tufikishapopote.
Maisha duni tuliyonayo yamesababishwa na sisi wenyewe. Hakuna wakumlaumu"
 
Hakuna watu wanafiki Kama wazimbwe na wasauz weusi, nilikuwa na boss mzimbabwe nilimkosakosa makonde siku moja ndio tukaheshimiana.
Upo sahihi kabisa ni ngumu kufanya nao kazi hao...Mimi nimefanya nao sana kazi hao..
 
"Huu ni wakati wa kumuomba mungu atuzindue tuweze kutumia akili zetu kubuni na kufanya uvumbuzi wa vitu vikubwa ili ulimwengu utambue uwepo wetu.
Hizi blabla za kulaumu hawa ni mabeberu, wanyonyaji hazita tufikishapopote.
Maisha duni tuliyonayo yamesababishwa na sisi wenyewe. Hakuna wakumlaumu"
Kweli kabisa Ni upumbavu kulaumu wazungu ambao hata Africa jawajawahi fika, Ni ujinga wetu tu na niwakati wakulaumiana sisi kwa sisi,

Eti tunawekewa vikwazo mbona JPM haujawahi kanyaga marekani na nchi inakwenda. South Africa ya borther na ya ramafonsa ipi Ina utu? Tumeona Zimbabwe wanajeshi
 
Fuatilia dogo!

Nakuuliza then wewe unanipa kazi tena?

Nimekuuliza genuinely nilitafuta nikakosa ndio maana nikakuuliza,otherwise nisingekuuliza!

You see,huna jibu maana hakuna kitu kama hicho unachodai!

Washabiki wa Jiwe ni very dishonesty na wanafiki sana!

It shows here!
 
Nakuuliza then wewe unanipa kazi tena?

Nimekuuliza genuinely nilitafuta nikakosa ndio maana nikakuuliza,otherwise nisingekuuliza!

You see,huna jibu maana hakuna kitu kama hicho unachodai!

Washabiki wa Jiwe ni very dishonesty na wanafiki sana!

It shows here!
Na watu ambao ni pessemists hawatakiwi hata kuwemo duniani.
 
Huo ni mwaka gani?alitakiwa aangalie na diplomacy ya miaka ya sasa.Mambo mengi yamebadilika tangu miaka unayo ongelea ya Mwalimu na Dunia ya sasa.
Kuna mambo kumlinganisha Nyerere na hawa viongozi wetu wasasa nikukosa uelewa na kutokujua historia na mambo ya nyakati zilizopita na tulizo Nazo na hata zijazo
The world is still the same the rich nations get away with all sorts of atrocities against other nations without shame. I believe we are not going to be in any worse situation by standing up on our principals.
 
The world is still the same the rich nations get away with all sorts of atrocities against other nations without shame. I believe we are not going to be in any worse situation by standing up on our principals.
Which principals (principles) are you talking about! Disagreeing on what we have agreed? Are they really "binding constraints" to current needs of our development or the economy? Should they be prioritized? I think there is better way to take or choose than this one. I may agree with the ongoings if the whites penalize us on what we do from what we agreed! Unfortunately, they do so on what we do from what we have not agreed.

Consider what is going on in our motherland, the constitution is very clear. All citizens should be treated equal. And this has come in our mother law after many decades, if not centuries of being segregated by the ones we blame ("beberus"); who classed us into Whites,Indians, Arabs and Blacks. Surprisingly, we do the same! What a shame to ourselves!
 
Hivi mkufunzi akiwa anauzoefu wa jalalani products zake zitakuwaje?
Hahah hapo zitatoka Jalalani pure products mkuu.

Subiri products hizo zije hapa uone ugomvi wake mkuu.
 
Back
Top Bottom